- Thread starter
- #21
Naunga mkono HOJA.
Lissu angalau anaeleweka, na akiongea anamaanisha.
Tuhakikishe bila Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya, haufanyiki uchaguzi wowote!!
Kila mtu ana mapungufu yake ila wengine ni umbumbumbu zaidi. Wanadhani siasa ni Simba au Yanga.
Tuutafute umoja:
"TAL, Zitto, Jussa, Mwabukusi, Mdude, Nshalla, Slaa, Shivji, Ulimwengu, Kitila, Mpina, Madeleka, Kigaila, Maria Sarungi, askofu Mwamakula, askofu Bagonza, Father Kitime, Sheikh Ponda na wa namna hiyo."
Timu ya ushindi hIyo hapo.
Kama jina lako halikutajwa jitafute kwenye "wa namna hIyo."
Wanatakiwa waliodhamiria na kuamini kwenye uhuru, haki, usawa na demokrasia Kwa maneno na Kwa vitendo.