Acheni hadithi za "alinacha" na uongo juu ya suala la TOBO kupigwa "risasi za ndege"! Tumeshalizungumzia sana suala hili na the theory behind yake tukaisema. Ni hivi hicho kipigo alichopata TOBO ilikuwa na bado ni sehemu ya MKAKATI wa Gaidi Mwenyekigoda na JOPO lake kuhakikisha TOBO hapati nafasi ya UENYEKITI wa CHADEMA! Mkakati kama huo ulifanyika kwa yule Mura wa kule Tarime. Wote tunajua what happened to MURA! Amini - usiamini, mwanachama yoyote wa CHADEMA akikitaka hicho kiti ATAJUTA KUZALIWA. Najua huamini, lakini ukipata nafasi ya siri na ukaongea na Mwepesi, utaamini haya ninayo sema.