Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

Hajui hata katiba ya CHADEMA chama chake sembuse sheria ya nchi? Unapigwa risasi kwa mizengwe unashindwa kuyasoma mazingira?? Risasi inapigwa kulia unaumia kushoto? Then unajiita mwanasheria nguli hujui hata kuchambua mambo??
Yani unaongea utumbo hadi wale wajinga wa humu wamefurahi kuongeza idadi. Hopeless.
 
Tuanzie hapo. Hivi huyo Kabudi kishaleta vile vyeti au bado kameza pini Bashite style.
 
Afu mleta mada ukome kumfananisha MH. LISSU na vitu vya hovyo vinavyomilikiwa na JIWE NYAMBAFU
 
Lissu ni mropokaji na mpiga kelele tu hajui lolote kinacho mbeba ni kwamba wananchi wanahamu kubwa ya mabadiliko ya kiuchumi na kiutawala.
Toa mifano hai kuezea hoja yako, sio unakuja na porojo nyepesi kiasi hiki. Tl asingekuwa mkali na tishio asingepigwa marisasi kiasi kile.
 
Hivi mbona uelewa wako ni mdogo kiasi hicho. Bado hujaelewa tu nilichoandika hapo? Kwamba sheria zote zinazotungwa nchini ni lazima rais ahusika. Kwamba bunge haliwezi kutunga sheria ye yote bila rais kuhusika. Miswaada yote inayotungwa/kupitishwa na bunge ni lazima ilidhiwe (assent) na kusainiwa na rais ndipo inakuwa sheria. Bila ya kuridhiwa na rais misuada hiyo haiwezi kuwa sheria. Hizo ndizo a, b, c, za kutunga sheria. Wewe baki na hizo a, e, i, o, u zako.
Pumba tupu
IMG_20180914_065008.jpg
 
Katiba haisomwi kwa vipande vipande. Isome Katiba yote, na utagundua kuwa Rais ni part ya bunge. Sheria haziwezi kutungwa bila Rais kuhusika. Huo ndiyo ukweli.
Kuingia tu bungeni ni shughuli halafu bado unaandika hoja zako mfu uwe unaangalia na vi post vya kipuuzi unavyopost jaribu kukua kidogo
 
Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi

Wacha uzwazwa weye; usimlinganishe Lissu na vitu vya kijinga!
Kubwa zaidi kwa Lissu pamoja na kuijua sheria nje ndani ni kwamba anajenga hoja kubwa na kusimamia anachokiamini hata kama ni kuuweka uhai wake mhanga!!! sio huyo kinyonga mchumia tumbo!
Hivi unaweza kuaamini Kabudi waziri ndiye Kabudi wa Tume ya warioba?! Au una kichaa kichaa wewe?!
 
Kuingia tu bungeni ni shughuli halafu bado unaandika hoja zako mfu uwe unaangalia na vi post vya kipuuzi unavyopost jaribu kukua kidogo
Narrow minded. Ikulu is part ya sehemu ya kutunga sheria (bunge) kwa wenye akili pana.
 
Mkuu mgogo anaingiaje tena mbna unaturudisha nyuma mambo ya ukabila
Kumbuka unaongea na mfuasi wa lissu, na lissu ndiye mfukua makaburi ya ukabila kwenye zama hizi mpya. Usishangae mfuasi wa ibilisi kufanana na shetani.
 
Kabudi aliisoma kwa kuangalia ..mwenzake lissu aliisoma kwa kuona .

Umri wa Lissu na uwezo wake wa Sheria..HUWEZI kaa nakufikiria uulinganishe na KABUDI .

Lissu nikitu kingine ndomaana mnapenda hata aaimie uko.

Hivi hakuna mashindano ya ubishi duniani? Lissu tukimpeleka lazima arudi nyumbani na kikombe.
 
Back
Top Bottom