Lissu ni asset au liability kwa CHADEMA?

Babeli

JF-Expert Member
Jul 20, 2015
6,660
3,233
atika Hali ya kawaida CHADEMA kabla ya kampeni ilikuwa na wabunge zaidi ya 50, wakati hata kabla Lissu hajaenda Ubelgiji.

Kabla ya ujio wa Lissu, CHADEMA ilikuwa kidooogo inaeleweka eleweka ingawa bado kulikuwa na majinga yanayopenda kupiga mayowe ya kutafuta Kiki, hata hivyo wananchi walishayasoma michezo yao yote na mistakabali wa Taifa letu.

Lissu akaja na kuwapiku wote waliokuwa wanaomba Urais wakina Nyalandu, Msigwa, Mbowe. Anajifanya yeye ndiye mzoefu na mjuzi wa siasa za wakati huu za namna ya kupambana na Magufuli..

Haya kampeni zimefanyika na uchaguzi ukafanyika, Lissu ameshindwa na CHADEMA imeambulia mbunge mmoja nchi nzima.

Lissu amekuja na gundu la ajabu ambalo atalisikitikia maishani mwake. Lakini Mbowe nae alishindwa kuongoza chama mpaka chama kinamfia mikononi.

Haya Lissu ndio huyo kashasepa ametelekeza cheo chake Cha Makamu Mwenyekiti na Mambo yote ya CHADEMA..ametelekeza wanachama.

Inasikitisha sana sasa wanachama wamkimbilie nani?. Mbowe na team yake waelekee wapi?. Hapo ndipo nakuja kujiuliza Lissuu ni asset au liability?.

Tujadili kwa kuwaonea huruma hawa jamaa, wananchi wamewaadhibu sana lakini watajifunza kuwajua hasa watanzania wanataka nini sio makelele yao yasiyokuwa na tija.

Wananchi wanataka maendeleo ya kweli sio sanaa zao.

Nawasilisha
 
Tahadhari, kila unachoandika kwenye maada za kisiasa huenda zikatumika kama ushahidi huko ICC hivyo tunawaasa muandike kwa hekima
 
Uzuri ni kuwa wananchi unaosema walimchugua Magufuli ni polisi na tiss waliobeba magobore kujeruhi na kuua mawakala wa Chadema ili kulinda madaraka yake!
Zezeta yoyote akikabidhiwa mamlaka ya kuamrisha wabeba mabunduki anaweza kuwa rais wa milele.
Hao unaowasema wamefika milioni 12. Aisee wewe kweli mfia chama..ungekuwa unajua idadi yao hao unaowasema au idadi ya watumishi wa umma Tanzania nzima usingezungumza hivyo..no aibu
 
Yani sio Asset wala Liability bali ni muuaji mzuri wa chama.
Si unaona mwenyewe chama kimekufa.
Hahaha haya nayo maneno...chama kwishney kule..wamebaki wabunge wa vitu maalumu ambao wanapambania ili waruhusiwe waende bungeni wapate mkate wao wa kila siku..
 
Mlivyoshindwa kumuua mkaanza propaganda za kishamba ambazo ni wajinga tu kama wewe wanaozishadadia.
Siyo mbaya kwa kuwa kula na kunywa yenu inatokana kuabudu sanamu mlilojichongea wenyewe.
Ni Kama lile sanamu la mwenyekiti wa milele mlilojipangia...ambalo Sasa nayeye hatakubali chama kimfie mikononi..lazima nayeye akitupe kukaangukie mbali kule
 
FB_IMG_1605430308082.jpg
 
Cuf,Act, NCcr wao gundu lao limetokana na Nani?
Nchi imeja majinga tu,
Hapa tunazungumzia gundu la Lissu alilotua nalo kwa ndege kutoka kwa jemedari Amsterdam na mabeberu...bado tunajiuliza au Lissu alitaka ku revange kwa kukiua chama ili wakose wote..maana bado haamini je zile mabunduki zilipangwa na ndani ya chama au nje...hahaha..
 
Jamaa katoka Ubelgiji na propaganda zake za UN/,EU akakiteka chama na kufanya biashara zake za hovyo, sasa anajiona ni mpweke huko anaomba po arudi bongo.

Na sasa kamuachia kazi ya kufufua saccos mwenye chama, wakati sasa hivi angekuwa anafikiria ku retire baada ya kufanya biashara nzuri kwa miongo miwili
 
Jamaa katoka Ubelgiji na propaganda zake za UN/,EU akakiteka chama na kufanya biashara zake za hovyo, sasa anajiona ni mpweke huko anaomba po arudi bongo
Mwache ajipe yeye ndio Rais, makamo wake Amsterdam na waziri wake mkuu Mbowe..Mbowe alisema ndani ya masaa 72 atakuwa ameukwa uwaziri mkuu..hahahaha..anacheza na wananchi Nini..
 
Mwenyekiti ndio kaua chama,
Kuna mambo ya msingi yaliyosababisha chama kutokupata ushindi, cha ajabu hawayajali na kuyajadili, ila wanajificha katika mwamvuli wa "TUMEIBIWA KURA"
 
Mwenyekiti ndio kaua chama,
Kuna mambo ya msingi yaliyosababisha chama kutokupata ushindi, cha ajabu hawayajali na kuyajadili, ila wanajificha katika mwamvuli wa "TUMEIBIWA KURA"
Posibo..mwenyekiti lakini pia Lissu..kiukweli wananchi wachache Sana wanna support lissuu..na wengi hawapo nae kwa sababu ya tabia yake ya kijinga, hajitambui, Hana busara, na hafai kuwa hata mwenyekiti wake Kijiji..wamemjaribu tu kumpa umakamu mwenyekiti wa chadema, haya kaangukia pua..Hilo lilikuwa jaribio dogo..sasa wangempa uenyekiti ndio kabisaaa hicho chama kingefutika usoni pa wanachama wao..
 
Back
Top Bottom