Lissu: Rais alipowaambia waandishi 'hamna uhuru kiasi hicho' alishauriwa na nani

Elewa rais ni Kama Baba au Mama kwenye familia.

Sasa, wewe Kama unakaa unawatukana au kuwasema vibaya wazazi wako unamatatizo sana hata kama leo unajiona uko vizuri ila pana la kukutokea ndipo utakumbuka ulivyowasema au kuwatukana wazazi wako.

Unavyoheshimu wazazi wako heshima iyo hiyo iwe kwa rais wa nchi yako.

Kwa hiyo siyo kiapo ila ni nidhamu kwa kiongozi mkuu wa nchi.
Lakini uangalie piahuyo RAISunaetataka kumuheshimu ni waaina gani, hivi leo ukaniambie ni muheshimu JACOB ZUMA kwa lipi? ndo kamahuyu wa kwako siwezi kumheshimu kama Babayangu na mama yangu hata siku moja.Baba na mama yangu ni levo nyingine kabisa ukiwalinganisha na Magufuli sijui ni kuchape vibao vya hewani ingawaje sikufahamu.
 
Lakini uangalie piahuyo RAISunaetataka kumuheshimu ni waaina gani, hivi leo ukaniambie ni muheshimu JACOB ZUMA kwa lipi? ndo kamahuyu wa kwako siwezi kumheshimu kama Babayangu na mama yangu hata siku moja.Baba na mama yangu ni levo nyingine kabisa ukiwalinganisha na Magufuli sijui ni kuchape vibao vya hewani ingawaje sikufahamu.

Basi, ila concept yangu umeielewa.
 
Kama umegoma kuwa hutumii viroba basi itakuwa changaa. Unaonyesha umelewa ndio maana huelewi hata wajibu wa mbunge

Sawa. Ila naamini emeelewa kuwa TL aliuliza swali kwa mtu asiye na jibu, maana aliyeongea ni mwingine.
 
Tumia akili yako vizur ,usitumie moyo wako kufanya kaz ya ubongo , Au unajitoa fahamu makusudi ? Lissu alishaomba kukutana na Baba Bashite ila had leo hajajibiwa ,Baba bashite hana Muda wa kuongea na Upinzani had 2020 ,ulitegemea Tundu akamuulize hayo maswali kwa njia gan ?? Au wee unadhan kukutana na Baba bashite ni kama kukutana na Mpnz wako Guest ??? Yule ni Mbunge angesemea wapi kama sio Bungeni ??
We Akili zako hazina akili ,au utakua battery Low

... hoja hapo ni matusi !? Au, bado unaendelea kuandika...!?
 
Aliyeuliza maswali yeye hujamuona pa kupelekwa!?
Sababu, mimi nakataa tatizo la TL kuuliza maswali mahala ambapo majibu hatapata , wakati mahala sahihi pa msemaji anajulikana. Kwa nini TL asiende ikulu au pale Dodoma aulize direct kwa Rais hayo maswali kisha apate majibu mubashara!?
Kwanza TL maana yake ndio nin?
 
Lakini uangalie piahuyo RAISunaetataka kumuheshimu ni waaina gani, hivi leo ukaniambie ni muheshimu JACOB ZUMA kwa lipi? ndo kamahuyu wa kwako siwezi kumheshimu kama Babayangu na mama yangu hata siku moja.Baba na mama yangu ni levo nyingine kabisa ukiwalinganisha na Magufuli sijui ni kuchape vibao vya hewani ingawaje sikufahamu.

Basi tena,
Heshimu ninachoandika nami naheshimu unachoandika na usilazimishe Mimi kuja upande wako kwa vile tu hutaki kukubaliana na ninachoandika.
 
Hakuna haja ya kucrash mtu jf ni uwanja huru kwa yeyote kutoa mawazo yake kibaya tu usitukane wala kukushifu MTU!" Kuna baadhi ya vitu huwa nakubaliano navyo kitoka kwa TL na vingine sikibaliani nae! Vile vile Jpm!! Ukweli ndio huo!!!
 
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!
!!!! povu hilo nd mana ameuliza bungen ambako kuna serikali!!!
 
Kwanza, elewa kuwa mimi ni akili kubwa maradufu.
Sasa, concept iko hivi, wewe ulimsikia mtu aliyeongea lakini unashindwa kumuulizia unaenda kuuliza mtu mwingine ambaye hata hujui unachokiuliza na hakuwa na hiyo nafasi ili atoe majibu.

Mwisho, swali lake TL lilivyokaa Jibu lake ni mzungumzaji tu, ndiye aliyekuwa na uwezo wa kutoa majibu mubashara.

Mfano, baba au Mama au nduguyo, aongee neno fulani mahala, kisha aliyesikia hilo neno aje kukuulizia wewe kuwa;

Je, baba au Mama ama nduguyo, aliposema neno hili wewe ndiye ulimshauli au ni yeye mwenyewe!?

Yaani, hiyo inaonesha haelewi ni wapi pa kuuliza jambo Kama hilo.

Utakuwa umeelewa.
Kuna mdau mmoja amesema kama una familia basi ni mtihani Kwa unaowangoza,sijui ccm huwa inawafanyaje coz mkishakuwa huko basi na akili zinahama nahisi huwa mnalishwa limbwata
 
TL, asijitoe ufahamu.
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!
naliona povu hiloooo
 
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo![/QUOTE]
:(:(:(:(:(:(:(
 
Mkapa aliwahi kusema hakuna uhuru bila mipaka,Nyerere alisema uhuru ukizidi ni uwendawazimu hivyo tukumbuke tuko huru bati noti tu zet eksitenti.Ukitia hilo akilini mabaya mengi yatakuepuka na hutazeekea mahakamani au gerezani kabisa.
Kwa akili yako kama sisi uhuru wetu una mpaka , nani ambaye uhuru wake hauna mpaka?
Mawazo haya msingi wake ni uoga , wasiwasi na udikteta.
Hao unaowasema walitamka haya maneno nao ni binadamu tu kama sisi. Na kwa kuwa ni binadamu wanaweza wakati mwingine wasiwe sahihi katika kufikri kwao na kusema pia.

Sent from my TECNO R7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mdau mmoja amesema kama una familia basi ni mtihani Kwa unaowangoza,sijui ccm huwa inawafanyaje coz mkishakuwa huko basi na akili zinahama nahisi huwa mnalishwa limbwata

Weka hoja,
Hizo familia haziishi Kama ufikiliavyo.
 
Yeye si anajua nyumbani kwa Rais Dr. Magufuli, kwa nini asifunge safari akamuulize moja Kwa moja apate majibu mubashara !?

Tena, yeye si anajiita rais wa TLS, basi akaongee na rais mwenzake atapata majibu muruaaa kabisa.

Mbona, anawatega wabunge ambao hawana majibu hayo!
:(:(:(:(:(:(:([/QUOTE]

Niaje, mkuu mbona Emoji nyingi hizo na zimekasirika Sana!!
 
fc98e3ce2a845dc9c3c4bba0545dda91.jpg
sio watu wakuachwa Hawa...Magu gooo!
 
Back
Top Bottom