Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Nimeangalia kwa makini sana list of shama katika website ya Takukuru nimeona watu kama walimu na watendaji wa kijiji wakifungwa hadi miaka saba jela! huku wakurugenzi wakipewa nafasi ya kulipa faini ama kwenda jela!
Nilitakakujua watu wa mahakama wanvyotoa hukumu! na vile vile kwa Takukuru wanakata rufaa? kutokana na kutoridhika na kahukumu kadogo kulingana na kosa la rushwa ya mtuhumiwa?
Nawakaribisha wanasheria na jamii kwa ujumla kunifafanulia haya
Nilitakakujua watu wa mahakama wanvyotoa hukumu! na vile vile kwa Takukuru wanakata rufaa? kutokana na kutoridhika na kahukumu kadogo kulingana na kosa la rushwa ya mtuhumiwa?
Nawakaribisha wanasheria na jamii kwa ujumla kunifafanulia haya