Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

Sasa hapa ndo umeongea nini ewe mbuzi? britanicca 😂😂😂😂...yan Kabudi ni mzuri kuliko Lissu na Mdee blah blah, uzuri wa Kabudi kumzidi Lissu ni upi huo? Nikukumbushe tu Lissu hajafa, ni mzima anaishi, kama mlikusudia afe ili mle na kunywa...hovyo kabisa, ndo maana unaandika huku unajistukia kuwa utashambuliwa kwa vile unajua umeandika ushuzi
 
Asante Petro.

Lkn mimi nataka niende nje ya mada kidogo.

Kwanini wanasheria wa humu JF hamtusaidii pale mijadaya ya kisheria inapozuka na kuleta ukakasi kwenye jamii??

Ni uvivu? Uoga? Au kutokujua??
Hapa hakuna mjadala wa kisheria baba kuna ujinga!
 
Mleta mada wenzio waligundua kwenye sheria hakuna wa kumfikia Lissu hapa tz ndo maana wakaona AK-47 ndo jibu kwa uwezo wa Muumba wa Mbingu na Dunia magazine ikaisha na Izraili hakusogea kuitoa Roho ya Tundu AM Lissu! sasa wewe uliehongwa magimbi na dume umeamua kumtetea Prof bingwa wa mambo ya familia akajiingiza kwenye uvundo wa Makinikia akaishia kula posho na kusepa tukaikosa NOAH hadu tyubu ya bajaji! Hata aliekutuma hamuwezi Lissu.
 
Si umeona ametaka mpaka maksi za wanasheria wengine zifukuliwe sababu ukija kuangalia za kwake yeye ndo hio 4.8 GPA mzee anafeli sana yuke
 
Kabudi aliisoma kwa kuangalia ..mwenzake lissu aliisoma kwa kuona .

Umri wa Lissu na uwezo wake wa Sheria..HUWEZI kaa nakufikiria uulinganishe na KABUDI .

Lissu nikitu kingine ndomaana mnapenda hata aaimie uko.
Lisu asingekuwa na uelewa mkubwa na umahiri wasingetaka kumuua.Unapotaka kumuua mpinzani wako ni kwamba huna uwezo wa kumshinda kwa hoja iwe jukwaani au mahakamani.Huyo Kabudi amefilisika kifkra na ndio maana anajipendekeza na Serikali apate mkate wake.Haiingii akilini kama wewe ni profesa mwenye uwezo ujipendekeze na Serikali.Maprofesa wa nchi za wenzetu hawajipendekezi na Serikali zao.
 
Ipi level ya kuhongwa uwaziri
 
Kabudi hajswahi kuwa practising lawyer katika mahakama kuu. Ni mwanasheria wa makaratasi na ualimu tu!
 
Huwezi kulinganisha mlinzi wa Mali za wenyewe na mwizi, mtu asiye na misimamo katika kile anachokiamini.
Bali anafanya maamuzi kulingana na kutetea tumbo lake au la wale waliomtuma. Mbona hili liko wapi kabisa. Halihitaji propaganda kama za mtoa mada.

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
If you dare to compare the two, then the difference should be very small. The use of the words "too shallow " defeat the assertion, we don't compare the opposite, we compare the alike things. 😀
 
Mleta mada na wengine wengi hawajui maana ya sheria.
Ili uwe mwanasheria,lazima uifanyie kazi sheria. Kufundisha sheria si kuifanyia kazi sheria.
 
Kabundi leo kavuliwa bungeni nenda kamtetee
 
Yaani wewe mbeba mabox unathubutu kuhoji uwezo wa Lissu?pumbafu sana wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…