Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Anaandika Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu.
Asanteni Watanzania Kwa Maombi yenu hatuwezi kushangilia kama bado wenzetu wanateseka Magerezani.
Mungu ni mwema. Sina hamu hata na hii nchi. Naamini muda si mrefu tunachukua nchi walisema mateso yakizidi neema inakaribia.
Asanteni Watanzania Kwa Maombi yenu hatuwezi kushangilia kama bado wenzetu wanateseka Magerezani.
Mungu ni mwema. Sina hamu hata na hii nchi. Naamini muda si mrefu tunachukua nchi walisema mateso yakizidi neema inakaribia.