Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,431
- 2,210
- Thread starter
-
- #61
Binafsi nimeshaumia sana na hii kesi mpaka kulia nimelia. Kila nikimsikia Lissu akifanya mawasilisho yake au cross examinations zake naumia kwa jinai alivyo innocent lakini from nowhere majaji wanaamua kwa jia zao za kijima.Mnabii wengi walihukumiwa, kudhulumiwa na hata kuuawa kwa sababu ya kusimamia ukweli!
Watamhukumu! Watamuua... Lakini wengine watakuja wakijua wapi pa kuanzia!
Maji yashakorogeka haya!
Hela za damu za watu unazo kula kutoka Kwa SAMIA ipo siku zitaleta laana kwenye familia Yako !!Utashangaa mama Yako Anapata kansa ya kizaziNimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.
Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa s
Learn to read btn the linesLissu hana cha kupoteza.
Jihirumie wewe na mumeo na wanao.
There is nothing to read for me here.!!Learn to read btn the lines
There is nothing to read for me here.Learn to read btn the lines
Ujinga sana.Nyuzi aina 1 watu 10
Kiuhalisia hana kesi yoyote, hilo linafahamika kwa kila mwenye akili. Lakini kwa sababu tuna watawala mashetani, wanaweza kumtengenezea kesi mtu yeyote asiye na hatia kwa kuwaelekeza mahayawani yao waliyoyajaza kwenye mahakama zao bandia.Ndo maana nikasema Labda majaji wapate akili siku za mbele. Zingatia hapo
Bado wanalipwa buku 7 wasenge haoHivi huko Lumumba mliongezewa posho au bado ni buku 7
Wala usilie...Binafsi nimeshaumia sana na hii kesi mpaka kulia nimelia. Kila nikimsikia Lissu akifanya mawasilisho yake au cross examinations zake naumia kwa jinai alivyo innocent lakini from nowhere majaji wanaamua kwa jia zao za kijima.
Nakata tamaa
Nilivyosoma tu neno Muindi nikajua hakuna hapaRufiji tumemkimbiza Muindi
Nilivyosoma tu neno Muindi nikajua hakuna hapa
Bado wanalipwa buku 7 wasenge hao
Tanzania tumepewa mtu mmoja wa kutuvusha hapa. Ni huyu Lissu. Tukimpoteza basi Kuna miaka mingine zaidi ya 50 mbele huko. Hatutoishi kuiona Tanzania/Tanganyika yetu. Maana hawa manyang'au watakuwa wameimaliza Kila kituWala usilie...
Kusanyiko la wajinga na wapumbavu wanadhani wakimmaliza Lissu watakuwa salama zaidi!
HAKUNA!
Kuna miTanganyika mingine itaibuka ikiwa strong na eloquent kuliko Lissu!
Usilie! Usikate tamaa! Jikaze... Amka tusonge mbele!