Lissu: Dr. Slaa ni Rais ajaye

Lissu: Dr. Slaa ni Rais ajaye

Slaa ni kilema wa mkono na mguu hataweza kukabiliana na changamoto za nchi yetu
Kila mtu ana kilema chake hata wewe hapo ulipo lazima una kilema chako,

rais aliye madarakani ana kilema chake cha kuanguka hovyo pia ana kilema cha utu uzima tezidume lakini halimzuii kuchapa kazi.
 
CCM wanapotajiwa DR W P Slaa wanaishiwa hoja kabisa, sijui kwanini wanabaki kumtukana tu!!
DR Slaa 2010 hakushindwa...JK anajua, taasisi nyeti wanajua!!

Sasa hivi...na mtandao huu wa CDM, na hoja nzito za Dr Slaa, na muungano huu wa UKAWA! Dr Slaa atamwacha mgombea wa CCM kwa zaidi ya Kura MIL 3!!
 
Siku akiwa rais huyu mzinzi lazima nikatafute hifadhi hata Sudan kusini, siko tayari kuishi nchi inayoongozwa na Padri mzinifu kama huyu

Utakosa kumwita mzinzi wakati huwa unamkuta na mamayako?.Wewe unauhakika gani huyo uliyeambiwa ni babayako ndie yeye?.Jiandae kuhama nchi kama hautaki mana huyo ndie Rais ajaye tutamchagua sisi
 
Jamiiforums mnaruhusu Dr.Slaa tuitwa mzinzi,na hamtaki Kikwete aitwe Mkwere wala Zito kuitwa --------(ayatol.a Msal.iti)
 
Inamaana haujui Makao Makuu ya CCM? Ndiyo maana TataMadiba anawatukana, akili zenu kiufipaufipa tu.
Unajua hilo jengo la makao makuu ya CCM lilijengwa lini na kwa nguvu ya nani? Kabla ya vyama vingi chama kilikuwa kimoja wananchi wote tulishiriki kulijenga hata tusio wanaCCM,

unaweza kutuambia kwa kipindi cha kuanzia 1992 chama cha mapinduzi kimejenga jengo gani lake?
 
Jamiiforums mnaruhusu Dr.Slaa tuitwa mzinzi,na hamtaki Kikwete aitwe Mkwere wala Zito kuitwa --------(ayatol.a Msal.iti)
Mkuu ya ngoswe mwachie ngoswe, askari anatakiwa kupambana kwa kutumia silaha iliyopo, sometime use the available negative forces to win the battle.
 
Nita ama nchi kama Dr Slaa akigusa vyumba vya ikulu nitakwenda kuishi Uganda!

Kwanza najiuliza kauli ya Lissu ni kauli ya UKAWA?
 
Maccm kila mgombea mnaependekeza anajikuta kaelemewa na dhambi za wizi kuliko wa mwanzo.
 
Mungu atupe uzima sana na wote tuwepo kumshuhudia RAIS mwenye kuyatatua matatizo ya RAIA wa Nchi yetu muhimu sana kwetu tuwaze mbadala na siyo mawazo yale yale kila siku Tanzania na Afrika kuna matatizo lukuki yananiitaji mimi na wewe kuyatolea majibu.
 
Tundu Lissu acha uongo unasema Dr.W.Slaa hajawahi kushindwa na CCM na hizo kura milioni 2.3 alizipata wapi kama hakushindwa na JK.
 
Last edited by a moderator:
SLAA analipwa shilingi ngapi kwa mwezi? Pesa anazojikopesha kila siku zinatoka wapi? Una habari hata kadi cha CHADEMA tu anayezitengeneza ni MBOWE ndiye anajipatia tenda?
Hizi zilipendwa hata mwasisi wake Ntuntemeke alishazipuuza sidhani kama wewe utaziweza leo,

kama mlishindwa kupika majungu wakati mlipokuwa ndani ya jiko mtaweza leo mkiwa nje.
 
Last edited by a moderator:
Hivi nyie vijana wa chama tawala mtaacha lini matusi? matusi hayajengi hoja sana sana yanaonyesha hulka ya mchangiaji ilivyo, tujirekebishe tujenge nchi yetu sote.

Wanahasira hao ...................... tegemeo lao la mwisho ni NEC!! Safari hii NEC ikishindwa kuchakachua kama 2010, basi huo ndiyo utakuwa mwisho wa CCM. Lubuva ana kazi kweli kweli mwaka huu!!
 
Jukumu lililo mbele ya nchi yetu ni kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kupiga kura muda ukiwadia kulingana na ratiba na maelekezo yatakayotolewa na tasisi inayohusika. Sasa wananchi wote wenye umri wa kuanzia miaka 18 wajitokeze kujiandikisha ili muda wa kupiga kura ukifika waweze kutimiza haki zao za kikatiba na kufanya maamuzi ya kujenga nchi yetu. Hima hima Watanzania tujenge nchi yetu.
 
Siku akiwa rais huyu mzinzi lazima nikatafute hifadhi hata Sudan kusini, siko tayari kuishi nchi inayoongozwa na Padri mzinifu kama huyu

Nilivyoona huu uzi nilijua tu lazima matusi yatakuwa mengi sana. Hali hii ya matusi katika jukwaa hili ilianza mara tu baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 ambapo JK alipata ushindi ulioacha shaka, na hatimaye ccm kuamua kujitathmini ni wapi walipokosea. Humo wakaona eti hawatumii vizuri vyombo vya habari na social media kwani ndio zilizowapa umaarufu na hasa cdm. Nao ikabidi waige kili walichodhani kwa tathmini yao kwamba kiliwabeba wapinzani, basi ikabidi wamwage vijana mitandaoni kwa kile walichoita kujibu mapigo mitandaoni. Nilidhani vijana hao wanakuja kujibu mapigo kwa hoja, lakini nilianza kushuhudia mbinu za iliyokuwa ulaya mashariki ya zamani ya kuingilia mijadala na kuprovoke watu kwa kuharibu mada na watu wote kuacha kujadili mada husika bali watu.

Matokeo yake hicho walichokiasisi ccm ndio ikawa mwiba mkubwa kwao, kwani waliowaleta mitandaoni hawakuweza kujibu mapigo bali kashfa na matusi na kuzungumzia maisha binafsi ya watu. Hapo ndio tukaanza kuona maisha ya watu binafsi yakiwekwa hadharani ndani nje mpaka ikapelekea leo hii kuanzishwa kwa sheria ya mitandao yaani cybercrime law. Sheria hii imekuja kama kinga ya mafisadi kwani kile walichoasisi cha kuzungumzia maisha binafsi ya watu leo hii ndio kimewaacha wao uchi zaidi. Hivi majuzi nimemuoana kada wa CCM na mtoto wa waziri mkuu wa zamani bwana William Malechela akilalamika eti kwamba kuna watu waliumizwa sana na mada za huku kwenye social media. Lakini akajisahau kwamba hata yeye alijiingiza kwenye siasa za majitaka hadi ikapelekea yeye na dada yake kudhalilishwa sana na maisha yao ya ndani kabisa kuanikwa hapa hadharani. Wewe na wewe ni mmoja wapo ya watu wanaondekeza siasa hizohizo za majitaka na pale watu wanapoamua kulipiza ndio hapo mnapokimbilia kwenye sheria ili ziwalinde kwa bomu mnalotengeneza wenyewe. Kwani umeshindwa nini kumpinga huyo Slaa kwa hoja badala ya kutukana?
 
Back
Top Bottom