Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Hili la Lisu kupigwa risasi hata Lisu mwenyewe atoke na kusema ni Mbowe, bado hawezi kugeuza ukweli kuwa jiwe ndiyo muhusika fullstop.
Watu waliohusika kupanga huo mpango Dk Mollel anawajua. Jinai haina mwisho watakuja kuumbuka. Mbona hamtaki dereva wa Lissu kuhojiwa?
 
Hili la Lisu kupigwa risasi hata Lisu mwenyewe atoke na kusema ni Mbowe, bado hawezi kugeuza ukweli kuwa jiwe ndiyo muhusika fullstop.

Du jiwe ahusike Afu ampige kizembe vile. Je angeshindwa nini kumfuata nairobi. Tuache hayo kwa „MOTIVE“ ipi. 2017. either you are very naive or cha Arusha kinakuharibu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu waliohusika kupanga huo mpango Dk Mollel anawajua. Jinai haina mwisho watakuja kuumbuka. Mbona hamtaki dereva wa Lissu kuhojiwa?

Muhusika namba moja ni Lisu na yuko hai tena yuko tayari hata kuhojiwa, mnataka dereva ili mumtishe na kumlisha maneno?
 
Duuh kumbe ndio maana mwenyekiti haambatani na mgombea wake kwenye mitukano ya kuomba kula??
 
Muhusika namba moja ni Lisu na yuko hai tena yuko tayari hata kuhojiwa, mnataka dereva ili mumtishe na kumlisha maneno?
Lissu na Serikali walizungukwa, hilo hata Lissu mwenyewe analiewa. Wakiwa wapo katikati ya malumbano ya Makininikia, Lissu akafanyiwa timing ili ionekane kuwa ni Serikali. JPM aliingia madarakani kukawa na kundi la watu nje ya Serikali na pia njea ya vyama vya upinzani, ambao walikuwa hawampendi. Kundi hilo ndiyo vile vile lililokuwa likiteka watu pamoja na kufanya mauaji kule Rufiji kwa lengo la kuichafua Serikali. Lissu mwenyewe anajua kuwa hakushambuliwa na Serikali. Ingekuwa Serikali asingekuwepo. Alishambuliwa na mamluki na ndiyo maana walikuwa waoga wakatumia risasi nyingi sana kwa sababu walikuwa wanafanya kazi wakiwa wameogopa. Professional huwa haogopi na hawezi kutumia risasi nyingi hivyo!
 
Lissu na Serikali walizungukwa, hilo hata Lissu mwenyewe analiewa. Wakiwa wapo katikati ya malumbano ya Makininikia, Lissu akafanyiwa timing ili ionekane kuwa ni Serikali. JPM aliingia madarakani kukawa na kundi la watu nje ya Serikali na pia njea ya vyama vya upinzani, ambao walikuwa hawampendi. Kundi hilo ndiyo vile vile lililokuwa likiteka watu pamoja na kufanya mauaji kule Rufiji kwa lengo la kuichafua Serikali. Lissu mwenyewe anajua kuwa hakushambuliwa na Serikali. Ingekuwa Serikali asingekuwepo. Alishambuliwa na mamluki na ndiyo maana walikuwa waoga wakatumia risasi nyingi sana kwa sababu walikuwa wanafanya kazi wakiwa wameogopa. Professional huwa haogopi na hawezi kutumia risasi nyingi hivyo!
Kwhiyo kama serikali haihusiki kwanini walikuwa wanazuia watu kumfanyia maombi, kupinga ucchunguzi w nje wakati wa ndani hautaki?

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Kwhiyo kama serikali haihusiki kwanini walikuwa wanazuia watu kumfanyia maombi, kupinga ucchunguzi w nje wakati wa ndani hautaki?

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Kuna makosa kadhaa ya kibinadamu na ya msingi yaliyofanyika baada ya shambulizi na ndiyo hayo yaliyopelekea baadhi ya watu wasio waelewa kuanza kuwa na hisia potofu.
 
Lisu anakosa adabu kabisa yaani anakubali mwenyekiti wake pia achunguzwe leo, inamaana huko nyuma alipokuwa anatupia lawama zote kwa serikali alikuwa ajajua kuwa Mbowe anaweza kuwa sababu. Au kukaa Ulaya kidogo anasaau kuwa Mbowe ni malaika na mkombozi. Tutasikia mengi tusubiri.
 
Lissu na Serikali walizungukwa, hilo hata Lissu mwenyewe analiewa. Wakiwa wapo katikati ya malumbano ya Makininikia, Lissu akafanyiwa timing ili ionekane kuwa ni Serikali. JPM aliingia madarakani kukawa na kundi la watu nje ya Serikali na pia njea ya vyama vya upinzani, ambao walikuwa hawampendi. Kundi hilo ndiyo vile vile lililokuwa likiteka watu pamoja na kufanya mauaji kule Rufiji kwa lengo la kuichafua Serikali. Lissu mwenyewe anajua kuwa hakushambuliwa na Serikali. Ingekuwa Serikali asingekuwepo. Alishambuliwa na mamluki na ndiyo maana walikuwa waoga wakatumia risasi nyingi sana kwa sababu walikuwa wanafanya kazi wakiwa wameogopa. Professional huwa haogopi na hawezi kutumia risasi nyingi hivyo!
Uza ubongo huo bro, kama alishambuliwa na mamluki, nani alitoa amri ya polisi wanaolinda gate kuondoka eneo la lindo? Nani alimwagiza Kalemani kuondoa cctv cameras nyumbani kwake?
 
Kuna makosa kadhaa ya kibinadamu na ya msingi yaliyofanyika baada ya shambulizi na ndiyo hayo yaliyopelekea baadhi ya watu wasio waelewa kuanza kuwa na hisia potofu.
Kataa lakni serikali ya kijahili aliyokuwa anaongoza yule mkaidi mmoja laana za Mungu ziwe juu yake(jiwe) ndio iliyoratibu mpango mzima wa Lissu kupigwa risasi.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Uza ubongo huo bro, kama alishambuliwa na mamluki, nani alitoa amri ya polisi wanaolinda gate kuondoka eneo la lindo? Nani alimwagiza Kalemani kuondoa cctv cameras nyumbani kwake?
Wapi wananunua? Wewe ulishauza tayari. Haya unayayasema hapa ulisikia wanayasema au?.
Walinzi hawakuwa Polisi, walikuwa ni Askari wa Kampuni binafsi. Kawaida kama sehemu haijawahi kupata tukio la jabu hata mara moja na ambayo wanakaa watu wakubwa, huwa inafikia hatua hata Askari wanakuwa na imani kwamba hakuna kibaya kinachowezaa kutokea. Kwa hiyo wakati mwingine nao huwa wanakuwa na muda wa ku-realx au kusogea hata kwenye kibanda cha kahawa. Hawa watu waliokuwa wamepnaga kufanya tukio tayari walikuwa wameshasoma mwenendo wa Askari hao, na pia mwenendo wa Mh. Lissu. Kwani kwa mfano, hili tukio la juzi la Hamza lilitokeaje wakati wahusika ni askari na walikuwa na bunduki? Sana sana Mh. Lissu labda yeye alikuwa na bastola yake kiunoni, au hata hakuwa nayo kabisa
 
Kataa lakni serikali ya kijahili aliyokuwa anaongoza yule mkaidi mmoja laana za Mungu ziwe juu yake(jiwe) ndio iliyoratibu mpango mzima wa Lissu kupigwa risasi.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Lisu kwa sasa amekuwa akijiweka mbali sana na Mbowe. Yan haoneshi kuguswa kabisa na kesi zinazomuandama mwenyekiti wake. Lisu ni wakili msomi kwahiyo ana sababu zake za kufanya hivyo ambazo ww hauzijui, na ndio maana aliwahi kutaka jamaa na yeye afanyiwe uchunguzi. Umaarufu wa Lisu ndan na nje ya chama ulimuweka tumbo joto mkuu wa timu akihofi kunyanganywa kiti chake katika uchaguzi mkuu wa chama. Hiki kiti hakikuwahi kumuacha salama Chacha Wangwe, kakoswa koswa Zito na genge lake, pia amenusurika Lisu.
 
Wapi wananunua? Wewe ulishauza tayari. Haya unayayasema hapa ulisikia wanayasema au?.
Walinzi hawakuwa Polisi, walikuwa ni Askari wa Kampuni binafsi. Kawaida kama sehemu haijawahi kupata tukio la jabu hata mara moja na ambayo wanakaa watu wakubwa, huwa inafikia hatua hata Askari wanakuwa na imani kwamba hakuna kibaya kinachowezaa kutokea. Kwa hiyo wakati mwingine nao huwa wanakuwa na muda wa ku-realx au kusogea hata kwenye kibanda cha kahawa. Hawa watu waliokuwa wamepnaga kufanya tukio tayari walikuwa wameshasoma mwenendo wa Askari hao, na pia mwenendo wa Mh. Lissu. Kwani kwa mfano, hili tukio la juzi la Hamza lilitokeaje wakati wahusika ni askari na walikuwa na bunduki? Sana sana Mh. Lissu labda yeye alikuwa na bastola yake kiunoni, au hata hakuwa nayo kabisa
Hapa hujafanya utetezi bali umeanika ujinga wako zaidi. Kwa taarifa yako hao askari huwa hawaondoki hapo getini na huwa wanapokezana. Tuchukulie polisi waliondoka, na cctv cameras nazo zilienda kwenye kibanda cha kahawa? Je hao askari waliopaswa kuwepo getini walikamatwa ili kuhojiwa? Kama kuna makomandoo wamekaa ndani kwa ajili ya kesi ya kubumba ya Mbowe, kwanini askari waliokuwa getini aliposhambuliwa Lisu hawajawekwa ndani?
 
Back
Top Bottom