Lissu haponi kesi hii

Mbepo yamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2012
Posts
1,431
Reaction score
2,210
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu.

Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na mitazamo ya majaji, ni dhahiri Lissu hachomoki. Atahukumiwa tuu. Labda majaji wapate akili siku za mbele. Ila kwa hii akili walio nayo kwa sasa? Mashaka ni makubwa sana
 
Maelekezo ya wasira haya
 
Kwahiyo wewe unafurahia akinyongwa ?
Maisha magumu mpaka yanakusababisha unakuwa na roho ya kikatili
 
Until mahakama ziwe huru na uhuru wake kama taasisi uanzie kwenye katiba there wont be changes. Wataendelea kupokea maelekezo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…