Lissu: Rais alipowaambia waandishi 'hamna uhuru kiasi hicho' alishauriwa na nani

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,833
18,828
Tundu Lissu akichangia bajeti habari, sanaa na michezo amesema katiba yetu imeondoa mipaka ya uhuru wa habari na kipindi kuanzia mwaka 2015 uhuru wa habari unakabiliwa na hatari kuliko kipindi chochote,
Amemuuliza waziri wa katiba na sheria kuwa rais aliposema hadharani kuwa waandishi wa habari hawana uhuru kiasi hicho kwa kutangaza habari za migogoro ya wakulima na wafugaji alikuwa ameshauriwa na mtu au ni yeye mwenyewe?
Amesema kuna mambo mabaya yanafanyika lakini wabunge wanayazuia yasihojiwe bungeni ila baada ya muda na wao wataanza kushughulikiwa na hakutakuwa na kelele

 
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!
 
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!

mkuu umeandika haya ukiwa na akili zako timamu na kwa hiari yako mwenyewe?

kwanza nimekosea hata kukuita mkuu HUKUSTAHILI
 
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!
Mawazo ya kijinga kabisa aisee !!! daaaah !!! Watu kama nyinyi ni kikwazo kikubwa sana cha ustawi wa "mama yetu Tanganyika" in Mbattia voice
 
ungekua mwanangu ningekupeleka gengeni nikabidishana na fungo moja la nyanya....ulichokiongea ni zaidi ya takataka

:D:D:D:D:p:p:D:):););)

Shida yako ni moja tu, unataka nimtukane, nimlaani au kumlaumu Rais Dr. Magufuli...

I will never ever do that, as longer as I am a patriotic Tanzanian!

Zaidi, nikwambie, hata kama Lowasa au Mama yule wa ACT wazalendo angeshinda na kuwa rais wa nchi yangu kamwe , sitakaa nimseme vibaya Rais wa nchi yangu.
 
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!


Nani, haka katundu? Haka ni sawa na Zitto, kubwabwaja tu na kufurahisha watu ila hamna chochote.
 
:D:D:D:D:p:p:D:):););)

Shida yako ni moja tu, unataka nimtukane, nimlaani au kumlaumu Rais Dr. Magufuli...

I will never ever do that, as longer as I am a patriotic Tanzanian!

Zaidi, nikwambie, hata kama Lowasa au Mama yule wa ACT wazalendo angeshinda na kuwa rais wa nchi yangu kamwe , sitakaa nimseme vibaya Rais wa nchi yangu.
Siwezi kubishana na wewe. naona akili yako ndipo ilipofika mwisho
 
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!
Mtumwa mzoefu
 
Mawazo ya kijinga kabisa aisee !!! daaaah !!! Watu kama nyinyi ni kikwazo kikubwa sana cha ustawi wa "mama yetu Tanganyika" in Mbattia voice

Wewe, Weweeeeee, Mbatia mwenyewe tumbo limemfanya asijulikane Kama yeye ni. Ndege au Mnyama, maana leo hii hajitambui tena.

Ila, TL ni. Mnafiki kwa nini asiende kumuuliza rais pale ikulu hayo maswali!?
 
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!
Aiseee,naamini hata Kibajaj ana akili nyingi
 
Siwezi kubishana na wewe. naona akili yako ndipo ilipofika mwisho

Ukisema hivyo ni wewe usemaye ila siyo kweli.

Ila siwezi kusema vibaya Rais au, kumlaumu kwa sababu , muuliza maswali mwenyewe kashindwa kuelewa mahala sahihi pa kupata majibu yake.
 
Back
Top Bottom