Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi
Haya ndio madhara ya kushinda kutwa nzima JF kuandika hili mara lile. Eventually unaishiwa na cha kuandika, unabakiwa na pumba kama hizi. Kindly try to get a life!
 
Huyo mbwiga mwenzako britanicca amekubali kwamba Lissu akitetea hoja anathibitisha na vifungu vya sheria ambavyo ndo ushahidi..sasa wewe endelea kumwaga uharo wako kwa buku 3 jero.
 
Ubora wa wanasheria tunaangalia kwenye mambo mengi sana Brittanica. Nikikuuliza kwamba mpaka leo umesoma maandiko mangapi ya kisheria ya Prof Kabudi au Mh Lissu nina uhakika huwezi kunipa jibu.
Hebu hizi siasa za kimajungu tuachane nazo...
 
Naona ile hoja ya Spika ndugai.....kuwa MA C.C.M yaanze kubishana na hoja za wapinzani kwenye mitandao ya kijamii umeanza kuifanyia kazi..

Ha ha ha.....pole ndugu ushafeli.
 
Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi

Ni maoni yako,
Siwezi kumwamini baada ya Bunge la katiba amesha jipambanua yukoje.
 
Naona ile hoja ya Spika ndugai.....kuwa MA C.C.M yaanze kubishana na hoja za wapinzani kwenye mitandao ya kijamii umeanza kuifanyia kazi..

Ha ha ha.....pole ndugu ushafeli.

Buku 7 watu, wanatafuta hela kwa nguvu sana.
 
Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi
Ni kesi ipi mliwahi mshinda lisu ili tuanzie hapo kujua kuwa hana kitu
 
Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi
Si utoe mifano vivid yaani comparisons ya tofauti yao tuone? Kusema huyu yuko juu na huyu yuko chini ni maneno tu ambayo yeyote anaweza kusema.
 
Hajui hata katiba ya CHADEMA chama chake sembuse sheria ya nchi? Unapigwa risasi kwa mizengwe unashindwa kuyasoma mazingira?? Risasi inapigwa kulia unaumia kushoto? Then unajiita mwanasheria nguli hujui hata kuchambua mambo??
Aisee pole sana,tafuta chakula uondoe njaa nadhani utaanza kuwaza sahihi
 
Mkuu britanicca , with due respect, hukuwa na haja ya kuanzisha mada hii hapa JF hata kama ni muanzishaji mzuri na mkongwe wa mada-hata zile zinazokinzana. Hakuna mahali popote ambapo kuna mabishano kuwa ni nani kati ya Prof. Kabudi na Lissu yuko 'vizuri' kuliko mwenzake. Hao ni wanasiasa na wanajibizana kisiasa. Hakika, huna hoja wala hukuwa na haja ya kuanzisha mada hii ambayo inaweza kuishia kumtweza mmoja wa hao. Kama huna hoja, si lazima uanzishe mada. Muda mwingine soma za wenzako!
Akili ishaanza kugota ukiona hivyo
 
Kwanini tusiulize chuo kikuu walikosomea wote nani zaidi ya mwingine? Watujibu wanasheria
 
Kizazi cha wadogo zetu ni kizazi ambacho hakijui substance ya maana ni ipi. Mtanzania kuiteka akili yake ni jambo dogo sana.

Unashangaa kusikia eti wachekeshaji na wao wanafungua makanisa na bado wanapata vichwa vingi tu.

Kabudi yupo juu sana, nimeiangalia hii clip ya bunge la sasa, jamaa anamwaga shule, kama vile mwalimu anaongea na wanafunzi.

Lissu ana tatizo la kushindwa kuitawala arrogance yake, hachelewi kuanza kupayuka, na hawezi kudhibiti hisia zake.
Angalia na za wakati lisu yupo bungeni,siyo za paka katoka panya anatawala
 
Tafuta Submissions za lissu usome. Lissu ni fundi Sana. Namheshimu Sana Prof lakini namkubali Sana TL.

Lissu anajua bhana. Tafuta cross examination zake court utaelewa
 
Ndio maana mnaonekana hoja za kwenye mitandao mu weupeee.. Haiwezekani pamoja na kuwekewa mb za bure, ukaja na kiroja kama hiki..
 
To me haki ya Mungu Kabudi ni sawa na uyoga wa sumu ukila unakufa ...

Hamna Profesa pale kuna miyeyusho mitupu ... Yaani kasababisha nimedharau hata huo uprofesa wenyewe hasa wa UD ...

Profesa huyu nilimshusha thamani wakati wa rasimu ya katiba katika utawala wa awamu ya 4 na pale alipo kuja kupewa kitumbua kwa utawala wa awamu ya 5

Huyu sio profesa ni mchumia tumbo ...

Kapigwa na hela kachanganyikiwa kakubali kuitukanisha taaluma yake na kuitukanisha title ya uprofesa kwa dhamana ya cheo na njaa ya Ugali ...

Angepigwa risasi Kama Lissu je!!! Ingekuwaje si angeuza hata nchi yenyewe na angebadilisha sheria zote ...

Sasa mtu Kama huyu unamfananishaje na Lissu au we Babu hukuona alivyo ramba matapishi yake ...
 
Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi
Britannica ! Wew ni mweupe kweli kichwani,ukiona mamlaka husika zinaishia kumtwanga risasi za kumwaga then kwa sisi ambao ni walei katika tasnia ya sheria unapata picha kuwa mamlaka waliishiwa pumzi/ tofautisha kati ya msomi wa sheria kwenye makaratasi na Lissu ambaye ni msomi pia but gifted in law,bila shaka utajiongeza kuwa kipaji hutolewa na nani !
 
Lissu ni law activities na hataweza kuwa mwanasheria nguli. Mada nyingi za Lissu huwa ni kuchallenge tu na kitu rahisi kufanya. Unaona hats maamuma wa sheria kama Mwisigwa nao sema. Pia Lissu anaongea kama anakemea mapepo anapersonalize issue badala ya kuwa impartial.
 
Hivi ukiulizwa kuhusu Nyanya wewe ukatoa maelezo kuhusu sambusa, hicho kinakufanya uwe Bora kisa tu uwezo wako wa kuielezea sambusa Ni mzuri? Watanzania mna matatizo makubwa Sana!
Wenye matatizo makubwa ni nyinyi mnaopenda kuanzisha ligi za majibizano pasipo sababu ya msingi.

Ukweli huwa ni mmoja tu hauchagui upande, Prof Kabudi yupo vizuri sana na anapoongea anajitahidi kumwelewesha anayemsikiliza.

Kwake yeye kuongea bungeni ni kama yupo lecture room, anagawa shule nzito. Kumbuka huyu kasoma enzi za Mwalimu Nyerere, ambapo wasomi walikuwa wakikumbushwa juu ya umuhimu wa kuitumia elimu kwa faida ya jamii inayowazunguka.

Ni kizazi ambacho hakikufundishwa ubinafsi kama kizazi cha sasa.
 
Back
Top Bottom