ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,048
- 6,199
Wale ambao chochote kikiishatokea hudai walishajua, ndo nyie?hata angesafirishwa kwa lori, angepona tu
Wale ambao chochote kikiishatokea hudai walishajua, ndo nyie?hata angesafirishwa kwa lori, angepona tu
Sasa mbona yule Afisa mstaafu wa jeshi alieshambuliwa kipindi kilekile alikimbizwa sauzi.zama hizi za Magufuli Muhimbili iko vizuri haina tofauti na APPOLO ya India.....Lisu angeenda Muhimbili sasa hivi angekuwa bungeni kashapona
Binafsi sipendi watu watibiwe nje na nina iamini sana hospitali yetu ya Taifa ya Muhimbili ila hoja fikirishi hapa ni kitendo cha Rais kutoa mchango wa milioni 15 kwa msanii wa Bongo movie kwenda kutibiwa India maana yake amekubali Muhimbili kuna baadhi ya issue bado kuna shida vinginevyo tunavyomjua angeshauri msanii apelekwe Muhimbili kwa gharama za serikali (kama mguu ni hivyo na Rais ameunga mkono kwa mchango wa kwenda India, je issue ya Lissu ingekuaje maana ilikuwa tia maji tia maji)....zama hizi za Magufuli Muhimbili iko vizuri haina tofauti na APPOLO ya India.....Lisu angeenda Muhimbili sasa hivi angekuwa bungeni kashapona
Ngoja arudi kujibu tumsikieSasa mbona yule Afisa mstaafu wa jeshi alieshambuliwa kipindi kilekile alikimbizwa sauzi.
Of course!! president of TLS.lissu president 2020
Doze imekuingia yote hadi kunako manoya.Umetuletea habari ya zamani? Huko Ufipa mmeishiwa kiki?
Uwezo upo ila dhamira tunamashaka nayoMwanahabari Huru Mnataka kutuambia Muhimbili hawana " uwezo " au ni nini mnachotaka kutuaminisha?.....Chadema kuweni wazalendo bhana!!
Lowassa vp hatagombea?lissu president 2020
labda bunge la mbingunizama hizi za Magufuli Muhimbili iko vizuri haina tofauti na APPOLO ya India.....Lisu angeenda Muhimbili sasa hivi angekuwa bungeni kashapona
Ni Mwenyezi Mungu alimpenda zaidi binti yako, siyo uzembe wa Madaktari! Hata ungalimpeleka wapi matokeo yangalikuwa hivyo hivyo. Pole sana ila mwache binti yako a RIP!
Akachinje jogoo kwani pale Muhumbili nadhani wangelipasua kichwa chake waangalie kama kuliingia risasi au moshiwa risasi. Ana bahati ya mutende kuwa order kutoka juu haikuja kuwa aombe kibali cha safwari.
zama hizi za Magufuli Muhimbili iko vizuri haina tofauti na APPOLO ya India.....Lisu angeenda Muhimbili sasa hivi angekuwa bungeni kashapona
Unadhani "watu wasiojulikana" hawatoboi Muhimbili?Mwanahabari Huru Mnataka kutuambia Muhimbili hawana " uwezo " au ni nini mnachotaka kutuaminisha?.....Chadema kuweni wazalendo bhana!!
Siku na saa ambazo Mungu alikupangia zikifika hata ukiwa mikononi ya daktari bingwa kuliko wote duniani kuna kitu kitatokea bila kujua huyo daktari akafanya ndivyo sivyo. Kuwa overdosed kwa bahati mbaya ndicho Mungu alipanga na huwa inatokea mahali pote duniani.Hahhahahahah unapomuoverdose mgonjwa inakuwa Mungu alimpenda zaidi?Acheni kuukubali upumbavu ni lazima watanzania tukubali kuliita SPADE A SPADE not kijiko kikubwa