Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,051
- 52,593
Naombeni list ya beach nzuri za kuogelea weakend ukitoa Coco beach hapa DSM, ziwe na usalama sio za wakabaji na wabakaji na ni muda gani mzuri wa kuogelea? Mdau toka bush.
utasoma hapa mwenyewe just wait wadau watuambieUkijibiwa nijulishe nina mgeni nae anataka kwenda Beach, last weekend nilimpeleka Coco Beach hakupapenda.
taja zote mkuu nitatafuta hata sponsorInategemeana unataka ya gharama gani? Maana zipo za bei sana,zipo za bei kawaida na zipo za maskni
Baada ya kazi, mapumziko ninapendelea kuiacha Dar kwa muda, ninapenda kwenda Pangani, Bagamoyo au Zanzibar. Beach za huko siwezi kuelezea.
Ukikwama nistue nipo tayari kuwezesha watu katika maeneo kama hayataja zote mkuu nitatafuta hata sponsor
Unapouliza jambo ni vizuri ujifunze kwanza kuuliza swali.Naombeni list ya beach nzuri za kuogelea weakend ukitoa Coco beach hapa DSM, ziwe na usalama sio za wakabaji na wabakaji na ni muda gani mzuri wa kuogelea? Mdau toka bush.
Njoo bagamoyo hautojutia kamwe.Naombeni list ya beach nzuri za kuogelea weakend ukitoa Coco beach hapa DSM, ziwe na usalama sio za wakabaji na wabakaji na ni muda gani mzuri wa kuogelea? Mdau toka bush.
Mhhhhhhhh jamani!kwa wewe opposite na whitehouse patakufaa
Kwa Mfano Ramada Mbezi beach kama umechukuwa room hakuna gharama ya ziada, ila kama unakwenda tu na kuondoka inatakiwa ulipie bufee sh 50,000/= kwa kichwa.Inategemeana unataka ya gharama gani? Maana zipo za bei sana,zipo za bei kawaida na zipo za maskni
Kumbe eeeh?Last week nilikuwa hapo.Kunduchi beach ndo top
Pia kuna ile ya lake Tanganyika na Matema Beach, kwakweli Tanzania tumebarikiwa.Bwagamoyo na Zaa Inzi Bar nilishafika labda huko Pangani, hopefully wale jamaa hawapo tena siku hizi
Mpwa basi uwe unanichukuaga na mimi nikatoe tongo tongo.......
Wazee wa kuchangamkia fursaUkikwama nistue nipo tayari kuwezesha watu katika maeneo kama haya



