Genta I bet! Magufuli is not our President 2020 - 2025. Kwa niliyosikia yanayoendelea ndani ya Chama cha mapinduzi tena kwa usiri mkubwa sana. No way. Hashindi. Mbaya zaidi wakubwa waneshakuwashia taa nyekundu. Anayopitia haya na tofauti na aliyopitia Kabila hadi akaamua kutoka na Aliyopitia Nkurunziza hadi nae akaamua aage tu!!
Mambo ni magumu sana kwa Magu, usione kina bashiru wanajilopokea tu hovyo huko Kagera