Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Hapa hujafanya utetezi bali umeanika ujinga wako zaidi. Kwa taarifa yako hao askari huwa hawaondoki hapo getini na huwa wanapokezana. Tuchukulie polisi waliondoka, na cctv cameras nazo zilienda kwenye kibanda cha kahawa? Je hao askari waliopaswa kuwepo getini walikamatwa ili kuhojiwa? Kama kuna makomandoo wamekaa ndani kwa ajili ya kesi ya kubumba ya Mbowe, kwanini askari waliokuwa getini aliposhambuliwa Lisu hawajawekwa ndani?
Acha matusi, acha kutukana
 
Hapa hujafanya utetezi bali umeanika ujinga wako zaidi. Kwa taarifa yako hao askari huwa hawaondoki hapo getini na huwa wanapokezana. Tuchukulie polisi waliondoka, na cctv cameras nazo zilienda kwenye kibanda cha kahawa? Je hao askari waliopaswa kuwepo getini walikamatwa ili kuhojiwa? Kama kuna makomandoo wamekaa ndani kwa ajili ya kesi ya kubumba ya Mbowe, kwanini askari waliokuwa getini aliposhambuliwa Lisu hawajawekwa ndani?
Nawewe umeanika ujinga wako.Getini hakukua na walinzi, Nani alifungua geti na wakati huo wapiga risasi walikua wapi?
 
Kesi yake iliendeshwa kwenye mahakama hizi hizi za ccm na hukumu ilitoka, labada kama ulikuwa hujazaliwa. Ila bado hujachelewa, mahakama hizi ni za ccm, kafungue tena shauri la kifo cha Chacha Wangwe uwasilishe ushahidi. Kwa taarifa yako akina Makamba Sr wanajua vizuri kuhusu kifo cha Wangwe. Kama hujui basi omba upewe mkanda mzima.
Hata la chacha inajitoa ufahamu?
 
Nawewe umeanika ujinga wako.Getini hakukua na walinzi, Nani alifungua geti na wakati huo wapiga risasi walikua wapi?

Hakuna siri hapo, hili jambo ulijaribu kulitetea muda wote bila mafanikio,na bado ukweli kuwa mwendakuzimu ndiye aliyetoa maagizo kwa kina Bashite kumshambulia Lisu uko pale pale.
 
Lissu na Serikali walizungukwa, hilo hata Lissu mwenyewe analiewa. Wakiwa wapo katikati ya malumbano ya Makininikia, Lissu akafanyiwa timing ili ionekane kuwa ni Serikali. JPM aliingia madarakani kukawa na kundi la watu nje ya Serikali na pia njea ya vyama vya upinzani, ambao walikuwa hawampendi. Kundi hilo ndiyo vile vile lililokuwa likiteka watu pamoja na kufanya mauaji kule Rufiji kwa lengo la kuichafua Serikali. Lissu mwenyewe anajua kuwa hakushambuliwa na Serikali. Ingekuwa Serikali asingekuwepo. Alishambuliwa na mamluki na ndiyo maana walikuwa waoga wakatumia risasi nyingi sana kwa sababu walikuwa wanafanya kazi wakiwa wameogopa. Professional huwa haogopi na hawezi kutumia risasi nyingi hivyo!
Sasa na wewe unachoma!!! Kwa hamza tu mlitumia risasi zaidi ya 100 na mlikuwa mnamuona!!!!! Sasa vipi kwa huyu mwamba ambae mlikuwa mnaotea na hamumuoni? Hii issue kubalini uchunguzi kutoka nje kama ni mbowe itajulikana kama ni serikali pia itajulikana
 
Lisu kwa sasa amekuwa akijiweka mbali sana na Mbowe. Yan haoneshi kuguswa kabisa na kesi zinazomuandama mwenyekiti wake. Lisu ni wakili msomi kwahiyo ana sababu zake za kufanya hivyo ambazo ww hauzijui, na ndio maana aliwahi kutaka jamaa na yeye afanyiwe uchunguzi. Umaarufu wa Lisu ndan na nje ya chama ulimuweka tumbo joto mkuu wa timu akihofi kunyanganywa kiti chake katika uchaguzi mkuu wa chama. Hiki kiti hakikuwahi kumuacha salama Chacha Wangwe, kakoswa koswa Zito na genge lake, pia amenusurika Lisu.
Chadema walitaka kila anaetuhumiwa afanyiwe uchunguzi sasa kwanini Chadema walipotaka uchunguzi huru usio na shaka kabisa seriakli ya jiwe ilikataa?

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Chadema walitaka kila anaetuhumiwa afanyiwe uchunguzi sasa kwanini Chadema walipotaka uchunguzi huru usio na shaka kabisa seriakli ya jiwe ilikataa?

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Unafanyaje uchunguzi ikiwa shahidi wa kwanza ambae alikuwepo ktk tukio (dereva) alifichwa na mwenyekiti?
 
Lissu na Serikali walizungukwa, hilo hata Lissu mwenyewe analiewa. Wakiwa wapo katikati ya malumbano ya Makininikia, Lissu akafanyiwa timing ili ionekane kuwa ni Serikali. JPM aliingia madarakani kukawa na kundi la watu nje ya Serikali na pia njea ya vyama vya upinzani, ambao walikuwa hawampendi. Kundi hilo ndiyo vile vile lililokuwa likiteka watu pamoja na kufanya mauaji kule Rufiji kwa lengo la kuichafua Serikali. Lissu mwenyewe anajua kuwa hakushambuliwa na Serikali. Ingekuwa Serikali asingekuwepo. Alishambuliwa na mamluki na ndiyo maana walikuwa waoga wakatumia risasi nyingi sana kwa sababu walikuwa wanafanya kazi wakiwa wameogopa. Professional huwa haogopi na hawezi kutumia risasi nyingi hivyo!
So why bashite hakuwahi kukanusha kuwa alikuwepo eneo la tukio?, Kwanini shutuma alizikali kimya hadi leo?,
Wote waluotuhumiwa kwenye ile ishu hawakuwahi kukanusha hata siku moja
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Unafanyaje uchunguzi ikiwa shahidi wa kwanza ambae alikuwepo ktk tukio (dereva) alifichwa na mwenyekiti?
Kwahiyo hamza alihojiwa baada ya kuua policcm ndio ushahidi ukapatikana?

Uchunguzi silazima awepo muhusika kama kweli mnania hiyo.
Serikali haiwezi kujichunguza kwasababu ndiye suspect namba moja.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Kwahiyo hamza alihojiwa baada ya kuua policcm ndio ushahidi ukapatikana?

Uchunguzi silazima awepo muhusika kama kweli mnania hiyo.
Serikali haiwezi kujichunguza kwasababu ndiye suspect namba moja.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Hata uchunguzi ukifanyika na muhusika akaonekana anatokea ndani ya chama chake, bado mtakuja kupinga kuwa uchunguzi haukuwa huru kama inavyofanyika sasa ivi kwenye case za mwenyekiti wa chama.
 
Lisu bado anaendelea kukusanya ushahidi. Kuna siku utashangaa atakavyowatapika wale ambao haukuwadhania, si unamjua jamaa ni domo wazi!
Nakwambia hivi japo umbishi hutaki hilo lakni jiwe ndiye alitoa tarifa ya Lissu auwawe, Mungu akamponya huyohuyo jiwe akamfanyia mizengwe kupitia supika asitibiwe,akafukuzwa ubunge ati ni mtoro bungeni,akanyimwa stahiki zake watu walijitolea kumuombea serikali kupitia mgongo wa mbwa policcm wakapiga marufuku yaani kila aina ya udhalimu unaoujua jiwe ameufanya Mungu atamlani japo amrfariki.

Ametesa watu sana. Dah Mungu atamuadhibu kwa aliyowatendea watu wasiokua na hatia.

Chadema baada ya tukio waliondosha cctv ili kupoteza ushahidi na vilevile waliondosha ulinzi ili Lissu apigwe risasi. Wacheni zihaka msijione mnavuta puunzi mkajiona mnahati miliki pekeyenu ya kuishi.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Nakwambia hivi japo umbishi hutaki hilo lakni jiwe ndiye alitoa tarifa ya Lissu auwawe, Mungu akamponya huyohuyo jiwe akamfanyia mizengwe kupitia supika asitibiwe,akafukuzwa ubunge ati ni mtoro bungeni,akanyimwa stahiki zake watu walijitolea kumuombea serikali kupitia mgongo wa mbwa policcm wakapiga marufuku yaani kila aina ya udhalimu unaoujua jiwe ameufanya Mungu atamlani japo amrfariki.

Ametesa watu sana. Dah Mungu atamuadhibu kwa aliyowatendea watu wasiokua na hatia.

Chadema baada ya tukio waliondosha cctv ili kupoteza ushahidi na vilevile waliondosha ulinzi ili Lissu apigwe risasi. Wacheni zihaka msijione mnavuta puunzi mkajiona mnahati miliki pekeyenu ya kuishi.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Acheni hadithi za "alinacha" na uongo juu ya suala la TOBO kupigwa "risasi za ndege"! Tumeshalizungumzia sana suala hili na the theory behind yake tukaisema. Ni hivi hicho kipigo alichopata TOBO ilikuwa na bado ni sehemu ya MKAKATI wa Gaidi Mwenyekigoda na JOPO lake kuhakikisha TOBO hapati nafasi ya UENYEKITI wa CHADEMA! Mkakati kama huo ulifanyika kwa yule Mura wa kule Tarime. Wote tunajua what happened to MURA! Amini - usiamini, mwanachama yoyote wa CHADEMA akikitaka hicho kiti ATAJUTA KUZALIWA. Najua huamini, lakini ukipata nafasi ya siri na ukaongea na Mwepesi, utaamini haya ninayo sema.
 
Acheni hadithi za "alinacha" na uongo juu ya suala la TOBO kupigwa "risasi za ndege"! Tumeshalizungumzia sana suala hili na the theory behind yake tukaisema. Ni hivi hicho kipigo alichopata TOBO ilikuwa na bado ni sehemu ya MKAKATI wa Gaidi Mwenyekigoda na JOPO lake kuhakikisha TOBO hapati nafasi ya UENYEKITI wa CHADEMA! Mkakati kama huo ulifanyika kwa yule Mura wa kule Tarime. Wote tunajua what happened to MURA! Amini - usiamini, mwanachama yoyote wa CHADEMA akikitaka hicho kiti ATAJUTA KUZALIWA. Najua huamini, lakini ukipata nafasi ya siri na ukaongea na Mwepesi, utaamini haya ninayo sema.
Mungu akusamehe tu na kejeli zako. Yakikusibu furahia kama haya unayoyafurahia sasahivi.
 
Mungu akusamehe tu na kejeli zako. Yakikusibu furahia kama haya unayoyafurahia sasahivi.
Huyu hata mwaka huu hauishi, nyama yake italiwa na udogo.
Usihangaike nae mana ameshupaza shingo, pamoja na maonyo yote aliyo onyeshwa kwa hatua Mungu alizo chukua hadi sasa.
 
Huo ni bonge la mtego. Mbowe nina hakika yuko tayari hata leo. Hao wengine wawili sasa ndio raha ilipo.

Huyu Lissu anadanganya toto. Mwenye taarifa kuliko wote labda isipokuwa Lissu mwenyewe, ni dereva wake. Kwa nini anamficha dereva wake kwa gharama kubwa huko Ubeljiji ili tu asihojiwe? Anadhani akihojiwa atatoa taarifa gani itakayomwaibisha?

Kumbuka kina Lissu walikanusha minongono kuwa dereva alikuwa naye Nairobi ili afundishwe cha kujibu pindi akihojiwa na pollisi wakijibu kuwa ilibidi dereva awe na Lissu Nairobi ili atibiwe kisaikolojia. Cha ajabu Lissu alipohamishiwa Ubeljiji dereva naye yumo safarini Ubeljiji.

Lissu akaja kwenye project yake ya kugombea urais hakuthubutu kuja naye. Kuna nani cha kumficha dereva>>>
 
Back
Top Bottom