The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Nimekuelewa mkuu yabidi utulize akili kwenye iyo comment yakowala hujakosea
Nimekuelewa mkuu yabidi utulize akili kwenye iyo comment yakowala hujakosea
ni kweli ni magufuli kahusika hata wewe GT unalifaham ila mahaba sikulaumu its human nature!Wanajaribu kumnasua Magufuli na serikali yake......ukweli utajulikana. Sasa una uhakika ni Magufuli na serikali yake kwanini usiuanike huo ukweli unaoujua? Tena huko hamna vitisho.
asshole is youAlways I dont argue with asshole!!
msome vizuri chingaone utamuelewaKama wewe ulivyo chokwa na ndugu zako
Mwambieni leo tumezindua flyover yeye aendelee kuwa mbunge wa mitandaoni
Nnachojua kilicho tokea kweny biblia wakat Shadrach ,meshak na Abednego walivyotupwa kwenye moyo kwa amri ya mfalme na wakapona kwa miujiza ya Mungu ndivyo nnavyojua lissu aliponywa kutoka kweny mikono ya ya mafedhuli kwa muujiza maada ya kupitshwa kweny mvua kubwa ya risas ,Hebu tafakari zaidi,. Ilikuwaje risasi zitokee upande wa dereva na zimpate mguuni na si kifuani au sehemu nyingine ya mwili.
Inamaana huyu mpigaji ilikuwa rahisi kwake kuuona mguu kuliko kichwa , kifua ?
Nyie ndio mliompiga risasi sasa mnafurahia.Mwambieni leo tumezindua flyover yeye aendelee kuwa mbunge wa mitandaoni
ni kivuko cha magari ndugu..Mwambieni leo tumezindua flyover yeye aendelee kuwa mbunge wa mitandaoni
wanajinyeanyea si walijua wamemuua KAMANDA Lisu sasa kapona wanahofia moto kuwaka mimi nasema lisu Hakuna kumlegezea mshenzi yeyote taja wote mpaka KAMANDA wawasiojulikana bashiteeView attachment 879609
Mimi sijawahi kuwa na Katibu anayeitwa Hosea Mirambo. Katibu wangu wa miaka yote tangu 2010 anaitwa Moses Fanuel Omari. Anaishi Kijiji cha Issuna A, Kata ya Issuna, Wilaya ya Ikungi.
Sijawahi kusikia mtu anayeitwa Hosea Mirambo jimboni kwangu, na sidhani kama yupo.
Jeshi la Polisi na Serikali ya Magufuli linaendekeza uzushi na ujinga wa aina hii mitandaoni kwa sababu linawafahamu waliohusika kujaribu kuniua.
Gari yangu iko Polisi Mkoa wa Dodoma tangu tarehe 8 September 2017. Huyo anayesema halina damu ameambiwa na nani wakati gari iko mikononi mwa polisi muda wote huo.
Kuna mjinga mwingine aliandika hivi karibuni kwamba matundu ya risasi yako upande wa kulia, wakati mimi nilikaa upande wa kushoto. Alijuaje wakati gari iko polisi na Jeshi la Polisi halijawahi kusema chochote juu ya mambo haya???
Wanajitahidi sana kumnasua Magufuli na Serikali yake kwa damu iliyomwagika tarehe 7 September 2017, na kwa mateso na maumivu yote ya zaidi ya mwaka mmoja.
Hawataweza kumnasua kwa uzushi na ujinga wa aina hii. Ukweli wote utadhihirika siku moja. Ni suala la muda tu.
Flyover huku mnawa pyupyupyu watuMwambieni leo tumezindua flyover yeye aendelee kuwa mbunge wa mitandaoni
Unafanya mchezo watu walishandaa hadi mpango wa mazishi ,lazima wadate wakimskia.CCM wakimsikia huyu mtu huwa wanatamani ardhi ipasuke
Mnaomtetea jamaa, hivi akili mnaziweka wapi ?! Kwa kuwa wengine nao wamewahi kupigwa risasi, Basi watu wasiwalaani "WASIOJULIKANA" ?!Yet another set of absurd allegations from dude. Tundu's 15 minutes are long gone. Hata 50 Cent alipigwa risasi 5 au 6, but he moved on.
Wajefya sn munyampaa!IPO Siku nguo za kijani mtazivua ili mjifiche, hazita vulika mtakimbilia pasipo kimbilika,
Lisu mungu kesha kuponya tunakusubiri kuendeleza mapambano wewe hununuliki Mung'inya wu kayaa
Aliwatajia namba ya gari iliyokuwa inamfuata,unataka ataje mara ngapi?hata akitaja yatakuwa ndio yale yale mtapotezea tu..hamtojaliHivi hizi lawama za kila siku si ataje tuu tuelewe moja kila siku siku watu wake watu wake...
Chaaaa...
Tembea ujionee Mkuu. Nenda kenya tu hapo, wala usiende mbali. Hutozungumzia tena huo mwinuko wa tazara.Mwambieni leo tumezindua flyover yeye aendelee kuwa mbunge wa mitandaoni
Sometimes kifo kina thamani kubwa kuliko uhai. Jina lako litabaki milele na milele, pasipo uwepo wako.Aliwatajia namba ya gari iliyokuwa inamfuata,unataka ataje mara ngapi?hata akitaja yatakuwa ndio yale yale mtapotezea tu..hamtojali
Sikiliza Zimbabwea ya Roma Mkatoliki. WAla hutouliza tenaAliwatajia namba ya gari iliyokuwa inamfuata,unataka ataje mara ngapi?hata akitaja yatakuwa ndio yale yale mtapotezea tu..hamtojali
Exactly. Huwa nawaza hivyo pia. Nia haikua kumuua ila kumpa mateso na ulemavu wa kudumu.Aliemshambulia Lissu nina uhakika wa 100%,hakua na nia ya kumuua,nia ni kumpa ulemavu
Haiwezekani risasi zote sijui 90' hakuna hata moja ya kichwani au kifuani walikua wanapiga tumboni kuelekea miguuni ili asife