Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
Mtakuwa machizi mwaka huu lakini hizi ni kelele za chura tuu Dr.slaa ndo raisi mtarajiwa hilo halina ubishi.babu lea mtoto;
hatutaki vingola vya kiliniki.
sisi zittoooooooooooooooooooooo
Mtakuwa machizi mwaka huu lakini hizi ni kelele za chura tuu Dr.slaa ndo raisi mtarajiwa hilo halina ubishi.babu lea mtoto;
hatutaki vingola vya kiliniki.
sisi zittoooooooooooooooooooooo
nyani huwa haoni kunduni vipi zile pesa zetu za Escrow mafisadi wenu mnawapeleka lini mahakamani?Itabidi aanze na kusafisha ufisadi wote unaoendelea chamani mwake CDM. Mbowe anachukua misaada nje kwa mgongo wa chadema afu anarudi kukopesha chama kwa riba kubwa utadhani ni fedha zake. Afu faida anatumia kununua majumba Dubai na bondeni.
Mtaweweseka sana mwaka huu jiandae kurudi kwenu burundi.Nita ama nchi kama Dr Slaa akigusa vyumba vya ikulu nitakwenda kuishi Uganda!
Kwanza najiuliza kauli ya Lissu ni kauli ya UKAWA?
Mama yangu ni malaya wa baba, Mama yako anagongwa na Bwana wa Mshumbusi.
Mnataka kukiuwa icho kizee bure ukawa hamshindi ht mfanyeje
kwahiyoo!!!!!!kuna kila dalili kwamba chadema na vyama washirika vina mpango wa kumsimamisha katibu mkuu wa chadema, dk willibrod slaa kugombea urais oktoba mwaka huu.
Dalili hizo zilijitokeza hadharani juzi kutokana na kauli ya mwanasheria mkuu wa chadema, tundu lissu aliyoitoa katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya majengo, moshi akimtaja dk slaa kama ndiye rais ajaye huku akieleza uwezekano wa ukawa kuchukua nchi.
Lissu alimtaja dk slaa na mbunge wa moshi mjini, philemon ndesamburo kuwa ndiyo wabunge wa chadema ambao hawajawahi kushindwa na ccm tangu mwaka 1995.
historia hiyo itasema mbunge mmoja kati yao (ambao hawajawahi kushindwa na ccm) ni mzee ndesamburo na historia hiyo itasema mbunge wa pili ambaye hajawahi kushindwa na ccm ni dk willibrod slaa, rais wetu ajaye, alisema lissu.
Mjumbe huyo wa kamati kuu (cc) ya chadema, alisema katika historia ya taifa hili kuna uwezekano mkubwa wa chadema na vyama washirika kuingia ikulu baada ya oktoba.
Vyama washirika ambavyo vinaunda umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) vya chadema, cuf, nccr-mageuzi na nld, vimepanga kusimamisha mgombea mmoja katika ngazi zote za uchaguzi kuanzia urais hadi udiwani katika uchaguzi mkuu ujao.
Dk slaa aligombea urais 2010 na kushika nafasi ya pili kwa kupata kura milioni 2.3 sawa na asilimia 26.34 nyuma ya rais jakaya kikwete aliyeshinda kwa kura milioni 5.3 sawa na asilimia 61.17.
Hadi sasa ukawa haijateua wagombea wake katika ngazi hizo ambazo ni urais, ubunge na udiwani ambao watachuana na wagombea wa vyama vingine.
chanzo: mwananchi
Slaa ni kilema wa mkono na mguu hataweza kukabiliana na changamoto za nchi yetu
Yuko sahihi.Huyo ndiye kiongozi anayekubalika kwa watanzania.
Labda watanzania wa Kaskazini na shemeji zake wa Kaishozi.
tumia akili wewe,acha kuropoka.dunia hii kila mtu ni kilema mtarajiwa
Unajua hilo jengo la makao makuu ya CCM lilijengwa lini na kwa nguvu ya nani? Kabla ya vyama vingi chama kilikuwa kimoja wananchi wote tulishiriki kulijenga hata tusio wanaCCM,
unaweza kutuambia kwa kipindi cha kuanzia 1992 chama cha mapinduzi kimejenga jengo gani lake?