Lissu: Nilikuwa best student faculty of law na nilitamani kuwa Profesa ili nifundishe Sheria

potokaz

JF-Expert Member
Jul 19, 2011
530
486
Akihojiwa na Sarah Wambui Mwangi akiwa Nairobi Tundu Lissu alisema kabla ya kuangukia kwenye siasa alitamani sana kuwa PROFESA wa Sheria ili arudi kufundisha UDSM. Ufinyu wa bajeti uliokuwepo Chuo wakati huo wakati huo haukuwezesha ajira yake kufanikiwa na hivyo akaingia kitaa kutafuta ajira.

Katika maelezo yake Tundu Lissu anasema alikuwa best student pale chuo kikuu katika mwaka wao kwa maana ya kuwa alipaata ufaulu wa juu zaidi kuliko wanafunzi wote wa kitivo cha Sheria.

Akili na Uwezo wa mwanasiasa na wakili huyu nguli unafanya aonekane genious, kumbe una support ya historia yake ya kitaaluma.

Leo naomba tupate ushuhuda kwa waliosoma na Tundu Lissu Uwezo wake na akiwa darasani na kwenye mijadala mbalimbali tangu akiiwa primary, secondary hata chuo kikuu.

Tu appreciate Uwezo wa watu wengine wanaoonekana kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali.

Maendeleo hayana CHAMA.
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu. Na ni very selfish huyu jamaa!!!

Bora hata Mimi na ualimu wangu huu nasaidia taifa langu kwa kuwapa vijana elimu,Mpaka sasa nina vijana zaidi ya laki tano waliopita mikononi mwangu,huyu bwana kafanya lipi kwa watanzania ambalo kwalo twaweza mkumbuka
 
Mwanasheria wa kweli hawezi kupindisha ukweli wa kauli zake kijinga jinga hivi, eti kwa sababu ya vijisent kidogo ili taifa liangukie kwenye mikono ya fisadi kuu (mh Lowasa) kama walivyokuwa wanamwita. Mwanasheria wa aina hii anaweza hata kukufanya ushindwe kesi kisa tu waliokushitaki au uliowashitaki wamempa chochote ajaze tumbo lake. Hana tofauti na yule mchungaji wa afrika kusini ambae alikuwa tayar kuwalisha binadam menzake nyasi, ili yeye na familia yake mkono uende kinywani. Toka aoneshe dhahiri kuwa anapigania tumbo lake kupitia mgongo wa siasa za hovyo, watu wenye akili wote tumempuuza, na haaminiki tena kama anaweza kusimamia kesi za watu kwa uadilifu na ukweli.

images (7).jpeg


images (12).jpeg


images (11).jpeg
 
Akihojiwa na Sarah Wambui Mwangi akiwa Nairobi Tundu Lissu alisema kabla ya kuangukia kwenye siasa alitamani sana kuwa PROFESA wa Sheria ili arudi kufundisha UDSM. Ufinyu wa bajeti uliokuwepo Chuo wakati huo wakati huo haukuwezesha ajira yake kufanikiwa na hivyo akaingia kitaa kutafuta ajira.

Katika maelezo yake Tundu Lissu anasema alikuwa best student pale chuo kikuu katika mwaka wao kwa maana ya kuwa alipaata ufaulu wa juu zaidi kuliko wanafunzi wote wa kitivo cha Sheria.

Akili na Uwezo wa mwanasiasa na wakili huyu nguli unafanya aonekane genious, kumbe una support ya historia yake ya kitaaluma.

Leo naomba tupate ushuhuda kwa waliosoma na Tundu Lissu Uwezo wake na akiwa darasani na kwenye mijadala mbalimbali tangu akiiwa primary, secondary hata chuo kikuu.

Tu appreciate Uwezo wa watu wengine wanaoonekana kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali.

Maendeleo hayana CHAMA.
Kuwa best student siyo alama ya kuwa genius
 
Mwanasheria wa kweli hawezi kupindisha ukweli wa kauli zake kijinga jinga hivi, eti kwa sababu ya vijisent kidogo ili taifa liangukie kwenye mikono ya fisadi kuu (mh Lowasa) kama walivyokuwa wanamwita. Mwanasheria wa aina hii anaweza hata kukufanya ushindwe kesi kisa tu waliokushitaki au uliowashitaki wamempa chochote ajaze tumbo lake. Hana tofauti na yule mchungaji wa afrika kusini ambae alikuwa tayar kuwalisha binadam menzake nyasi, ili yeye na familia yake mkono uende kinywani. Toka aoneshe dhahiri kuwa anapigania tumbo lake kupitia mgongo wa siasa za hovyo, watu wenye akili wote tumempuuza, na haaminiki tena kama anaweza kusimamia kesi za watu kwa uadilifu na ukweli.

View attachment 1900881

View attachment 1900882

View attachment 1900883
Namuongelea mtu anaitwa Lissu Kama mwanasiasa na wakili nguli sio Chama Cha siasa na maamuzi ya kichama.

Unakumbuka kwenye kufunga bunge la katiba Sitta alongea nini kuhusu Lissu?

Nikukumbushe- Aliutambua mchango ( kwa kumtaja jina) wake mkubwa uliowasaidia sana kufikia maamuzi katka mijadala.
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu.na Ni very selfish huyu jamaa!!!
Tazamisha macho yako mambo kwenye chanzo chake na sio matokeo.
Mjitahidi Sana haki iwe kwa wingi kwa kadiri iwezekanavyo, ikiwa adimu, hutafutwa kwa njia mbalimbali, mradi zisivunje Sheria.
Kila mtu yuko huru na ana haki na mtazamo wake.
 
Akihojiwa na Sarah Wambui Mwangi akiwa Nairobi Tundu Lissu alisema kabla ya kuangukia kwenye siasa alitamani sana kuwa PROFESA wa Sheria ili arudi kufundisha UDSM. Ufinyu wa bajeti uliokuwepo Chuo wakati huo wakati huo haukuwezesha ajira yake kufanikiwa na hivyo akaingia kitaa kutafuta ajira.

Katika maelezo yake Tundu Lissu anasema alikuwa best student pale chuo kikuu katika mwaka wao kwa maana ya kuwa alipaata ufaulu wa juu zaidi kuliko wanafunzi wote wa kitivo cha Sheria.

Akili na Uwezo wa mwanasiasa na wakili huyu nguli unafanya aonekane genious, kumbe una support ya historia yake ya kitaaluma.

Leo naomba tupate ushuhuda kwa waliosoma na Tundu Lissu Uwezo wake na akiwa darasani na kwenye mijadala mbalimbali tangu akiiwa primary, secondary hata chuo kikuu.

Tu appreciate Uwezo wa watu wengine wanaoonekana kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali.

Maendeleo hayana CHAMA.
Simply I can say; "History is more than the path left by the past 'cause it influences present tmes and equally paints the future times.

Viongozi wa CCM siku zote huwaogopa sana watu wenye akili kubwa, hasa wale ambao wana uthubutu wa kuonyesha mapungufu yao. Hakika uwezo na umahiri mkubwa wa Tundu Lissu katka masuala ya kisheria, ndiyo hasa sababu kuu ya chuki kwake kutoka kwa makada vilaza na mahafidhina katika chama tawala.

Na hii si kwa Lissu pekee yake, bali hata hivi karibuni tulilishuhudia ukweli kupitia misimamo ya ex CAG Prof. Mussa Assad. Nchi inaendeshwa kupitia akili za watu wenye uwezo mdogo mno, kisa eti ni makada waaminifu wa chama tawala.

Wewe ebu jaribu kuchunguza sifa za wateule wengi walioaminiwa kushika madaraka hapa nchini baada ya kifo cha Mwl. Nyerere. Nachelea kusema wengi wao wala hawana sifa wala weledi ya kupewa dhamana hizo.

Hii ndiyo sababu iliyopelea mpendwa wetu Ben Saanane kukutwa na kizungumkuti pale alipoanza kuhoji uhalali wa shahada ya uzamivu yenye kugubikwa na utata mwingi ya mwendazake. Nathubutu kusema kusema Lissu alikutwa na yaliyomkuta na kunusurika kufa kutoka na hofu hii ya ukilaza iliyowajaa makada hao ili kuepuka hoja zake kinzani.
 
Lisu kiboko mapungufu sehemu ya mwanadamu

Lisu ndiye aliyetoa hoja yakupinga sheria iliyokua inazuia wanafunzi mwaka wa kwanza kuhusika kujadili mijadala mbali bali nkrumah Hall ila kua wasikilizaji mwaka 1992

Kumbuka hata akina samweli sita waliburuzwa Wakiwa mwaka wa kwanza lakini NGULI huyu alikataa kuhusika kwenye uburuzwaji

Baada ya kutoa hoja nakusikilizwa maprofesa ilibidi waone haya na kukubali kwamba kweli walikuwa wanafanya makosa kuzuia wanafunzi mwaka wa kwanza kujadili mijadala na kua wasikilizaji


Toka hapo nyinyi wote mliopitia hicho chuo hapo kutoka 1993 hadileo ukiona unatoa na kuchangia mijadala mwanafunzi mwaka wa kwanza tambua hayo nimatunda ya Lisu antpass

Jingine kwa faida yako

Lisu toka alivopata ufahamu tu akiwa darasa la tatu hajawahi wahi shule namba hadi anahitimu la saba (Ly),na kila alipokutana mkono wa mwalimu alijitetea hajawahi pigwa fimbo

Jiulize walimu wa miaka hiyo shule ya msingi!!!


Kwaleo hayo

Mchomoaji betri kitambo
 
Suala la kuwa na akili za darasani halitoshi au haliwezi kuwa kigezo cha kuwa mtu mwenye impact sahihi katika jamii.

Ila pia tukubali kuwa intellectualism ikiambatana na the right attitude inaweza kumfikisha mtu mbali. Mwalimu Nyerere alikuwa the smartest student katika madarasa aliyowahi kupitia, lakini kilichomfikisha hapo siyo usmart wake kichwani tu, ni usmart wake + the right attitude.

Lissu ni smart hilo halina ubishi. Ila kwa bahati mbaya nadhani hakuweza kutumia vizuri usmart wake hivyo attitude yake ya usmart wa darasani ameiendeleza hata kwenye mambo yanayohitaji moyo zaidi ya ubongo.

Uprofesa kunamfaa zaidi.
 
Huyu dogo lopo lopo sana.Kupanga ni kuchagua
Akihojiwa na Sarah Wambui Mwangi akiwa Nairobi Tundu Lissu alisema kabla ya kuangukia kwenye siasa alitamani sana kuwa PROFESA wa Sheria ili arudi kufundisha UDSM. Ufinyu wa bajeti uliokuwepo Chuo wakati huo wakati huo haukuwezesha ajira yake kufanikiwa na hivyo akaingia kitaa kutafuta ajira.

Katika maelezo yake Tundu Lissu anasema alikuwa best student pale chuo kikuu katika mwaka wao kwa maana ya kuwa alipaata ufaulu wa juu zaidi kuliko wanafunzi wote wa kitivo cha Sheria.

Akili na Uwezo wa mwanasiasa na wakili huyu nguli unafanya aonekane genious, kumbe una support ya historia yake ya kitaaluma.

Leo naomba tupate ushuhuda kwa waliosoma na Tundu Lissu Uwezo wake na akiwa darasani na kwenye mijadala mbalimbali tangu akiiwa primary, secondary hata chuo kikuu.

Tu appreciate Uwezo wa watu wengine wanaoonekana kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali.

Maendeleo hayana CHAMA.
 
Back
Top Bottom