Mwanasheria wa Chadema na Mwanaharakati Mh Tundu Lissu anaunguruma kesho kwenye viwanja vya Magomeni kata ya Kirumba wilayani Nyamagana katika mkoa wa Mwanza kesho alasiri baada ya kutoka kumtetea Mbunge wa Ilemela David Kiwia(cdm). Mpango mzima ni kuendeleza mapambano ya ukombozi wa Taifa letu!