PreGE2025 Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?

PreGE2025 Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,103
Reaction score
128,723
Wanabodi,

Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。

Hii ni mada fikirishi.
Outline.
  1. Utangulizi
  2. Declaration of Interest
  3. Holistic Approach
  4. Mungu na Shetani ni nani na wako wapi.
  5. Mpango wa Mungu na Mpango wa Shetani.
  6. No Reform No Election ni Mpango wa Mungu au Shetani?.
  7. Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu au ni Ajent wa Shetani?
  8. Msingi Mkuu wa Nchi Yetu ni Katiba na Inapata Mamlaka kutoka kwa Wananchi
  9. Haki Mbili Kuu za Kikatiba,Kuchagua na Kuchaguliwa,zimeporwa Kishetani!Reforms Zitazirejesha!。
  10. Vyama vya Siasa Tanzania ni Public Parties Lazima Vitangulize Mbele Public Interests
  11. Baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Siasa Sio Tu ni Insane Bali Baadhi ni Ma Ajent wa shetani!
  12. Insanity Inawapataje Viongozi wa Siasa?..
  13. Mtu Kuwa Insane Sio Kosa, ni Hali Tuu, Lakini Kikundi cha Watu, Chama, Kikao au Wanachama Wote Kukubali Kufuata Ushauri wa Isane, Wote Mtaonekana Insane!.
  14. Je Kila Uamuzi wa Kugomea Jambo au Kususia Kitu ni Ujinga, Insane ?
  15. Hitimisho
1. Utangulizi
JF ni ukumbi huru wa kuhabarishana, kuelimishana, kuburudishana, na kitu kikubwa zaidi, kusaidiana. Kama kuna kitu unakijua, na unaona kinafanyika ndivyo sivyo, unajitolea kusaidia kuwaelimisha wengine kuhusu kitu hicho, na hiki ndicho mimi ninachofanya humu JF, kuwaelimisha wengine kile nilichobahatika kukifahamu, na elimu hii naitoa humu jf, kupitia makala zangu za kwa Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo pia zinachapishwa kwenye magazeti ya Mwananchi na Nipashe, kila Jumatano na Jumapili na pia zinakwenda sambamba na kipindi cha TV cha jina hilo hilo la KMT, kinachoruka kila Jumapili saa 3:00 usiku na Jumatano saa 9:30 alasiri on Channel Ten

Declaration of Interest
Mimi ni kada wa chama cha siasa, ila ninapoandika hapa, siandiki kama kada, bali naandika kama Mtanzania Mzalendo, ambaye ni mwandishi wa habari aliyehudumu newsroom kwa zaidi ya miaka 30, na pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, hivyo ukinisoma with preconceived opinions kuwa huyu ni kada wa chama fulani, hutaweza kuiona the rationale behind bandiko hili, na elimu ninayoitoa, hivyo nakushauri bora uishie hapa.

3. Holistic Approach
Mada ya leo, japo ni mada ya kisiasa,lakini naijadili kwa mtindo wa holistic approach kwa kutumia dhana dhanifu ya Mungu na Shetani。Kila kinachotokea duniani, jambo lolote, ni ama ni mpango wa Mungu ama ni mpango wa Shetani.

4. Mungu na Shetani ni nani na wako wapi.
Dhana ya Mungu na shetani ni dhana dhanifu kuwa Mungu ndie mmumba wa dunia hii na vyote vilivyomo, msaidizi mkuu wa Mungu ni malaika mkuu Lusiferi, akaasi kwa kutaka kupoka madaraka na mamlaka ya Mungu kwa na yeye kutaka kuabudiwa, hivyo kukatokea vita kati ya Mungu na malaika watiifu na shetani na malaika waasi, Mungu akashinda, shetani akashindwa, shetani na malaika waasi wakafukuzwa peponi na kutupwa motoni.

Japo dini nyingi zinawafundisha watu Mungu anakaa mbinguni na peponi, na shetani anakaa kuzimu na motoni, ukweli ni kwamba wote wawili, Mungu na shetani ni Omnipotent, wana nguvu za kufanya kila kitu ila nguvu za Mungu ni kubwa zaidi za shetani. Omniscience, (wana jua kila kitu ), ni Omnipresent (wako popote).

Ile siku Mungu anatuumba, ile pumzi ya uhai aliotupulizia, ina Uungu ndani yake, hivyo kila binadamu hai, ana Mungu ndani yake na ana nguvu za Mungu, na shetani pia yupo ana taka kuchukua nafasi ya Mungu. Hivyo kila binadamu ana miili miwili, mwili wa nyama (physical body) na mwili wa roho (spiritual body), na ndunia hii tunayoishi kuna ulimwengu wa mwili (physical world), na ulimwengu wa roho, (spiritual body), hivyo mbinguni na peponi ni hapa hapa duniani, kwenye ulimwengu wa roho!.
5, Mpango wa Mungu na Mpango wa Shetani.
Mpango wa Mungu kwenye kumuumba binadamu ni ili amche Mungu na kutenda yalio mema, mambo yote mema na mazuri ya kheri ni mpango wa Mungu, na mambo yote mabaya, majanga na dhambi ni mpango wa shetani.

Mungu ndie huweka serikali za mataifa hivyo viongozi wote wa nchi ni mpango wa Mungu, hivyo viongozi wanapaswa kuwaza, kusema na kutenda mema,viongozi wanapotenda maovu kwa nchi na wananchi wake,japo ni watu wa Mungu,wanakuwa wamegeuka ni ma agenti wa shetani!

Kuna wakati Mungu anarumruhusu shetani kutenda mambo mabaya, kuleta majanga, hadi vifo, ambayo tunaita ni mapito,majaribu na mitihani ya Mwenyezi Mungu ili kukupima umesimamaje kukupitisha kwenye tanuru la moto kukuimarisha kukuandaa kwa majukumu makubwa zaidi, hivyo jambo lolote zuri au baya likitokea, japo linasababishwa na shetani, tunatakiwa kushukuru Mungu kwa yote kwasababu Mungu ndie Alfa na Omega, ameruhusu hayo yatokee.

Mfano lile la Ayubu, au Yesu kujaribiwa na shetani, inawezekana hata mapito ya Lissu,ni mpango wa Mungu kuonyesha utukufu wake!

Kuna wakati Mungu anaifanya mioyo ya watu iwe migumu ili kudhihirisha utukufu wake kama Nabii Mussa na Farao, na kuna wakati, Mungu anaacha mambo mabaya yakukute ili kuja kudhihirisha utukufu wake, kama kusulubiwa kwa Masiha.

Kuna wakati Mungu anaruhusu viongozi wetu kutenda mambo ya kishetani,na bado akawabariki,kama King David alipomtamani mke wa Uria,akamuua Uria na kumtwaa mke wake,Beersheba,na kumfanya mkewe,huyu ndie mama wa Sulemani.
6. No Reform No Election ni Mpango wa Mungu au Shetani.
Inawezekana hii No Reform No Election ni mpango wa Mungu kwa Tanzania kutupatia ukombozi wa pili wa Mtanzania kwa reforms kuzirejesha zile haki kuu mbili za msingi za kikatiba, haki ya kuchagua na haki ya kuchaguliwa zilizoporwa kishetani kwenye katiba yetu?。Au ni mpango wa shetani kukisambaratisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Chadema,kukinukisha kutaka kuzuia uchaguzi mkuu,kitu ambacho ni utopia,hakiwezekani hivyo Chadema itasusia uchaguzi,itakosa ruzuku na kujifia natural death?
7. Je Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu au ni Ajent wa Shetani?
Na je Tundu Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ndio maana akampa muujiza wa kusurvive risasi 16 ,hivyo ameponywa kwa makusudi fulani ili Mungu kumtumia Lissu kuonyesha utukufu wake kwa binadamu? na hata ushindi wa Tundu Lissu alivyomshinda Mbowe kwenye uchaguzi wa ndani wa Chadema ni mpango Mungu, hivyo Chadema pia ni chama mpango wa Mungu?, na kupitia Tundu Lissu,inawezekana Mungu anakwenda kulifanya lile jiwe walilo likataa waashi,litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni?,au Lissu ni agent wa shetani anayetumiwa kutaka kuleta ushetani wa no election kwenye taifa la Mungu hivyo mpango wa Lissu kukinikisha kuzuia uchaguzi ni mpango wa shetani?。
8. Msingi Mkuu wa Nchi Yetu ni Katiba na Inapata Mamlaka kutoka kwa Wananchi。
Msingi mkuu wa nchi yetu ni Katiba ya JMT ya mwaka 1977。 Katiba ndio kila kitu!
Kwa mujibu wa katiba yetu, kitu muhimu kuliko kitu kingine chochote ni kwanza ni nchi, pili ni watu, wananchi. “we the people”, ndie mamlaka kuu ya nchi, aliyeipa mamlaka katiba, ndie mwenye nchi, ndie mwenye katiba, ndie muhimu kuliko kitu kingine chochote!

Mwananchi ametengeneza katiba yenye dhima, na dhamira ambapo dhima ya mtunga katiba, mwananchi ndio kila kitu!. Mwananchi ndie mwenye nchi, mwenye katiba, mwenye sheria, anamuajiri rais wa JMT kupitia kura yake na kumlipa mshahara kupitia kodi yake, hivyo rais wa JMT ni mtumishi wa Mwananchi, sambamba na mihimili yote mitatu.
9. Haki Mbili Kuu za Kikatiba,Kuchagua na Kuchaguliwa,zimeporwa Kishetani!Reforms Zitazirejesha!。
Ibara ya 5 ya katiba, imetoa haki kwa kila mwananchi aliyetimiza umri wa miaka 18,ana haki ya kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka, na ibara ya 21 imetoa haki ya kila mwananchi aliyetimiza umri wa miaka 21,ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi.
9. Haki hizi mbili za kuchagua na kuchaguliwa ndio haki kuu mbili za msingi sana za kisiasa ndani ya katiba yetu.
Serikali yetu kupitia Bunge letu Tukufu, ikapitiwa na shetani fulani, likafanya ushetani。fulani wa mabadiliko batili ya katiba kwa kuchomekea huo ushetani ndani ya kipengele batili cha kishetani ndani ya katiba yetu kwenye ibara ya 39 na ibara ya 67, ambazo zimepora zile haki kuu mbili za msingi za mwananchi kuchagua na kuchaguliwa na kuzikabidhi kwa kinyangarika fulani kinachoitwa chama cha siasa!.

Sasa mwananchi hana tena ile haki na uhuru wa kumchagua kiongozi anayemtaka, analazimishwa kumchagua kiongozi atakaye letewa na chama cha siasa!

Pia Mtanzania hana tena ule uhuru wa kugombea uongozi, kupigiwa kura kuchaguliwa,sasa analazimishwa lazima kwanza ajiunge na chama cha siasa, hiki chama kimdhamini ndipo aruhusiwe kugombea!.

Hii ni kinyume cha dhima na dhamira ya mtunga katiba, hivyo imetokea tuu, mimi member wenu humu JF, nimejaaliwa kamwanga kidogo cha kuisoma katiba yetu na kuibaini dhima na dhamira ya mtunga katiba, hivyo sasa nakatumia haka ka mwanga kadogo nilichojaaliwa nacho, kumulikia na wengine nao angalau waone mwanga jinsi shetani anavyoweza kujiinua na kupenya mpaka ndani ya katiba yetu!。Hivyo inawezekana hizo reforms za no reforms ni mpango wa Mungu,kuzirejesha haki pendwa,na kama ni kweli ni mpango wa Mungu,then ni Mungu atafanya kitu hadi reforms zitafanyika kabla ya uchaguzi,na zisipofanyika,ni Mungu mwenyewe ndie atausimamisha uchaguzi mkuu usifanyike,kwasabu Lissu,Chadema,taasisi yoyote au mtu yoyote hana uwezo wa kusimamisha uchaguzi wa taifa la Mungu,ila kama no election nayo ni mpango wa Mungu,then lisilowezekana kwa mwanadamu,kwa Mungu linawezekana!。
10. Vyama vya Siasa Tanzania ni Public Parties Lazima Vitangulize Mbele Public Interests
Japo vyama vya siasa ni mali ya wanachama na kuhudumiwa na michango ya wanachama, kwa Tanzania, vyama vya siasa ni private parties vya wanachama, wakati tuu wa kuanzishwa, lakini vikiisha ingia kushiriki uchaguzi na kushinda, status ya vyama hivyo ina change from private parties za wanachama into public parties za umma wa wananchi na ndio maana vinalipwa ruzuku ya serikali ambazo ni fedha za wananchi. Fedha za serikali, ni fedha za umma,public money, ni fedha za wananchi, yoyote anayelipwa kwa fedha za imma wa wananchi, by taxpayers money ni public entity, kufuatia viongozi wa vyama hivyo kuchaguliwa na wananchi, the public, to hold a public office, serikali za mitaa, udiwani, ubunge hadi urais, walio wachagua ni public ya Watanzania na sio wanachama wao pekee, hivyo hivi vyama vyote vya siasa vyenye viongozi waliochaguliwa na wananchi ni public parties.

Kufuatia status hii ya vyama vya siasa kuwa ni public parties, then maamuzi yoyote ya chama kuhusu uchaguzi, lazima yazingatie the public interest na sio the selfish motives ya viongozi wake, na kiukweli baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vyetu vya siasa ni watu muflisi kabisa!wanatoa kauli za kiajabu ajabu za kuhatarisha amani kama kauli ya “kukinukisha”,inawezekana ni ma agenti wa shetani ?na wengine kiukweli kabisa kwa kauli zao,hawa sio ni vichaa kabisa?! Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?

Japo mgombea lazima adhaminiwe na chama cha siasa kugombea nafasi yoyote ya uongozi wa umma, kwa maoni yangu, udhamini una lengo zuri ili kupata viongozi bora na viongozi safi wenye uwezo wa uongozi, lakini kwa vile katiba inatoa haki kwa kila mtu kuwa huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi, kitendo cha kulazimisha kila mtu lazima kudhaminiwa na chama cha siasa, huu sio tu ni ujinga, bali huu ni ushetani fulani!。 Kitendo cha haki kuu za msingi za kikatiba kuzuiliwa kinyume cha katiba, ni ushetani, na japo sasa ushetani huu, umehalalishwa kishetani kwa kuchomekewa kiubatili kwa koshetani shetani ndani ya katiba yetu kinyume cha dhamira ya mtunga katiba, kitendo cha vyama vya siasa kuutumia ubatili huu wa kishetani kama fimbo ya kuwachapia wanachama wake wanao hoji utimamu百na ukichaa wa viongozi wao, hakikubaliki!, ni uonevu na kinyume cha katiba ya JMT kwa dhima ya mtunga katiba!, huu pia ni ushetani!
11. Baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Siasa Sio Tu ni Insane Bali Baadhi ni Ma Ajent wa shetani!.
Wanabodi, hapa kwenye hili,naomba kutanguliza ashakum, na kuomba radhi kwa haya ninayoyaandika kuhusu baadhi ya viongozi wetu wa vyama vya siasa kuwa sio tuu ni insane bila ya wao kujijua kuwa they are insane!, ila pia ni maajenti wa shetani bila wao kujijua,wanatumika na shetani kwa kumtumikia shetani kwa kufanya kazi za kishetani ndani ya vyama vya siasa!。

Utawajua viongozi mashetani hawa kwa mawazo, maneno ya kauli zao za kiajabu ajabu na matendo yao ya kuhatarisha amani na umoja wetu!。 Mfano kuna kauli za kiajabu ajabu zinazotolewa na baadhi ya viongozi wetu, zinastaajabisha hadi mtu unajiuliza kama viongozi hawa wanao toa kauli hizi wana akili timamu?!.

Ili kuielewa hii dhana ya viongozi insane, karibu hapa na twende taratibu ili umjue insane ni nani na ajenti wa shetani ni kiongozi wa aina gani na utamtambuaje na kumtofautisha na mtu mwenye akili zake timamu Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?
12. Insanity Inawapataje Viongozi wa Siasa?.Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?
Kama nilivyoeleza pale juu, mtu kuwa insane ni hali tuu, kwa Kiswahili kizuri ni kughafilika. Mtu unaweza kuwa timamu kabisa, lakini ukatibuliwa na jambo fulani, ukachukia ukachukua maamuzi ya hamaki, hasira na kufanya kitendo ambacho sio cha kawaida sometimes hata kuua!, halafu ukiisha tulia, ndipo akili zinakurudia,unajiuliza umefanya nini na kuanza kuujutia uamuzi wako!。

Lengo la chama cha siasa, ni kushika dola, hivyo viongozi wanaogombea nafasi mbali mbali kwa lengo la kushika dola (urais), kushika jimbo (ubunge), kata (udiwani), na mitaa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Akitokea kiongozi wa siasa akazuia chama ama wanachama kushiriki zoezi la uchaguzi huru na wa haki,then kiongozi huyo ni insane,na akitokea kiongozi wa chama cha siasa,akasema atakinukisha mpaka uchaguzi usifanyike,kiongozi wa type hii, sio tuu ni insane,bali pia ni agent wa shetani bila yeye kujijua!

Sasa katika kugombea, kukijitokeza umati mkubwa wa watu katika mikutano yako, wanakushangilia sana,unajaza sana nyomi, kunakupa matumaini hewa ya kukubalika, hivyo mgombea unakuwa na too great expectation ya kushinda, kumbe ni just some false hopes, hivyo uchaguzi ukifanyika, matokeo yakaonyesha umeshindwa, unapagawa, unachanganyikiwa unakuwa huamini matokeo, hivyo unaghafilika, unarukwa na akili, una despair, hiyo hali inakusababishia hali inayoitwa preudo insanity, hivyo unatoa maamuzi ya ajabu ajabu, hatua ya kwanza inaitwa denial, hukubali matokeo, unaamini ulishinda ukaibiwa kura, hivyo una wamobilize wafuasi wako muingie barabarani kukinukisha!, this is madness! kutaka kuwafolenisha watu kuwaingiza barabarani kuwadanganya utasimamisha uchaguzi isifanyike kwa kukinukisha!huu ni ishetani! kiongozi wa aina hii, anaweza kuwa ni agent wa shetani anamtumikia shetani bila kujijua!。

Hatua ya pili ni kutoa taarifa kuwa hukubali matokeo, hii ni kawaida kwa kila asiyakubali kushindwa. Hatua ya tatu ni kusema huwatambui walioshinda. Unaweza usiwatambue kwa muda, lakini walioshinda wakiisha apishwa, kutowatambua ni muendelezo wa insanity!. Hatua ya nne ni kususa, na kutaka kuwazuia wengine walioshinda kihalali, au kususia kutoa ushirikiano kwa walioshinda, kama hili la kugomea kutoa majina ya wabunge wa viti maalum!.

Kuna wanaoshindwa na kubakia kuwa stable, lakini kuna wanaoshindwa na kuchanganyikiwa hadi kurukwa akili, sasa hawa walioshindwa na kurukwa akili wakitoa maamuzi ya ajabu ajabu, kama kukinukisha,wenye akili timamu mkiwafuata, wote mtaonekana insane!, hivyo lile kundi la G-55 ndio wenye akili timamu!
13。Mtu Kuwa Insane Sio Kosa, ni Hali Tuu, Lakini Kikundi cha Watu, Chama, Kikao au Wanachama Wote Kukubali Kufuata Ushauri wa Isane, Wote Mtaonekana Insane!. Wale Wasio Insane, Wasikubali Maamuzi ya Kijinga!.
Uchaguzi uliopita umepita, walioshinda, wameshinda, iwe walishinda kihalali kimbinu,kwa bao la mkono,that is bygone,let the bygones be bugones, walioshindwa wameshindwa, sasa uchaguzi mwingine unakuja, zipo taarifa za baadhi ya viongozi walioshindwa kutaka kuwazuia wanachama na wafuasi wao wasishiriki uchaguzi kwa kuwahadaa utauzuia uchaguzi kwa kukinukisha!, this is madness!.

Wito wangu kwenye hivyo vyama, kama kuna viongozi ambao sio insane, please stop this madness ndani ya vyama vyenu, vinginevyo wote mtaonekana ni vichaa mnatumika na shetani!。
14. Je Kila Uamuzi wa Kugomea Jambo au Kususia Kitu ni Ujinga, Insane ?
Hapana, sio kila kugomea jambo au kususia jambo fulani ni ujinga. Kugomea jambo fulani ili kutuma ujumbe mzito kwa watawala, kuwa this is not right, kunakubalika, hivyo maandamano ya kutuma ujumbe, demonstrations au industrial actions kwa wafanyakazi, kudai haki zao, ni migomo halali na ina justification kwa ajili ya kutimiza malengo fulani, ndio maana ninainga mkono reforms kuondoa ule ushetani kwenye katiba yetu!

Kipimo cha kususia jambo fulani au kugomea fulani, kipi ni uamuzi sahihi na kipi ni ujinga na uendawazi, ni kipimo cha kutumia matokeo, jee ukigomea jambo fulani, una goma ili kuachive nini?, kama unagoma tuu ili mradi kugoma, au unasusa tuu ili mradi kususa, kwa kugoma huko, huta achieve anything, huku ndio kugoma kwa ujinga na uendawazimu, na kumtumikia shetani,,viongozi wa vyama wanaohimiza vyama vyao kususia uchaguzi,huku ni kugoma ambapo there is nothing they'll achieve kwa kususa huko au kugoma huko, huu ndio uendawazimu ninaouzungumza hapa! Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Unaweza kususa kushiriki uchaguzi kwasababu uko huru kushiriki uchaguzi au usishiriki,lakini huwezi kuwazuia wengine kushiriki uchaguzi,ni madness,lakini kitendo cha kusema utazuia uchaguzi usifanyike kwa kukinukisha!,huku ni kumtumikia shetani na kuwa ajenti wa shetani!
Hitimisho.
Kwa vile vyama vya siasa ni public parties, viongozi wa vyama, mna wajibu wa kuviendesha vyama vyenu kwa kutanguliza mbele maslahi ya umma na sio maslahi binafsi ya viongozi wenu, msiruhusu ignorance, insanity, selfishness na utumishi wa shetani kwa baadhi ya viongozi wenu wabinafsi, kuviangamiza vyama vyenu kwa ignorance, insanity, selfishness yao, na mpango wa shetani wakati miongoni mwenu sio wote mko insane.

ila inawezekana hii no reforms no election ni mpango wa Mungu kwa Tanzania anao letwa kwa mtindo wa blessing in disguise,ili hizo reforms ziondoe ule ushetani uliofanywa kwenye katiba yetu,hivyo Chadema ni mpango wa Mungu na Tundu Lissu ni mpango wa Mungu kuwakomboa Watanzania kurejeshewa haki zao。

Kipimo cha mwisho NRNE na Tundu Lissu kama ni mpango wa Mungu au wa shetani,tutakipima kwa performance and the end justifies the means,kama NRNE ni mpango wa Mungu,then Mungu atatenda,reforms zitafanyika kabla ya uchaguzi na tutafanya uchaguzi huru kweli na wa haki kweli na kama kusipofanyika reforms,uchaguzi haitafanyika, sio Tundu Lissu, Chadema na wafuasi wao kukinukisha,bali kwa Mungu Baba muweza wa yote kufanya kitu kitakachofanya uchaguzi usifanuike!。

Kama NRNE,ni mpango wa shetani,hakutafanyika reforms zozote,na uchaguzi utafanyika kama kawaida,huo mpango haramu wa kuzuia uchaguzi mkuu usifanyike,utashindwa!, mipango ovu ya maajenti wa shetani,washindwe na walegee!

Mungu Ibariki Tanzania!

Nawatakia Jumatatu Njema na mapumziko mema ya Karume Day。

Paskali
 
No reforms, No election imewashtua huko Lumumba hakukaliki. mbogamboga mnahaha kwelikweli!!

Haya maandiko yako yamenikumbusha Operation mockingbird, namna kitengo cha Marekani kilivyolipa hela waandishi wa habari ili kuandika uongo mzuri (propaganda) kuhusu Marekani dhidi ya Soviet.
 
Ukila Hela za watu unaweza kurupushwa hata saa Tisa usiku ukiwa uchi WA mnyama ukaacha unyumba na KUSHIKA keyboard 🎹 Yako kuanza kuandika Kile mlambisha asali anataka.... LISSU amewashika pabaya sana HII NO REFORMS NO ELECTION imewashika pabaya sana... In loving memory of president John magufuli " Mayala kwetu kule wasukuma maana yake ni Njaa" wakuu tutafte pesa aisee
 
Wanabodi,

JF ni ukumbi huru wa kuhabarishana, kuelimishana, kuburudishana, na kitu kikubwa zaidi, kusaidiana. Kama kuna kitu unakijua, na unaona kinafanyika ndivyo sivyo, unajitolea kusaidia kuwaelimisha wengine kuhusu kitu hicho, na hiki ndicho mimi ninachofanya humu JF, kuwaelimisha wengine kile nilichobahatika kukifahamu, na elimu hii naitoa humu jf, kupitia makala zangu za kwa Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo pia zinachapishwa kwenye magazeti ya Mwananchi na Nipashe, kila Jumatano na Jumapili na pia zinakwenda sambamba na kipindi cha TV cha jina hilo hilo la KMT, kinachoruka kila Jumapili saa 3:00 usiku na Jumatano saa 9:30 alasiri on Channel Ten

Declaration of Interest
Mimi ni kada wa chama cha siasa, ila ninapoandika hapa, siandiki kama kada, bali naandika kama Mtanzania Mzalendo, ambaye ni mwandishi wa habari aliyehudumu newsroom kwa zaidi ya miaka 30, na pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, hivyo ukinisoma with preconceived opinions kuwa huyu ni kada wa chama fulani, hutaweza kuiona the rationale behind bandiko hili, na elimu ninayoitoa, hivyo nakushauri bora uishie hapa.

Mada ya leo, japo ni mada ya kisiasa,lakini naijadili kwa mtindo wa holistic approach ya Mungu na Shetani。

Inawezekana hii
No Reform No Election ni mpango wa Mungu kwa Tanzania kutupatia ukombozi wa pili wa Mtanzania kwa reforms kuzirejesha zile haki kuu mbili za msingi za kikatiba, haki ya kuchagua na haki ya kuchaguliwa zilizoporwa kwenye katiba yetu?。Au ni mpango wa shetani kukisambaratisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Chadema,kukinukisha kutaka kuzuia uchaguzi mkuu,kitu ambacho ni utopia,hakiwezekani ?.

Na je Tundu Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ndio maana akampa muujiza wa kusurvive risasi 16 ,hivyo ameponywa kwa makusudi fulani ili Mungu kuonyesha utukufu wake kwa binadamu kwa kulifanya lile jiwe lililokataliwa na waashi,litakavyo fanywa kuwa jiwe kuu la pembeni, au Lissu ni agent wa shetani anayetumiwa kuleta ushetani wa noreforms,no election?。

Usikute hii No Reform,No Election ni mpango wa Mungu kwa kwa ukombozi wa pili nchi yetu Tanzania kuzirudisha haki mbili kuu ndani ya katiba yetu zilizoporwa,

Msingi mkuu wa nchi yetu ni Katiba ya JMT ya mwaka 1977。 Katiba ndio kila kitu!
Kwa mujibu wa katiba yetu, kitu muhimu kuliko kitu kingine chochote ni kwanza ni nchi, pili ni watu, wananchi. “wethe people”, Mwananchi ndie mwenye nchi, ndie mwenye katiba, ndie muhimu kuliko kitu kingine chochote!

Mwananchi ametengeneza katiba yenye dhima, na dhamira ambapo dhima ya mtunga katiba, mwananchi ndio kila kitu!. Mwananchi ndie mwenye nchi, mwenye katiba, mwenye sheria, anamuajiri rais wa JMT kupitia kura yake na kumlipa mshahara kupitia kodi yake, hivyo rais wa JMT ni mtumishi wa Mwananchi, sambamba na mihimili yote mitatu.

Ibara ya 5 ya katiba, imetoa haki kwa kila mwananchi aliyetimiza umri wa miaka 18,ana haki ya kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka, na ibara ya 21 imetoa haki ya kila mwananchi aliyetimiza umri wa miaka 21,ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi.

Haki hizi mbili za kuchagua na kuchaguliwa ndio haki kuu mbili za msingi sana za kisiasa ndani ya katiba yetu.

Serikali yetu kupitia Bunge letu Tukufu, ikapitiwa na shetani,ikafanyamabadiliko batili ya katiba kwa kuchomekea kipengele batili ndani ya katiba yetu kwenye ibara ya 39 na ibara ya 67, ambazo zimepora zile haki kuu mbili za msingi za mwananchi kuchagua na kuchaguliwa na kuzikabidhi kwa kinyangarika fulani kinachoitwa chama cha siasa!.

Sasa mwananchi hana tena ile haki na uhuru wa kumchagua kiongozi anayemtaka, analazimishwa kumchagua kiongozi atakaye letewa na chama cha siasa!

Pia Mtanzania hana tena ule uhuru wa kugombea uongozi, kupigiwa kura kuchaguliwa,sasa analazimishwa lazima kwanza ajiunge na chama cha siasa, hiki chama kimdhamini ndipo aruhusiwe kugombea!.

Hii ni kinyume cha dhima na dhamira ya mtunga katiba, hivyo imetokea tuu, mimi member wenu humu JF, nimejaaliwa kamwanga kidogo cha kuisoma katiba yetu na kuibaini dhima na dhamira ya mtunga katiba, hivyo sasa nakatumia haka ka mwanga kadogo nilichojaaliwa nacho, kumulikia na wengine nao angalau waone mwanga jinsi shetani anavyoweza kujiinua na kupenya mpaka ndani ya katiba yetu!。

Vyama vya Siasa Tanzania ni Public Parties
Japo vyama vya siasa ni mali ya wanachama na kuhudumiwa na michango ya wanachama, kwa Tanzania, vyama vya siasa ni private parties vya wanachama, wakati tuu wa kuanzishwa, lakini vikiisha ingia kushiriki uchaguzi na kushinda, status ya vyama hivyo ina change from private parties za wanachama into public parties za umma wa wananchi na ndio maana vinalipwa ruzuku ya serikali ambazo ni fedha za wananchi. Fedha za serikali, public money, ni fedha za wananchi, yoyote anayelipwa kwa fedha za wananchi, by taxpayers money ni public entity, kufuatia viongozi wa vyama hivyo kuchaguliwa na wananchi, the public, to hold a public office, serikali za mitaa, udiwani, ubunge hadi urais, walio wachagua ni public ya Watanzania na sio wanachama wao pekee, hivyo hivi vyama vyote vya siasa vyenye viongozi waliochaguliwa na wananchi ni public parties.

Kufuatia status hii ya vyama vya siasa kuwa ni public parties, then maamuzi yoyote ya chama kuhusu uchaguzi, lazima yazingatie the public interest na sio the selfish motives ya viongozi wake, na kiukweli baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vyetu vya siasa ni watu muflisi, ma agenti wa shetani na wengine ni vichaa kabisa! Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?

Japo mgombea lazima adhaminiwe na chama cha siasa kugombea nafasi yoyote ya uongozi wa umma, kwa maoni yangu, udhamini una lengo zuri ili kupata viongozi bora na viongozi safi wenye uwezo wa uongozi, lakini kwa vile katiba inatoa haki kwa kila mtu kuwa huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi, kitendo cha kudhaminiwa na chama cha siasa pia ni ujinga fulani hivi wa haku kuu za kikatiba kuzuiliwa kinyume cha katiba, japo ujinga huu sasa umehalalishwa na kuchomekewa kiubatili tuu, ndani ya katiba yetu kinyume cha dhamira ya mtunga katiba, kitendo cha vyama vya siasa kuutumia ubatili huu kama fimbo ya kuwachapia wanachama wake, hakikubaliki!, ni uonevu na kinyume cha katiba ya JMT kwa dhima ya mtunga katiba!.

Lakini huyo mgombea akiisha chaguliwa kwa kura za wananchi kuwa kiongozi, status yake ina change from mdhaminiwa wa chama cha siasa into a public service, kiongozi huyu sasa anakuwa ni kiongozi wa umma na sio mgombea wa chama. Uwezo wa chama cha siasa kumfukuza uanachama mwanachama wake ambaye ni kiongozi wa umma, bila kosa lolote, au kosa lake ni yeye kuchaguliwa kuongoza eneo lake, wakati vigogo wa chama chake wameshindwa na kupigwa chini na wananchi wao, huu ni ujinga na kutowatendea haki wananchi wa eneo husika walio onyesha imani yao kwa mgombea huyo na kumchagua!.

Baadhi ya Viongozi wa Vyama ni Insane, Hawajui Watendalo!
Wanabodi, hapa naomba kutanguliza ashakum, na kuomba radhi kwa haya ninayoyaandika kuhusu baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa kuwa ni insane bila ya wao kujijua kuwa they are insane!, ila ni kweli kabisa baadhi ya viongozi wa vyama vyetu vya siasa, are total insane na utawajua kwa mawazo, maneno na matendo yao ya kiajabu ajabu. Mfano kuna kauli za kiajabu ajabu zinazotolewa na baadhi ya viongozi wetu, zinastaajabisha hadi mtu unajiuliza kama viongozi hawa wanao toa kauli hizi wana akili timamu?!.

Ili kuielewa hii dhana ya viongozi insane, karibu hapa na twende taratibu ili umjue insane ni nani na utamtambuaje na kumtofautisha na mtu mwenye akili zake timamu Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?

Insanity Inawapataje Viongozi wa Siasa?.
Kama nilivyoeleza pale juu, mtu kuwa insane ni hali tuu, kwa Kiswahili kizuri ni kughafilika. Mtu unaweza kuwa timamu kabisa, lakini ukatibuliwa na jambo fulani, ukachukua maamuzi ya hamaki, hasira na kufanya kitendo ambacho sio cha kawaida sometimes hata kuua!, halafu ukiisha tulia, ndipo unajiuliza umefanya nini na kuanza kuujutia uamuzi wako.

Lengo la chama cha siasa, ni kushika dola, hivyo viongozi wanaogombea nafasi mbali mbali kwa lengo la kushika dola (urais), kushika jimbo (ubunge), kata (udiwani), na mitaa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Sasa katika kugombea, kukijitokeza umati mkubwa wa watu katika mikutano yako, kunakupa matumaini ya kukubalika, hivyo mgombea unakuwa na too great expectation ya kushinda, kumbe ni just some false hopes, hivyo uchaguzi ukifanyika, matokeo yakaonyesha umeshindwa, unapagawa, unachanganyikiwa unakuwa huamini matokeo, hivyo unaghafilika, unarukwa na akili, una despair, hiyo hali inakusababishia hali inayoitwa preudo insanity, hivyo unatoa maamuzi ya ajabu ajabu, kwanza ni hatua ya kwanza inaitwa denial, hukubali matokeo, unaamini ulishinda ukaibiwa kura, hivyo una wamobilize wafuasi wako muingie barabarani!, this is insanity kutaka kuwafolenisha watu kuwaingiza barabarani ili iweje?!.

Hatua ya pili ni kutoa taarifa kuwa hukubali matokeo, hii ni kawaida kwa kila asiyakubali kushindwa. Hatua ya tatu ni kusema huwatambui walioshinda. Unaweza usiwatambue kwa muda, lakini walioshinda wakiisha apishwa, kutowatambua ni muendelezo wa insanity!. Hatua ya nne ni kususa, na kutaka kuwazuia wengine walioshinda kihalali, au kususia kutoa ushirikiano kwa walioshinda, kama hili la kugomea kutoa majina ya wabunge wa viti maalum!.

Kuna wanaoshindwa na kubakia kuwa stable, lakini kuna wanaoshindwa na kuchanganyikiwa hadi kurukwa akili, sasa hawa walioshindwa na kurukwa akili wakitoa maamuzi ya ajabu ajabu, wenye akili timamu mkiwafuata, wote mtaonekana insane!

Mtu Kuwa Insane Sio Kosa, ni Hali Tuu, Lakini Kikundi cha Watu, Chama, Kikao au Wanachama Wote Kukubali Kufuata Ushauri wa Isane, Wote Mtaonekana Insane!. Wale Wasio Insane, Wasikubali Maamuzi ya Isane!.
Uchaguzi umekwisha, walioshinda, wameshinda, walioshindwa wameshindwa, zipo taarifa za baadhi ya viongozi walioshindwa kutaka kuwazui a walioshinda wasitumikie wananchi waliowachagua!, this is insanity!.

Kuna taarifa za chama fulani kugomea kuteua wabunge wa viti maalum kwa hoja za kususa, this too is insanity!.

Wito wangu kwenye hivyo vyama, kama kuna viongozi ambao sio insane, please stop this madness ndani ya vyama vyenu, vinginevyo wote mtaonekana ni insane!.

Jee Kila Uamuzi wa Kugomea Jambo au Kususia Kitu ni Ujinga, Insane?
Hapana, sio kila kugomea jambo au kususia jambo fulani ni ujinga. Kugomea jambo fulani ili kutuma ujumbe mzito kwa watawala, kuwa this is not right, kunakubalika, hivyo maandamano ya kutuma ujumbe, demonstrations au industrial actions kwa wafanyakazi, kudai haki zao, ni migomo halali na ina justification kwa ajili ya kutimiza malengo fulani.

Kipimo cha kususia jambo fulani au kugomea fulani, kipi ni uamuzi sahihi na kipi ni ujinga na uendawazi, ni kipimo cha kutumia matokeo, jee ukigomea jambo fulani, una goma ili kuachive nini?, kama unagoma tuu ili mradi kugoma, au unasusa tuu ili mradi kususa, kwa kugoma huko, huta achieve anything, huku ndio kugoma kwa ujinga na uendawazimu, viongozi wa vyama wanaohimiza vyama vyao kususa huku na kugoma huku ambapo there is nothing they'll achieve kwa kususa huko au kugoma huko, huu ndio uendawazimu ninaouzungumza hapa! Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Huwezi kususa kumtambua rais wa nchi- aliyeshinda urais kwenye uchaguzi Mkuu wa kidemokrasia huru na wa haki. Huu ni uendawazimu!. Mgombea ameshinda, huwezi kumzuia asitumikie wananchi walio mchagua- huu ni uendawazimu!. Chama kinastahili kupata idadi fulani ya wabunge wa viti maalum, kugoma kupeleka majina NEC ni uendawazimu!, unasusa ili iweje?.

Hitimisho.
Kwa vile vyama vya siasa ni public parties, viongozi wa vyama, mna wajibu wa kuviendesha vyama vyenu kwa kutanguliza mbele maslahi ya umma na sio maslahi binafsi ya viongozi wenu, msiruhusu ignorance, insanity, selfishness ya baadhi ya viongozi wenu wabinafsi, kuviangamiza vyama vyenu kwa ignorance, insanity, selfishness yao, wakati miongoni mwenu sio wote mko insane.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
No Reforms No Election ni mpango wa CHADEMA wala si wa hata Papa wala nani. Mungu si mtanzania wala hana muda na siasa za majitaka. Jitahidi mwanangu kumuondoa Mungu kwenye mambo yenu. Mungu alikaa wapi na nani kuamua na kutangaza huu mpango wako? Kwanini usiseme wewe ni CHADEMA na unatafuta kujustify mambo yenu? Nakataa kata kata. Ukiamini usanii huu, kesho machawa watakuja kama wewe na kusema mfuga chawa ni chaguo au mpango wa Mungu wakati ni mpango wa machawa. Kumuingiza Mungu kwenye usanii wa kusiasa kunaweza kutafsirika kama kuishiwa kimawazo. Ni ushauri tu
 
Haya mambo ya kuamka usiku wa manane na kutetea uhuni wa watawala, ni suala la muda tutakuwa na vikundi vya waasi watakaopigania kuporwa rasilimali na haki zao na watawala dhalimu.. Juzi tu nilikuwa Kalemie DRC..Wakongomani wanasema mlipoteza kiongozi muhimu (Magufuli) katika kulinda rasilimali za nchi.. namuona Tundu Lisu km Mkombozi mpya ajaye..
 
Lissu hataki amani wala maendeleo ya taifa lake..

Hata bwawa la umeme rufiji amelipinga hadharani na anaendelea kuliponda mpaka leo hii

Lissu makinikia alikuwa anawatetea acacia na barrick kama na yeye ni m canada vile
 
Wanabodi,

JF ni ukumbi huru wa kuhabarishana, kuelimishana, kuburudishana, na kitu kikubwa zaidi, kusaidiana. Kama kuna kitu unakijua, na unaona kinafanyika ndivyo sivyo, unajitolea kusaidia kuwaelimisha wengine kuhusu kitu hicho, na hiki ndicho mimi ninachofanya humu JF, kuwaelimisha wengine kile nilichobahatika kukifahamu, na elimu hii naitoa humu jf, kupitia makala zangu za kwa Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo pia zinachapishwa kwenye magazeti ya Mwananchi na Nipashe, kila Jumatano na Jumapili na pia zinakwenda sambamba na kipindi cha TV cha jina hilo hilo la KMT, kinachoruka kila Jumapili saa 3:00 usiku na Jumatano saa 9:30 alasiri on Channel Ten

Declaration of Interest
Mimi ni kada wa chama cha siasa, ila ninapoandika hapa, siandiki kama kada, bali naandika kama Mtanzania Mzalendo, ambaye ni mwandishi wa habari aliyehudumu newsroom kwa zaidi ya miaka 30, na pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, hivyo ukinisoma with preconceived opinions kuwa huyu ni kada wa chama fulani, hutaweza kuiona the rationale behind bandiko hili, na elimu ninayoitoa, hivyo nakushauri bora uishie hapa.

Mada ya leo, japo ni mada ya kisiasa,lakini naijadili kwa mtindo wa holistic approach ya Mungu na Shetani。

Inawezekana hii
No Reform No Election ni mpango wa Mungu kwa Tanzania kutupatia ukombozi wa pili wa Mtanzania kwa reforms kuzirejesha zile haki kuu mbili za msingi za kikatiba, haki ya kuchagua na haki ya kuchaguliwa zilizoporwa kwenye katiba yetu?。Au ni mpango wa shetani kukisambaratisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Chadema,kukinukisha kutaka kuzuia uchaguzi mkuu,kitu ambacho ni utopia,hakiwezekani ?.

Na je Tundu Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ndio maana akampa muujiza wa kusurvive risasi 16 ,hivyo ameponywa kwa makusudi fulani ili Mungu kuonyesha utukufu wake kwa binadamu kwa kulifanya lile jiwe lililokataliwa na waashi,litakavyo fanywa kuwa jiwe kuu la pembeni, au Lissu ni agent wa shetani anayetumiwa kuleta ushetani wa noreforms,no election?。

Usikute hii No Reform,No Election ni mpango wa Mungu kwa kwa ukombozi wa pili nchi yetu Tanzania kuzirudisha haki mbili kuu ndani ya katiba yetu zilizoporwa,

Msingi mkuu wa nchi yetu ni Katiba ya JMT ya mwaka 1977。 Katiba ndio kila kitu!
Kwa mujibu wa katiba yetu, kitu muhimu kuliko kitu kingine chochote ni kwanza ni nchi, pili ni watu, wananchi. “wethe people”, Mwananchi ndie mwenye nchi, ndie mwenye katiba, ndie muhimu kuliko kitu kingine chochote!

Mwananchi ametengeneza katiba yenye dhima, na dhamira ambapo dhima ya mtunga katiba, mwananchi ndio kila kitu!. Mwananchi ndie mwenye nchi, mwenye katiba, mwenye sheria, anamuajiri rais wa JMT kupitia kura yake na kumlipa mshahara kupitia kodi yake, hivyo rais wa JMT ni mtumishi wa Mwananchi, sambamba na mihimili yote mitatu.

Ibara ya 5 ya katiba, imetoa haki kwa kila mwananchi aliyetimiza umri wa miaka 18,ana haki ya kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka, na ibara ya 21 imetoa haki ya kila mwananchi aliyetimiza umri wa miaka 21,ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi.

Haki hizi mbili za kuchagua na kuchaguliwa ndio haki kuu mbili za msingi sana za kisiasa ndani ya katiba yetu.

Serikali yetu kupitia Bunge letu Tukufu, ikapitiwa na shetani,ikafanyamabadiliko batili ya katiba kwa kuchomekea kipengele batili ndani ya katiba yetu kwenye ibara ya 39 na ibara ya 67, ambazo zimepora zile haki kuu mbili za msingi za mwananchi kuchagua na kuchaguliwa na kuzikabidhi kwa kinyangarika fulani kinachoitwa chama cha siasa!.

Sasa mwananchi hana tena ile haki na uhuru wa kumchagua kiongozi anayemtaka, analazimishwa kumchagua kiongozi atakaye letewa na chama cha siasa!

Pia Mtanzania hana tena ule uhuru wa kugombea uongozi, kupigiwa kura kuchaguliwa,sasa analazimishwa lazima kwanza ajiunge na chama cha siasa, hiki chama kimdhamini ndipo aruhusiwe kugombea!.

Hii ni kinyume cha dhima na dhamira ya mtunga katiba, hivyo imetokea tuu, mimi member wenu humu JF, nimejaaliwa kamwanga kidogo cha kuisoma katiba yetu na kuibaini dhima na dhamira ya mtunga katiba, hivyo sasa nakatumia haka ka mwanga kadogo nilichojaaliwa nacho, kumulikia na wengine nao angalau waone mwanga jinsi shetani anavyoweza kujiinua na kupenya mpaka ndani ya katiba yetu!。

Vyama vya Siasa Tanzania ni Public Parties
Japo vyama vya siasa ni mali ya wanachama na kuhudumiwa na michango ya wanachama, kwa Tanzania, vyama vya siasa ni private parties vya wanachama, wakati tuu wa kuanzishwa, lakini vikiisha ingia kushiriki uchaguzi na kushinda, status ya vyama hivyo ina change from private parties za wanachama into public parties za umma wa wananchi na ndio maana vinalipwa ruzuku ya serikali ambazo ni fedha za wananchi. Fedha za serikali, public money, ni fedha za wananchi, yoyote anayelipwa kwa fedha za wananchi, by taxpayers money ni public entity, kufuatia viongozi wa vyama hivyo kuchaguliwa na wananchi, the public, to hold a public office, serikali za mitaa, udiwani, ubunge hadi urais, walio wachagua ni public ya Watanzania na sio wanachama wao pekee, hivyo hivi vyama vyote vya siasa vyenye viongozi waliochaguliwa na wananchi ni public parties.

Kufuatia status hii ya vyama vya siasa kuwa ni public parties, then maamuzi yoyote ya chama kuhusu uchaguzi, lazima yazingatie the public interest na sio the selfish motives ya viongozi wake, na kiukweli baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vyetu vya siasa ni watu muflisi, ma agenti wa shetani na wengine ni vichaa kabisa! Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?

Japo mgombea lazima adhaminiwe na chama cha siasa kugombea nafasi yoyote ya uongozi wa umma, kwa maoni yangu, udhamini una lengo zuri ili kupata viongozi bora na viongozi safi wenye uwezo wa uongozi, lakini kwa vile katiba inatoa haki kwa kila mtu kuwa huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi, kitendo cha kudhaminiwa na chama cha siasa pia ni ujinga fulani hivi wa haku kuu za kikatiba kuzuiliwa kinyume cha katiba, japo ujinga huu sasa umehalalishwa na kuchomekewa kiubatili tuu, ndani ya katiba yetu kinyume cha dhamira ya mtunga katiba, kitendo cha vyama vya siasa kuutumia ubatili huu kama fimbo ya kuwachapia wanachama wake, hakikubaliki!, ni uonevu na kinyume cha katiba ya JMT kwa dhima ya mtunga katiba!.

Lakini huyo mgombea akiisha chaguliwa kwa kura za wananchi kuwa kiongozi, status yake ina change from mdhaminiwa wa chama cha siasa into a public service, kiongozi huyu sasa anakuwa ni kiongozi wa umma na sio mgombea wa chama. Uwezo wa chama cha siasa kumfukuza uanachama mwanachama wake ambaye ni kiongozi wa umma, bila kosa lolote, au kosa lake ni yeye kuchaguliwa kuongoza eneo lake, wakati vigogo wa chama chake wameshindwa na kupigwa chini na wananchi wao, huu ni ujinga na kutowatendea haki wananchi wa eneo husika walio onyesha imani yao kwa mgombea huyo na kumchagua!.

Baadhi ya Viongozi wa Vyama ni Insane, Hawajui Watendalo!
Wanabodi, hapa naomba kutanguliza ashakum, na kuomba radhi kwa haya ninayoyaandika kuhusu baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa kuwa ni insane bila ya wao kujijua kuwa they are insane!, ila ni kweli kabisa baadhi ya viongozi wa vyama vyetu vya siasa, are total insane na utawajua kwa mawazo, maneno na matendo yao ya kiajabu ajabu. Mfano kuna kauli za kiajabu ajabu zinazotolewa na baadhi ya viongozi wetu, zinastaajabisha hadi mtu unajiuliza kama viongozi hawa wanao toa kauli hizi wana akili timamu?!.

Ili kuielewa hii dhana ya viongozi insane, karibu hapa na twende taratibu ili umjue insane ni nani na utamtambuaje na kumtofautisha na mtu mwenye akili zake timamu Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?

Insanity Inawapataje Viongozi wa Siasa?.
Kama nilivyoeleza pale juu, mtu kuwa insane ni hali tuu, kwa Kiswahili kizuri ni kughafilika. Mtu unaweza kuwa timamu kabisa, lakini ukatibuliwa na jambo fulani, ukachukua maamuzi ya hamaki, hasira na kufanya kitendo ambacho sio cha kawaida sometimes hata kuua!, halafu ukiisha tulia, ndipo unajiuliza umefanya nini na kuanza kuujutia uamuzi wako.

Lengo la chama cha siasa, ni kushika dola, hivyo viongozi wanaogombea nafasi mbali mbali kwa lengo la kushika dola (urais), kushika jimbo (ubunge), kata (udiwani), na mitaa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Sasa katika kugombea, kukijitokeza umati mkubwa wa watu katika mikutano yako, kunakupa matumaini ya kukubalika, hivyo mgombea unakuwa na too great expectation ya kushinda, kumbe ni just some false hopes, hivyo uchaguzi ukifanyika, matokeo yakaonyesha umeshindwa, unapagawa, unachanganyikiwa unakuwa huamini matokeo, hivyo unaghafilika, unarukwa na akili, una despair, hiyo hali inakusababishia hali inayoitwa preudo insanity, hivyo unatoa maamuzi ya ajabu ajabu, kwanza ni hatua ya kwanza inaitwa denial, hukubali matokeo, unaamini ulishinda ukaibiwa kura, hivyo una wamobilize wafuasi wako muingie barabarani!, this is insanity kutaka kuwafolenisha watu kuwaingiza barabarani ili iweje?!.

Hatua ya pili ni kutoa taarifa kuwa hukubali matokeo, hii ni kawaida kwa kila asiyakubali kushindwa. Hatua ya tatu ni kusema huwatambui walioshinda. Unaweza usiwatambue kwa muda, lakini walioshinda wakiisha apishwa, kutowatambua ni muendelezo wa insanity!. Hatua ya nne ni kususa, na kutaka kuwazuia wengine walioshinda kihalali, au kususia kutoa ushirikiano kwa walioshinda, kama hili la kugomea kutoa majina ya wabunge wa viti maalum!.

Kuna wanaoshindwa na kubakia kuwa stable, lakini kuna wanaoshindwa na kuchanganyikiwa hadi kurukwa akili, sasa hawa walioshindwa na kurukwa akili wakitoa maamuzi ya ajabu ajabu, wenye akili timamu mkiwafuata, wote mtaonekana insane!

Mtu Kuwa Insane Sio Kosa, ni Hali Tuu, Lakini Kikundi cha Watu, Chama, Kikao au Wanachama Wote Kukubali Kufuata Ushauri wa Isane, Wote Mtaonekana Insane!. Wale Wasio Insane, Wasikubali Maamuzi ya Isane!.
Uchaguzi umekwisha, walioshinda, wameshinda, walioshindwa wameshindwa, zipo taarifa za baadhi ya viongozi walioshindwa kutaka kuwazui a walioshinda wasitumikie wananchi waliowachagua!, this is insanity!.

Kuna taarifa za chama fulani kugomea kuteua wabunge wa viti maalum kwa hoja za kususa, this too is insanity!.

Wito wangu kwenye hivyo vyama, kama kuna viongozi ambao sio insane, please stop this madness ndani ya vyama vyenu, vinginevyo wote mtaonekana ni insane!.

Jee Kila Uamuzi wa Kugomea Jambo au Kususia Kitu ni Ujinga, Insane?
Hapana, sio kila kugomea jambo au kususia jambo fulani ni ujinga. Kugomea jambo fulani ili kutuma ujumbe mzito kwa watawala, kuwa this is not right, kunakubalika, hivyo maandamano ya kutuma ujumbe, demonstrations au industrial actions kwa wafanyakazi, kudai haki zao, ni migomo halali na ina justification kwa ajili ya kutimiza malengo fulani.

Kipimo cha kususia jambo fulani au kugomea fulani, kipi ni uamuzi sahihi na kipi ni ujinga na uendawazi, ni kipimo cha kutumia matokeo, jee ukigomea jambo fulani, una goma ili kuachive nini?, kama unagoma tuu ili mradi kugoma, au unasusa tuu ili mradi kususa, kwa kugoma huko, huta achieve anything, huku ndio kugoma kwa ujinga na uendawazimu, viongozi wa vyama wanaohimiza vyama vyao kususa huku na kugoma huku ambapo there is nothing they'll achieve kwa kususa huko au kugoma huko, huu ndio uendawazimu ninaouzungumza hapa! Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Huwezi kususa kumtambua rais wa nchi- aliyeshinda urais kwenye uchaguzi Mkuu wa kidemokrasia huru na wa haki. Huu ni uendawazimu!. Mgombea ameshinda, huwezi kumzuia asitumikie wananchi walio mchagua- huu ni uendawazimu!. Chama kinastahili kupata idadi fulani ya wabunge wa viti maalum, kugoma kupeleka majina NEC ni uendawazimu!, unasusa ili iweje?.

Hitimisho.
Kwa vile vyama vya siasa ni public parties, viongozi wa vyama, mna wajibu wa kuviendesha vyama vyenu kwa kutanguliza mbele maslahi ya umma na sio maslahi binafsi ya viongozi wenu, msiruhusu ignorance, insanity, selfishness ya baadhi ya viongozi wenu wabinafsi, kuviangamiza vyama vyenu kwa ignorance, insanity, selfishness yao, wakati miongoni mwenu sio wote mko insane.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali


Sijawahi kuona agent wa shetani kwa nchi ambayo ina rushwa kama yetu halafu yeye ni msafi. Lissu hana kashfa ya rushwa. No reform ni manadiliko siyo ya kujinufaisha Lissu binafsi bali ni usawa kwa wote. Kwa yaliyotokea 2019, 2020 na 2024 Agent wa sherani ni wote walio iba chaguzi na haki za watanzania. Agent wa sherani ni wote wanaounga mkono kwenda kwenye chaguzi wakijua kabisa usalama na Polisi wanaiba kura. Machawa ni ma Agent wengine wa mashetani
 
Wanabodi,

JF ni ukumbi huru wa kuhabarishana, kuelimishana, kuburudishana, na kitu kikubwa zaidi, kusaidiana. Kama kuna kitu unakijua, na unaona kinafanyika ndivyo sivyo, unajitolea kusaidia kuwaelimisha wengine kuhusu kitu hicho, na hiki ndicho mimi ninachofanya humu JF, kuwaelimisha wengine kile nilichobahatika kukifahamu, na elimu hii naitoa humu jf, kupitia makala zangu za kwa Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo pia zinachapishwa kwenye magazeti ya Mwananchi na Nipashe, kila Jumatano na Jumapili na pia zinakwenda sambamba na kipindi cha TV cha jina hilo hilo la KMT, kinachoruka kila Jumapili saa 3:00 usiku na Jumatano saa 9:30 alasiri on Channel Ten

Declaration of Interest
Mimi ni kada wa chama cha siasa, ila ninapoandika hapa, siandiki kama kada, bali naandika kama Mtanzania Mzalendo, ambaye ni mwandishi wa habari aliyehudumu newsroom kwa zaidi ya miaka 30, na pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, hivyo ukinisoma with preconceived opinions kuwa huyu ni kada wa chama fulani, hutaweza kuiona the rationale behind bandiko hili, na elimu ninayoitoa, hivyo nakushauri bora uishie hapa.

Mada ya leo, japo ni mada ya kisiasa,lakini naijadili kwa mtindo wa holistic approach ya Mungu na Shetani。

Inawezekana hii
No Reform No Election ni mpango wa Mungu kwa Tanzania kutupatia ukombozi wa pili wa Mtanzania kwa reforms kuzirejesha zile haki kuu mbili za msingi za kikatiba, haki ya kuchagua na haki ya kuchaguliwa zilizoporwa kwenye katiba yetu?。Au ni mpango wa shetani kukisambaratisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Chadema,kukinukisha kutaka kuzuia uchaguzi mkuu,kitu ambacho ni utopia,hakiwezekani ?.

Na je Tundu Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ndio maana akampa muujiza wa kusurvive risasi 16 ,hivyo ameponywa kwa makusudi fulani ili Mungu kuonyesha utukufu wake kwa binadamu kwa kulifanya lile jiwe lililokataliwa na waashi,litakavyo fanywa kuwa jiwe kuu la pembeni, au Lissu ni agent wa shetani anayetumiwa kuleta ushetani wa noreforms,no election?。

Usikute hii No Reform,No Election ni mpango wa Mungu kwa kwa ukombozi wa pili nchi yetu Tanzania kuzirudisha haki mbili kuu ndani ya katiba yetu zilizoporwa,

Msingi mkuu wa nchi yetu ni Katiba ya JMT ya mwaka 1977。 Katiba ndio kila kitu!
Kwa mujibu wa katiba yetu, kitu muhimu kuliko kitu kingine chochote ni kwanza ni nchi, pili ni watu, wananchi. “wethe people”, Mwananchi ndie mwenye nchi, ndie mwenye katiba, ndie muhimu kuliko kitu kingine chochote!

Mwananchi ametengeneza katiba yenye dhima, na dhamira ambapo dhima ya mtunga katiba, mwananchi ndio kila kitu!. Mwananchi ndie mwenye nchi, mwenye katiba, mwenye sheria, anamuajiri rais wa JMT kupitia kura yake na kumlipa mshahara kupitia kodi yake, hivyo rais wa JMT ni mtumishi wa Mwananchi, sambamba na mihimili yote mitatu.

Ibara ya 5 ya katiba, imetoa haki kwa kila mwananchi aliyetimiza umri wa miaka 18,ana haki ya kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka, na ibara ya 21 imetoa haki ya kila mwananchi aliyetimiza umri wa miaka 21,ana haki ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi.

Haki hizi mbili za kuchagua na kuchaguliwa ndio haki kuu mbili za msingi sana za kisiasa ndani ya katiba yetu.

Serikali yetu kupitia Bunge letu Tukufu, ikapitiwa na shetani,ikafanyamabadiliko batili ya katiba kwa kuchomekea kipengele batili ndani ya katiba yetu kwenye ibara ya 39 na ibara ya 67, ambazo zimepora zile haki kuu mbili za msingi za mwananchi kuchagua na kuchaguliwa na kuzikabidhi kwa kinyangarika fulani kinachoitwa chama cha siasa!.

Sasa mwananchi hana tena ile haki na uhuru wa kumchagua kiongozi anayemtaka, analazimishwa kumchagua kiongozi atakaye letewa na chama cha siasa!

Pia Mtanzania hana tena ule uhuru wa kugombea uongozi, kupigiwa kura kuchaguliwa,sasa analazimishwa lazima kwanza ajiunge na chama cha siasa, hiki chama kimdhamini ndipo aruhusiwe kugombea!.

Hii ni kinyume cha dhima na dhamira ya mtunga katiba, hivyo imetokea tuu, mimi member wenu humu JF, nimejaaliwa kamwanga kidogo cha kuisoma katiba yetu na kuibaini dhima na dhamira ya mtunga katiba, hivyo sasa nakatumia haka ka mwanga kadogo nilichojaaliwa nacho, kumulikia na wengine nao angalau waone mwanga jinsi shetani anavyoweza kujiinua na kupenya mpaka ndani ya katiba yetu!。

Vyama vya Siasa Tanzania ni Public Parties
Japo vyama vya siasa ni mali ya wanachama na kuhudumiwa na michango ya wanachama, kwa Tanzania, vyama vya siasa ni private parties vya wanachama, wakati tuu wa kuanzishwa, lakini vikiisha ingia kushiriki uchaguzi na kushinda, status ya vyama hivyo ina change from private parties za wanachama into public parties za umma wa wananchi na ndio maana vinalipwa ruzuku ya serikali ambazo ni fedha za wananchi. Fedha za serikali, public money, ni fedha za wananchi, yoyote anayelipwa kwa fedha za wananchi, by taxpayers money ni public entity, kufuatia viongozi wa vyama hivyo kuchaguliwa na wananchi, the public, to hold a public office, serikali za mitaa, udiwani, ubunge hadi urais, walio wachagua ni public ya Watanzania na sio wanachama wao pekee, hivyo hivi vyama vyote vya siasa vyenye viongozi waliochaguliwa na wananchi ni public parties.

Kufuatia status hii ya vyama vya siasa kuwa ni public parties, then maamuzi yoyote ya chama kuhusu uchaguzi, lazima yazingatie the public interest na sio the selfish motives ya viongozi wake, na kiukweli baadhi ya viongozi wa baadhi ya vyama vyetu vya siasa ni watu muflisi, ma agenti wa shetani na wengine ni vichaa kabisa! Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?

Japo mgombea lazima adhaminiwe na chama cha siasa kugombea nafasi yoyote ya uongozi wa umma, kwa maoni yangu, udhamini una lengo zuri ili kupata viongozi bora na viongozi safi wenye uwezo wa uongozi, lakini kwa vile katiba inatoa haki kwa kila mtu kuwa huru kugombea nafasi yoyote ya uongozi, kitendo cha kudhaminiwa na chama cha siasa pia ni ujinga fulani hivi wa haku kuu za kikatiba kuzuiliwa kinyume cha katiba, japo ujinga huu sasa umehalalishwa na kuchomekewa kiubatili tuu, ndani ya katiba yetu kinyume cha dhamira ya mtunga katiba, kitendo cha vyama vya siasa kuutumia ubatili huu kama fimbo ya kuwachapia wanachama wake, hakikubaliki!, ni uonevu na kinyume cha katiba ya JMT kwa dhima ya mtunga katiba!.

Lakini huyo mgombea akiisha chaguliwa kwa kura za wananchi kuwa kiongozi, status yake ina change from mdhaminiwa wa chama cha siasa into a public service, kiongozi huyu sasa anakuwa ni kiongozi wa umma na sio mgombea wa chama. Uwezo wa chama cha siasa kumfukuza uanachama mwanachama wake ambaye ni kiongozi wa umma, bila kosa lolote, au kosa lake ni yeye kuchaguliwa kuongoza eneo lake, wakati vigogo wa chama chake wameshindwa na kupigwa chini na wananchi wao, huu ni ujinga na kutowatendea haki wananchi wa eneo husika walio onyesha imani yao kwa mgombea huyo na kumchagua!.

Baadhi ya Viongozi wa Vyama ni Insane, Hawajui Watendalo!
Wanabodi, hapa naomba kutanguliza ashakum, na kuomba radhi kwa haya ninayoyaandika kuhusu baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa kuwa ni insane bila ya wao kujijua kuwa they are insane!, ila ni kweli kabisa baadhi ya viongozi wa vyama vyetu vya siasa, are total insane na utawajua kwa mawazo, maneno na matendo yao ya kiajabu ajabu. Mfano kuna kauli za kiajabu ajabu zinazotolewa na baadhi ya viongozi wetu, zinastaajabisha hadi mtu unajiuliza kama viongozi hawa wanao toa kauli hizi wana akili timamu?!.

Ili kuielewa hii dhana ya viongozi insane, karibu hapa na twende taratibu ili umjue insane ni nani na utamtambuaje na kumtofautisha na mtu mwenye akili zake timamu Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?

Insanity Inawapataje Viongozi wa Siasa?.
Kama nilivyoeleza pale juu, mtu kuwa insane ni hali tuu, kwa Kiswahili kizuri ni kughafilika. Mtu unaweza kuwa timamu kabisa, lakini ukatibuliwa na jambo fulani, ukachukua maamuzi ya hamaki, hasira na kufanya kitendo ambacho sio cha kawaida sometimes hata kuua!, halafu ukiisha tulia, ndipo unajiuliza umefanya nini na kuanza kuujutia uamuzi wako.

Lengo la chama cha siasa, ni kushika dola, hivyo viongozi wanaogombea nafasi mbali mbali kwa lengo la kushika dola (urais), kushika jimbo (ubunge), kata (udiwani), na mitaa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Sasa katika kugombea, kukijitokeza umati mkubwa wa watu katika mikutano yako, kunakupa matumaini ya kukubalika, hivyo mgombea unakuwa na too great expectation ya kushinda, kumbe ni just some false hopes, hivyo uchaguzi ukifanyika, matokeo yakaonyesha umeshindwa, unapagawa, unachanganyikiwa unakuwa huamini matokeo, hivyo unaghafilika, unarukwa na akili, una despair, hiyo hali inakusababishia hali inayoitwa preudo insanity, hivyo unatoa maamuzi ya ajabu ajabu, kwanza ni hatua ya kwanza inaitwa denial, hukubali matokeo, unaamini ulishinda ukaibiwa kura, hivyo una wamobilize wafuasi wako muingie barabarani!, this is insanity kutaka kuwafolenisha watu kuwaingiza barabarani ili iweje?!.

Hatua ya pili ni kutoa taarifa kuwa hukubali matokeo, hii ni kawaida kwa kila asiyakubali kushindwa. Hatua ya tatu ni kusema huwatambui walioshinda. Unaweza usiwatambue kwa muda, lakini walioshinda wakiisha apishwa, kutowatambua ni muendelezo wa insanity!. Hatua ya nne ni kususa, na kutaka kuwazuia wengine walioshinda kihalali, au kususia kutoa ushirikiano kwa walioshinda, kama hili la kugomea kutoa majina ya wabunge wa viti maalum!.

Kuna wanaoshindwa na kubakia kuwa stable, lakini kuna wanaoshindwa na kuchanganyikiwa hadi kurukwa akili, sasa hawa walioshindwa na kurukwa akili wakitoa maamuzi ya ajabu ajabu, wenye akili timamu mkiwafuata, wote mtaonekana insane!

Mtu Kuwa Insane Sio Kosa, ni Hali Tuu, Lakini Kikundi cha Watu, Chama, Kikao au Wanachama Wote Kukubali Kufuata Ushauri wa Isane, Wote Mtaonekana Insane!. Wale Wasio Insane, Wasikubali Maamuzi ya Isane!.
Uchaguzi umekwisha, walioshinda, wameshinda, walioshindwa wameshindwa, zipo taarifa za baadhi ya viongozi walioshindwa kutaka kuwazui a walioshinda wasitumikie wananchi waliowachagua!, this is insanity!.

Kuna taarifa za chama fulani kugomea kuteua wabunge wa viti maalum kwa hoja za kususa, this too is insanity!.

Wito wangu kwenye hivyo vyama, kama kuna viongozi ambao sio insane, please stop this madness ndani ya vyama vyenu, vinginevyo wote mtaonekana ni insane!.

Jee Kila Uamuzi wa Kugomea Jambo au Kususia Kitu ni Ujinga, Insane?
Hapana, sio kila kugomea jambo au kususia jambo fulani ni ujinga. Kugomea jambo fulani ili kutuma ujumbe mzito kwa watawala, kuwa this is not right, kunakubalika, hivyo maandamano ya kutuma ujumbe, demonstrations au industrial actions kwa wafanyakazi, kudai haki zao, ni migomo halali na ina justification kwa ajili ya kutimiza malengo fulani.

Kipimo cha kususia jambo fulani au kugomea fulani, kipi ni uamuzi sahihi na kipi ni ujinga na uendawazi, ni kipimo cha kutumia matokeo, jee ukigomea jambo fulani, una goma ili kuachive nini?, kama unagoma tuu ili mradi kugoma, au unasusa tuu ili mradi kususa, kwa kugoma huko, huta achieve anything, huku ndio kugoma kwa ujinga na uendawazimu, viongozi wa vyama wanaohimiza vyama vyao kususa huku na kugoma huku ambapo there is nothing they'll achieve kwa kususa huko au kugoma huko, huu ndio uendawazimu ninaouzungumza hapa! Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Huwezi kususa kumtambua rais wa nchi- aliyeshinda urais kwenye uchaguzi Mkuu wa kidemokrasia huru na wa haki. Huu ni uendawazimu!. Mgombea ameshinda, huwezi kumzuia asitumikie wananchi walio mchagua- huu ni uendawazimu!. Chama kinastahili kupata idadi fulani ya wabunge wa viti maalum, kugoma kupeleka majina NEC ni uendawazimu!, unasusa ili iweje?.

Hitimisho.
Kwa vile vyama vya siasa ni public parties, viongozi wa vyama, mna wajibu wa kuviendesha vyama vyenu kwa kutanguliza mbele maslahi ya umma na sio maslahi binafsi ya viongozi wenu, msiruhusu ignorance, insanity, selfishness ya baadhi ya viongozi wenu wabinafsi, kuviangamiza vyama vyenu kwa ignorance, insanity, selfishness yao, wakati miongoni mwenu sio wote mko insane.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
P nimpango wa Mungu ,hata ukimuuliza shetani atakuambia kwenye mpango huo hama mimi sisogezi kanyagio zangu.
 
No Reforms No Election ni mpango wa CHADEMA wala si wa hata Papa wala nani. Mungu si mtanzania wala hana muda na siasa za majitaka. Jitahidi mwanangu kumuondoa Mungu kwenye mambo yenu. Mungu alikaa wapi na nani kuamua na kutangaza huu mpango wako? Kwanini usiseme wewe ni CHADEMA na unatafuta kujustify mambo yenu? Nakataa kata kata. Ukiamini usanii huu, kesho machawa watakuja kama wewe na kusema mfuga chawa ni chaguo au mpango wa Mungu wakati ni mpango wa machawa. Kumuingiza Mungu kwenye usanii wa kusiasa kunaweza kutafsirika kama kuishiwa kimawazo. Ni ushauri tu
Na wewe umetoa wapi hiyo authority ya kujua Mungu kapanga nini (kama yupo) unaongea kama unaishi naye chumba cha pili mnapiga naye stori
 
Back
Top Bottom