Lissu: Kiburi cha Mbowe kimeniokoa

Lissu: Kiburi cha Mbowe kimeniokoa

Atakuwa kajifunza kuwa duniani anatakiwa kuwa na huruma na MTU au Serikali ikiwa inadhulumiwa na kuonewa na wawekezaji wawe wa madini au watu washika bombardier hutakuwi kusimama na mtesi wa serikali ambaye utesi wake utaumiza walipa kodi wengi maskini ili walipe madini au bombardier au kodi zilizokwepwa.Ukiwa mbunge uwe wa upinzani au CCM always simamia maslahi ya nchi usiwe kibaraka wa waoneao nchi.Vita ikilipuka watu wa Kwanza kuuawa huwa ni vibaraka wa watu wa nje .Hilo alijue yeye na vibaraka wenzie .Vita ya kiuchumi ni kubwa kuliko uchumia tumbo wa Lisu na familia yake usiozingatia maslahi ya nchi
 
Kiburi chake kinashindwa nini kulipia matibabu... Mnawahukumu halafu mnataka pesa zao.
 
Habari za Januari 5!!! Tuletee habari za kampeni za uchaguzi wa marudio Siha na Kinondoni habari za Lissu za Jan 5 zilipendwa!!
hujalazimishwa kusoma na kamwe usiwapangie watu nini cha kupost.
 
Atakuwa kajifunza kuwa duniani anatakiwa kuwa na huruma na MTU au Serikali ikiwa inadhulumiwa na kuonewa na wawekezaji wawe wa madini au watu washika bombardier hutakuwi kusimama na mtesi wa serikali ambaye utesi wake utaumiza walipa kodi wengi maskini ili walipe madini au bombardier au kodi zilizokwepwa.Ukiwa mbunge uwe wa upinzani au CCM always simamia maslahi ya nchi usiwe kibaraka wa waoneao nchi.Vita ikilipuka watu wa Kwanza kuuawa huwa ni vibaraka wa watu wa nje .Hilo alijue yeye na vibaraka wenzie .Vita ya kiuchumi ni kubwa kuliko uchumia tumbo wa Lisu na familia yake usiozingatia maslahi ya nchi
Kwani hao Barick walichukua hayo makinikia at gun point? Si ni mafisadi wa chama lenu chakavu ndiyo waliingia mikataba ya kifisadi?
 
Mkuu huyu zilipendwa, jipangeni chama kinasambaratika wewe umekalia msaliti
 
Habari za Januari 5!!! Tuletee habari za kampeni za uchaguzi wa marudio Siha na Kinondoni habari za Lissu za Jan 5 zilipendwa!!
Comedy kabisa!
 
Akachinje jogoo kwani pale Muhumbili nadhani wangelipasua kichwa chake waangalie kama kuliingia risasi au moshiwa risasi. Ana bahati ya mutende kuwa order kutoka juu haikuja kuwa aombe kibali cha safwari.
Acha we!
 
Kuwepo hai kwako (Tundu Lissu) ni kutokana na ramani yako ya kuishi humu duniani ilivyochorwa. Ama awe Mbowe au yeyote yule, ramani yako inasomeka hivyo na ndio maana ungali hai ingawa kwa namna tofauti na ulivyokuwa kabla ya tukio hilo!
Aidha inawezekana (kwa kiasi kikubwa) shambulio hili likawa la kisiasa (kutokea upande wowote) na sio la kiserikali!
Neno!
 
Vilevile inaweza kuwa ilikuwa mbinu ya Mwenyekiti wenu kumkimbiza harakaharaka aondoke nchini kwani mambo mengi yangetoka hadharani na hata dereva wake angepatikana kirahisi na kubwabwaja.

(REF: Mjane wa Marehemu Chacha Wangwe ataka uchunguzi mpya wa kifo cha mumewe)
 
Vilevile inaweza kuwa ilikuwa mbinu ya Mwenyekiti wenu kumkimbiza harakaharaka aondoke nchini kwani mambo mengi yangetoka hadharani na hata dereva wake angepatikana kirahisi na kubwabwaja.

(REF: Mjane wa Marehemu Chacha Wangwe ataka uchunguzi mpya wa kifo cha mumewe)
Hili nalo neno
 
Back
Top Bottom