fugees
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 2,868
- 884
Nasubiri kauli ya Mnyika, Dr. Slaa, Mdee.
mwaka huu lazima mtage mayai.
Nasubiri kauli ya Mnyika, Dr. Slaa, Mdee.
mwaka huu lazima mtage mayai.
sina jazba na nimeshakuwa mpole siku nyingi..Mkuu kuwa mpole, ulitaka aseme ukweli upi kwa kipindi kile, tafakari zaidi hayo alafu utapata jibu
Usiwe na jazba tunachohitaji ni kuiondoa ccm tu
haaa timu Magufuli, ccm bana wanajifanya CHADEMA
CCM mbele Kwa mbele
angekuwa na nia ya dhati angeyasema haya mapema.. tafuteni sababu nyingine...
mie nawatakia kila lakheri kwenye safari yenu ya matumaini... nitakuwa sehemu ya mabadiliko kwa namna nyingine.. sio kila kitu nishabikie maana tumeembiwa wengine nikinani wakati maprof madr wabunge ,kamati kuu wanajua zaidi wameshakubali wengine ni kinani kupinga huu uamuzi muhimu ni kukaa kando kutizama mchezo tu..wenye chama washaa amua...
mzee usiwe na shaka mlango upo wazi unatoka wewe wanaingia wengine watano. Tunakutakia mafanikio mema huko uendakondio upofu tulionao prochadema mnataka kila mtu akubaliane..sasa nipewa akili ya nini..?
tafakari ni muhimu..
nimeshajiuliza maswali mengi tu ..na ndio maana nimefikia huu uamuzi...
mzee usiwe na shaka mlango upo wazi unatoka wewe wanaingia wengine watano. Tunakutakia mafanikio mema huko uendako
wanaoona ujio wa lowasa ni tatizo sio mbaya kama wakiondoka kimya kimya waende wanakoamini kuna asali na maziwa
"Alijiuzuru uwaziri mkuu kwa sababu ya Richmond. Tulimweka katika orodha ya mafisadi kwa sababu ya Richmond. Na jana alisema alimwambia rais "tuvunje mkataba" rais akaataa. Angefanyeje?. hilo ni vumbi, litakapo tulia Chama Cha Mapinduzi na mfumo tawala utakuwa umeanguka, tutajenga nchini.Bila kuvunja mfumo tawala hakuna kusonga mbele," ameeleza Lissu.
asante aisee siyo....watano ..mwenyekiti ameshasema kwa mtaji wa wafuasi wa lowasa hawezi kufanya makosa sasa..
mimi nitaweka tofauti gani..? wakati mamillion yanakuja...
wanaoona ujio wa lowasa ni tatizo sio mbaya kama wakiondoka kimya kimya waende wanakoamini kuna asali na maziwa