AmenMungu ana makusudi na Lissu.
Wewe ni mgeni katika Yerusalemu???Ina maana maneno yaliyozungumzwa tangu asubuhi hujayasikia kweli?Sasa ataondokaje na Yuko jela mkuu? Au anakaribia kuachiliwa? Dadavua kidogo.pls
'Modus operandi' isiyo ngeni kwa huyu Samia.Unadhani shida ni Lissu? Next will be Heche, Polepole, Gwajima, Bashiru n.k na wakiisha hata wewe utafikiwa tu. Tusiweke precedence mbaya maana itakua utamaduni kwamba uchaguzi ukikaribia tunakupa kesi ya uhaini alafu tunakuachia unaenda uhamishoni.
Mkataa pema, pabaya panamuita.
P
I just don't believe this!, I know she is not as bright and brilliant as JPM, but she is not stupid!, kuna majitu majinga yanamdanganya!...Mzanzibari SSH anamfukuza Mtanganyika TAL ktk nchi yake. Yaleyale ya kufukuza Wamaasai toka Ngorongoro.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.
CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.
Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.
Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.
It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
Can you imagine?😂..Mzanzibari SSH anamfukuza Mtanganyika TAL ktk nchi yake. Yaleyale ya kufukuza Wamaasai toka Ngorongoro.
Wewe ni mke wake hadi ujue yote hayo?Hiyo offer apewe Lema atakimbia nchi bila kuangalia nyuma maana ana madeni mengi sana, na michango ya tonetone kaipiga
Licha ya Tundu Lissu kuwa mzalendo na mpigania haki na ukweli nchini kwa miaka mingi, jambo ambalo halina ubishi Watanzania wamemsaliti waziwazi. Ukweli ni kwamba, Watanzania wengi (Achana na wale wa X & JF wa mtandaoni) hawajawahi kumwona Tundu Lissu kama mkombozi (Kama Nyerere, Magufuli, Maalim Seif - Zanzibar) wao binafsi hata siku moja. Badala yake, wengi wao wanaichukulia CHADEMA kama chama cha ukombozi, na siyo Tundu Lissu kama mtu mmoja.Ndiyo maana ata akinyongwa Leo hii mahakamani hamna kitu watanzania watafanya kama walivokaa kimya baada ya kupigwa risasi Dodoma.