Lissu aondoke nchini

Lissu aondoke nchini

Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.

CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.

Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.

Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.

It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
Shida yemu mnafikiri dumia inaisha na nyie tu.

Mmetafuna damu za watu, mmechanganyikiwa sasa.

Mnaona hii nchi yenu, mnaamua nani apate cheo, nani aporwe cheo, nani auawe, nani apewe uhaimi na nani afukuzwe nchini.

TZ siyo mali ya Bonge la Zimbabwe.

Inashangza mpaka vyombo vya dola, vina-compromise huu UJUHA
 
I just don't believe this!, I know she is not as bright and brilliant as JPM, but she is not stupid!, kuna majitu majinga yanamdanganya!.
Tumsaidie asidanganyike!.
P
Kama anashauriwa upumbavu Kila siku na hang'amui chochote basi yeye ndiye mkuu wa wapumbavu.

Unataka tumsaidie Kwa kumlamba matako ? Maana tunaimba humu Kila siku yeye kaweka pamba masikioni.
 
Acha kumuanika Mumeo hadharani
Nyumbu wewe
FB_IMG_1758599472028.jpg
 
Unadhani shida ni Lissu? Next will be Heche, Polepole, Gwajima, Bashiru n.k na wakiisha hata wewe utafikiwa tu. Tusiweke precedence mbaya maana itakua utamaduni kwamba uchaguzi ukikaribia tunakupa kesi ya uhaini alafu tunakuachia unaenda uhamishoni.
Genius
Huyu Poppy anafikiri wataishia kwa Lisu, Hapana, hiyo ndiyo strategy ya hawa wauaji CCM, wanaanza tu kwa Lisu wanaona kama utakula hapo, wakimaliza hapo wanakuja na linguine, hawa ni watu waliodanganya Taifa hili kwa miaka yote, hasa baada ya kutoweka Nyerere, wamekua wakigawana kila kitu, hii nchi imebakia nyeupe hakuna kitu, aggressors kama Kagame wanaangalia tu kwa mbali, washajua hii nchi ishakua kama Kongo, ni dhaifu mno.

Nchi ipo chini ya The Gang, - hawa akina IGP, CDF, wote wanapokea rushwa, ndiyo maana unaona hata afya zao siyo nzuri. Hii nchi ina ugonjwa mkubwa mno. Once JW ikininajisiwa ujue nchi kwisha.
 
Nitakua mimi,perhaps utadharau ila sio mwandikaji mzuri ningeandika vingi ,ila I have story to tell, nimechoka na hizi kazi...polepole hakosei anachosema
 
Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.

CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.

Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.

Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.

It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
Wewe mzee nawe umedata. Lissu aondoke nchini kwake kwa sababu mwanamke wa Kizanzibari hampendi? Are you serious?
 
U
Genius
Huyu Poppy anafikiri wataishia kwa Lisu, Hapana, hiyo ndiyo strategy ya hawa wauaji CCM, wanaanza tu kwa Lisu wanaona kama utakula hapo, wakimaliza hapo wanakuja na linguine, hawa ni watu waliodanganya Taifa hili kwa miaka yote, hasa baada ya kutoweka Nyerere, wamekua wakigawana kila kitu, hii nchi imebakia nyeupe hakuna kitu, aggressors kama Kagame wanaangalia tu kwa mbali, washajua hii nchi ishakua kama Kongo, ni dhaifu mno.

Nchi ipo chini ya The Gang, - hawa akina IGP, CDF, wote wanapokea rushwa, ndiyo maana unaona hata afya zao siyo nzuri. Hii nchi ina ugonjwa mkubwa mno. Once JW ikininajisiwa ujue nchi kwisha.
Ugonjwa ni mkubwa ni Congo inayokuja hakuna mtu wa kutoka kusema hapana vyombo vya Ulinzi Usalama vinashidwa kusema kwamba hapa hapana kwa maslahi ya Nchi
 
I just don't believe this!, I know she is not as bright and brilliant as JPM, but she is not stupid!, kuna majitu majinga yanamdanganya!.
Tumsaidie asidanganyike!.
P
Kama mtu mjinga anakudanganya na ukadanyika basi wewe( yeye) ni mpumbavu kabisa
 
Mkataa pema, pabaya panamuita.
P
P udalali wowote dhidi ya Haki na maslahi ya taifa letu ulishakataliwa na utakataliwa,hapa muhimu ni kuzitambua haki zota za kikatiba zilizoporwa na zinazoendelea kuporwa na sii kukaa mezani na kukubaliana haki ipi inunuliwe na ipi itolewe robo au nusu.Tanzania imeamka.
 
Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.

CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.

Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.

Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.

It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
Shetani huwa na lugha very seductive, tamu yenye ushawishi kiasi cha Eva au Hawa kuingia mkenge na kuleta mateso ya dunia hii mpaka leo...

Wewe Poppy Hatonn ndiye hasa shetani mwenyewe....

Remember these two sayings hoping that it may teach you something..

".....What comes easy won't last. But what last, won't come easy.."

Tundu Lissu anapigania kitu kitakachodumu lakini kwa kupitia vita ngumu na ya maumivu. Ktk dunia waliweza wachache sana kupitia njia hii. Yesu Kristo, Nelson Mandela na wengine. Walivyopigania vinadumu hadi leo...

Pia kuna msemo huu👇🏻

"...Sometimes people come back to someone to check if she/he is still stupid..."

Nasikitika kwa hao waliomwendea Tundu Lissu na proposal yao hiyo na wewe Poppy Hatonn unayeunga wazo pendekezo hili thinking that, the guy is stupid like themselves....

Tundu Lissu is not and he had never been stupid before...!

Sanasana kwa move yao hiyo, ndo kwa hakika wamethibitisha uovu na uuaji wao. For sure, they will dearly pay for it
 
I just don't believe this!, I know she is not as bright and brilliant as JPM, but she is not stupid!, kuna majitu majinga yanamdanganya!.
Tumsaidie asidanganyike!.
P
Kwanini na yeye adanganyike wakati ana akili zake timamu?

Bwana Paschal, siamini kabisa katika hilo, mimi nachojua ni kwamba Samia hana kabisa uchungu na taifa hili la watanganyika na kwa bahati mbaya sana amezungukwa na opportunists, na yeye kwa kulitambua hilo ameamua kushirikiana na hao waloho kulifilisi kabisa hili taifa.... huku kazi kubwa ya opportunists hao ni kumuhakikishia usalama wake asibugudhiwe na ndio hao anaowatume kufanya uharamia wote huu.
 
Back
Top Bottom