Lissu: Dr. Slaa ni Rais ajaye

babu lea mtoto;

hatutaki vingola vya kiliniki.

sisi zittoooooooooooooooooooooo
Mtakuwa machizi mwaka huu lakini hizi ni kelele za chura tuu Dr.slaa ndo raisi mtarajiwa hilo halina ubishi.
 
Itabidi aanze na kusafisha ufisadi wote unaoendelea chamani mwake CDM. Mbowe anachukua misaada nje kwa mgongo wa chadema afu anarudi kukopesha chama kwa riba kubwa utadhani ni fedha zake. Afu faida anatumia kununua majumba Dubai na bondeni.
nyani huwa haoni kunduni vipi zile pesa zetu za Escrow mafisadi wenu mnawapeleka lini mahakamani?
 
Nita ama nchi kama Dr Slaa akigusa vyumba vya ikulu nitakwenda kuishi Uganda!

Kwanza najiuliza kauli ya Lissu ni kauli ya UKAWA?
Mtaweweseka sana mwaka huu jiandae kurudi kwenu burundi.
 
Mama yangu ni malaya wa baba, Mama yako anagongwa na Bwana wa Mshumbusi.

Mods hapa hamtendeki haki wahuni wanatukana matusi bado mnawaacha siyo sawa huyu mpuuzi TataMadiba mnatakiwa kutoa data zake kwa polisi waanze kufuatilia kwani sheria mpya imetungwa kwa ajili watu kama huyu.
 
Last edited by a moderator:
Acha kujibishana na mtu ambae hajitambui kwan hajui hata mwananyamara inaendeshwa kwa kodi za watanzania
 
kwahiyoo!!!!!!
 
jamiiforum kutukanwa atukanwe DR Slaa akitukana Zitto unapigwa ban... upuuzi huu ndio maaan DR Slaa aliacha kuchangia maada humu sababu hiyo kundi limekua na upendeleo sana Ukimwita Ayatoulah unafungiwa lakin Dr Slaa ataitwa jambazi mwizi mzinzi mlemavu lakin uongozi wa kundi unachekelea tu
 
Labda aruongezee walevi na mateja lkn padri slaa hawezi kuongoza nchi
 

Hata kama palijengwa wakati wa chama kimoja lakini ungozi imara wa chama ndio waliohamasisha, sasa nyie mnashindwaje kuhamasisha wanachama wenu!? By the way TANU kabla ya kuzuiliwa vyama vingi ilikuwa na majengo yake zamani ambayo yalikujaboreshwa baada ya kuingia mfumo wa chama kimoja na baadaye tena kurudi vyama vingi. Mbona mmeshindwa kuwatumia watu wenu vizuri mnabaki kutokwa povu na tamaa ya kudhani mtamiliki mali za ccm! Haiwezekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…