PreGE2025 Lissu kaza, hao CCM wanataka mgombea kama Bernard Membe

PreGE2025 Lissu kaza, hao CCM wanataka mgombea kama Bernard Membe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,913
Reaction score
133,926

View: https://youtu.be/_X_QgulWKlM?si=kz5G6jk79XVRX1R8

Safari hii hatutaki comed, tunataka uchaguzi kweli. Wewe Yanga unaenda kwenye match dhidi ya Simba ambayo refa na jopo lake lote wameteuliwa na Simba? Hayo ni matumizi ya akili kweli?

Hao CCM wanataka mgombea kama Membe (RIP) uje jukwaani jukwaani upige porojo kuwaaminisha watu utashinda.

Shikilia hapo hapo. Sisi wazalendo wa kweli tupo nyuma yako
 
Chadema gangaa njaa wameanza kujitokeza wenyewe. Tuwafukuze mapema wasije kutusaliti kwa kuchukua fomu za kugombea na kujisainia fomu kama COVID-19.
 
pona yao wakubali kuondoa sheria kandamizi za uchaguzi na wathamini uhai wa watanzania. tangu lini uchaguzi ukawa vita
 

"Safari hii hatutaki comed, tunataka uchaguzi kweli. Wewe Yanga unaenda kwenye match dhidi ya Simba ambayo refa na jopo lake lote wameteuliwa na Simba? Hayo ni matumizi ya akili kweli?" 🪛🔨
 
Back
Top Bottom