Lissu: Namuombea Rais Magufuli apone arejee katika kazi yake. Ubaya haulipwi kwa ubaya bali kwa wema

Status
Not open for further replies.
Hujajibu hoja ya mjumbe. Kwa mantiki yako tuwe tunaamini lolote pasi taarifa rasmi? Kukatishwa kwa ziara si lazima uwe ugonjwa. Hoja ni kwamba watanzania twapaswa kujuzwa kama kweli anaumwa na sababu rasmi za kukatishwa kwa ziara. why mtu wa ughaibuni ajue hali ya Raisi na watanzania wa tukuyu tusijue lolote?!
kumbe na wajumbe wamo humu!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom