inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,962
- 18,255
dah...questioning my brain now!!!..ok,sikusoma vzr,maana najua we ni mtetezi wa mzee toka mwanzo,now naona unakubali taratibu kua kuna tatizoUse your brain more effectively.
dah...questioning my brain now!!!..ok,sikusoma vzr,maana najua we ni mtetezi wa mzee toka mwanzo,now naona unakubali taratibu kua kuna tatizoUse your brain more effectively.
Somo zuri kwetu viumbe wa Mungu
Unaonekana wewe ni mganga wa Kienyeji,ebu mimi nawaza nini muda huu?Hiyo ni for the public tu,ila moyoni mwake anawish tofauti.
kumbe na wajumbe wamo humu!!Hujajibu hoja ya mjumbe. Kwa mantiki yako tuwe tunaamini lolote pasi taarifa rasmi? Kukatishwa kwa ziara si lazima uwe ugonjwa. Hoja ni kwamba watanzania twapaswa kujuzwa kama kweli anaumwa na sababu rasmi za kukatishwa kwa ziara. why mtu wa ughaibuni ajue hali ya Raisi na watanzania wa tukuyu tusijue lolote?!