Lissu: Rais alipowaambia waandishi 'hamna uhuru kiasi hicho' alishauriwa na nani

Kwa akili yako kama sisi uhuru wetu una mpaka , nani ambaye uhuru wake hauna mpaka?
Mawazo haya msingi wake ni uoga , wasiwasi na udikteta.
Hao unaowasema walitamka haya maneno nao ni binadamu tu kama sisi. Na kwa kuwa ni binadamu wanaweza wakati mwingine wasiwe sahihi katika kufikri kwao na kusema pia.

Sent from my TECNO R7 using JamiiForums mobile app
Mkuu siyo lazima uambiwe hilo,kila jambo linamipaka na iko dhahiri kwa mwenye ufahamu,ila kama wewe huna ni maisha yako.mie akili yangu ndogo inaona mipaka katika kila jambo hiyo ya kwako iko nje ya milki yangu.
 
Concept ya swali la TL lilivyokaa Jibu lake ni mzungumzaji tu anaweza kujibu.

Ila wewe unachukulia lile swali katika "holistic approach" ambapo kweli inaonekana kuwa TL aliuliza swali sahihi na kwa mtu na mahala sahihi. Kitu ambacho siyo kweli na siyo sahihi.
Hivi Mwinyi alipokosea na kuruhusu ZNZ kujiunga na OIC kinyume na Katika, kesi hiyo ilifunguliwa dhidi ya AG, kwa msimamo wako ilibidi afunguliwe Mwinyi mwenyewe! Wonderful! Urais ni taasisi na serikali ni mfumo. Ni suala la kisheria zaidi. Nisije kuwa nabishana na mtu wa propoganda za ccm.
 
Mkuu siyo lazima uambiwe hilo,kila jambo linamipaka na iko dhahiri kwa mwenye ufahamu,ila kama wewe huna ni maisha yako.mie akili yangu ndogo inaona mipaka katika kila jambo hiyo ya kwako iko nje ya milki yangu.
haya bwana hayo ni mawazo yako, ila kuna kitu umenifurahisha sana , umejibu hoja yangu kwa ustarabu mkubwa.

Sent from my TECNO R7 using JamiiForums mobile app
 
haya bwana hayo ni mawazo yako, ila kuna kitu umenifurahisha sana , umejibu hoja yangu kwa ustarabu mkubwa.

Sent from my TECNO R7 using JamiiForums mobile app
Siwezi kumtukana mtu kwa mawazo yake,najua tunatofautiana sana uelewa na mazingira,sasa naanzaje kujaji akili ya mtu ambaye sikumlea? Sijui hata kilichokusukuma kuandika ulichoandika,labda kina uhalisia kwa mazingira yako,ila kwangu hapana.
 
Hakuna kisichokuwa na mipaka hata chakula chako unapokula kunamipaka yake acha kuandika na kusema
 
mkuu umeandika haya ukiwa na akili zako timamu na kwa hiari yako mwenyewe?

kwanza nimekosea hata kukuita mkuu HUKUSTAHILI
Ulitishwa na nani ukaacha kufuta neno mkuu wakati hakustahili? Yaonesha amekupa dozi ya kuondoa unyumbu mpaka ukajikuta unaita mkuu bila kufuta hata ulipokumbuka.
 
Ulitishwa na nani ukaacha kufuta neno mkuu wakati hakustahili? Yaonesha amekupa dozi ya kuondoa unyumbu mpaka ukajikuta unaita mkuu bila kufuta hata ulipokumbuka.

Weweeee, utakuwa kanda maalum siyo kwa hasira hizi duuuh
 
Hivi Mwinyi alipokosea na kuruhusu ZNZ kujiunga na OIC kinyume na Katika, kesi hiyo ilifunguliwa dhidi ya AG, kwa msimamo wako ilibidi afunguliwe Mwinyi mwenyewe! Wonderful! Urais ni taasisi na serikali ni mfumo. Ni suala la kisheria zaidi. Nisije kuwa nabishana na mtu wa propoganda za ccm.
Naomba nikuulize "Je, unaelewa ni Kwa nini AG alibeba huo mzigo wa kesi hiyo!?
 
Tundu Lissu akichangia bajeti habari, sanaa na michezo amesema katiba yetu imeondoa mipaka ya uhuru wa habari na kipindi kuanzia mwaka 2015 uhuru wa habari unakabiliwa na hatari kuliko kipindi chochote,
Amemuuliza waziri wa katiba na sheria kuwa rais aliposema hadharani kuwa waandishi wa habari hawana uhuru kiasi hicho kwa kutangaza habari za migogoro ya wakulima na wafugaji alikuwa ameshauriwa na mtu au ni yeye mwenyewe?
Amesema kuna mambo mabaya yanafanyika lakini wabunge wanayazuia yasihojiwe bungeni ila baada ya muda na wao wataanza kushughulikiwa na hakutakuwa na kelele


Ina maana kila anachosema Rais lazima awe kashauriwa?
Dhima na nguvu ya Washauri ni IPI..!??
Kwamba kila akishauriwa lazima afuate huo ushauri...!!!
Kama ni hivyo napendekeza tuanze kuwapigia kura washauri badala ya Rais.
 
Elewa rais ni Kama Baba au Mama kwenye familia.

Sasa, wewe Kama unakaa unawatukana au kuwasema vibaya wazazi wako unamatatizo sana hata kama leo unajiona uko vizuri ila pana la kukutokea ndipo utakumbuka ulivyowasema au kuwatukana wazazi wako.

Unavyoheshimu wazazi wako heshima iyo hiyo iwe kwa rais wa nchi yako.

Kwa hiyo siyo kiapo ila ni nidhamu kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Weka tusi moja tu ambalo amewahi kutukanwa Rais na wapinzani!
 
Tundu Lissu akichangia bajeti habari, sanaa na michezo amesema katiba yetu imeondoa mipaka ya uhuru wa habari na kipindi kuanzia mwaka 2015 uhuru wa habari unakabiliwa na hatari kuliko kipindi chochote,
Amemuuliza waziri wa katiba na sheria kuwa rais aliposema hadharani kuwa waandishi wa habari hawana uhuru kiasi hicho kwa kutangaza habari za migogoro ya wakulima na wafugaji alikuwa ameshauriwa na mtu au ni yeye mwenyewe?
Amesema kuna mambo mabaya yanafanyika lakini wabunge wanayazuia yasihojiwe bungeni ila baada ya muda na wao wataanza kushughulikiwa na hakutakuwa na kelele


hili li lissu bhana. eti linataka watu kama yeye wanaotaka kumtukana kumdharau na kumkejeli rais wa jamhuri wawe na uhuru kufanya hivyo. eti ndio uhuru wa habari.
 
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!

hivi kabisa umeona Lisu amekosea ? utakuwa na tatizo wewe
 
:D:D:D:D:p:p:D:):););)

Shida yako ni moja tu, unataka nimtukane, nimlaani au kumlaumu Rais Dr. Magufuli...

I will never ever do that, as longer as I am a patriotic Tanzanian!

Zaidi, nikwambie, hata kama Lowasa au Mama yule wa ACT wazalendo angeshinda na kuwa rais wa nchi yangu kamwe , sitakaa nimseme vibaya Rais wa nchi yangu.
U are not a patriotic but a hypocrite,kukosoa matamshi ya rais is part of democracy sababu rais sio mtakatifu
 
Tundu Lissu akichangia bajeti habari, sanaa na michezo amesema katiba yetu imeondoa mipaka ya uhuru wa habari na kipindi kuanzia mwaka 2015 uhuru wa habari unakabiliwa na hatari kuliko kipindi chochote,
Amemuuliza waziri wa katiba na sheria kuwa rais aliposema hadharani kuwa waandishi wa habari hawana uhuru kiasi hicho kwa kutangaza habari za migogoro ya wakulima na wafugaji alikuwa ameshauriwa na mtu au ni yeye mwenyewe?
Amesema kuna mambo mabaya yanafanyika lakini wabunge wanayazuia yasihojiwe bungeni ila baada ya muda na wao wataanza kushughulikiwa na hakutakuwa na kelele


Big like kwa Lisu
 
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!
Akili zako kama za panya
 
Weka tusi moja tu ambalo amewahi kutukanwa Rais na wapinzani!

Kwa hiyo unataka nimtukane rais, kwa hoja ya kutaja wapinzani walivyomtukana rais eeeeeh!?

I will never ever do that,

I can simply tell you that, "your mission against me its completely impossible "
 
Back
Top Bottom