Vijana wa bavicha kweli hamna nidhamu. Mpaka mzee Warioba mnamtupia matusi namna hii!!!
Mzee Warioba na utumishi wake uliotukuka wa miaka mingi ni mtu anayeheshimika sana duniani. Bavicha jifunzeni adabu...
Yeap, Lissu anasema walinasa barua iliyoandaliwa na Asha Rose Migiro ikielezea namna watakavyohujumu mabaraza ya katiba, tarehe 3, march 2013.Asha rose migiro ahusishwa na tuhuma za uchakachuajitwa tume ya katiba kuipendelea ccm
Mama Makinda kawa mpoleeeeeee, Lisu kammaliza kabisaaaaaa anaongea kwa upole sana maana Lisu kawamwagia maji...nyooo siasa si hasa!!!!!
Hapo kwa nini wasingeweka bajet ya kununuli Condom.?Pia kuna bajeti imewekwa kwa kununua chakula maalum kwa wajumbe watakaoambukizwa UKIMWI.
''another silly season'' Kwa kiingereza cha kinyiramba.
Mkuu kamaliza kusoma mimi sijaona cheche labda atazitoa jioni cheche nasuri,viva kamanda lisuLissu anawavua nguo duhh!! hadi ushahidi wa emails zilizotumwa!!
CDM ni zaidi ya usalama wa Taifa au mpaka wakuambie wewe utapata shs ngapi Lumumba leo ndio uamini nyambafVijana wa bavicha kweli hamna nidhamu. Mpaka mzee Warioba mnamtupia matusi namna hii!!!
Mzee Warioba na utumishi wake uliotukuka wa miaka mingi ni mtu anayeheshimika sana duniani. Bavicha jifunzeni adabu...