Usijitoe akili. Pale Muhimbili wale wasiojulikana wangeweza kummalizia Lissu bila shida. Hicho bdicho alichohofu Mbowe akaamua aende Nairobi ambako ulinzi uliimarishwazama hizi za Magufuli Muhimbili iko vizuri haina tofauti na APPOLO ya India.....Lisu angeenda Muhimbili sasa hivi angekuwa bungeni kashapona
Na alizipiga kweli fastaSio kiburi ule ulikua mchoro wa kupiga michango
Taarifa kama hii kamwe haitawafurahisha kwa sababu, matokeo hayakukidhi matarajio.Habari za Januari 5!!! Tuletee habari za kampeni za uchaguzi wa marudio Siha na Kinondoni habari za Lissu za Jan 5 zilipendwa!!
Hauna hoja. You better keep quiet. Nani sasa kazuia hao wasikamatwe.?Kuwepo hai kwako (Tundu Lissu) ni kutokana na ramani yako ya kuishi humu duniani ilivyochorwa. Ama awe Mbowe au yeyote yule, ramani yako inasomeka hivyo na ndio maana ungali hai ingawa kwa namna tofauti na ulivyokuwa kabla ya tukio hilo!
Aidha inawezekana (kwa kiasi kikubwa) shambulio hili likawa la kisiasa (kutokea upande wowote) na sio la kiserikali!
zama hizi za Magufuli Muhimbili iko vizuri haina tofauti na APPOLO ya India.....Lisu angeenda Muhimbili sasa hivi angekuwa bungeni kashapona
Atakuwa kajifunza kuwa duniani anatakiwa kuwa na huruma na MTU au Serikali ikiwa inadhulumiwa na kuonewa na wawekezaji wawe wa madini au watu washika bombardier hutakuwi kusimama na mtesi wa serikali ambaye utesi wake utaumiza walipa kodi wengi maskini ili walipe madini au bombardier au kodi zilizokwepwa.Ukiwa mbunge uwe wa upinzani au CCM always simamia maslahi ya nchi usiwe kibaraka wa waoneao nchi.Vita ikilipuka watu wa Kwanza kuuawa huwa ni vibaraka wa watu wa nje .Hilo alijue yeye na vibaraka wenzie .Vita ya kiuchumi ni kubwa kuliko uchumia tumbo wa Lisu na familia yake usiozingatia maslahi ya nchi
Mp..z kama polepole anaye sababishia nchi hasara za kurudia uchaguzi kisa kuunga mkono frastrations za raisiHabari za Januari 5!!! Tuletee habari za kampeni za uchaguzi wa marudio Siha na Kinondoni habari za Lissu za Jan 5 zilipendwa!!
Hiyo satellite wakenya walioitengeneza inawaingizia shilingi ngapi kwa mwezi au sifa tu?
Marudio ya uchaguzi yanatuingizia sh ngapi au........ U-polepole wa huko Lumumba?Hiyo satellite wakenya walioitengeneza inawaingizia shilingi ngapi kwa mwezi au sifa tu?
Acha we!
Kwa hivyo dodoma hosp kwakuwa hawakummalizia pale basi ni hosp ya chadema, kwamba ulinzi uliimarishwa eehUsijitoe akili. Pale Muhimbili wale wasiojulikana wangeweza kummalizia Lissu bila shida. Hicho bdicho alichohofu Mbowe akaamua aende Nairobi ambako ulinzi uliimarishwa
Habari za Januari 5!!! Tuletee habari za kampeni za uchaguzi wa marudio Siha na Kinondoni habari za Lissu za Jan 5 zilipendwa!!
UZALENDO GANI MKUU? YAMKINI PALE MHIMBILI WALIKUWEPO WATU WASIOJULIKANA.Mwanahabari Huru Mnataka kutuambia Muhimbili hawana " uwezo " au ni nini mnachotaka kutuaminisha?.....Chadema kuweni wazalendo bhana!!
Ni Mwenyezi Mungu alimpenda zaidi binti yako, siyo uzembe wa Madaktari! Hata ungalimpeleka wapi matokeo yangalikuwa hivyo hivyo. Pole sana ila mwache binti yako a RIP!Tena usiongelee Muhimbili kabisa.Uzembe wa Madaktari umemuondoa binti yangu.