Lissu ameanza kutema cheche

Lissu ameanza kutema cheche

Status
Not open for further replies.
dah! ndo maana baregu kagoma kujitoa kuna ulaji wa kufa mtu....
 
Pia kuna bajeti imewekwa kwa kununua chakula maalum kwa wajumbe watakaoambukizwa UKIMWI.
 
Lissu: " Kama alivyosema Baba wa Taifa, huu ni wizi mtupu".
 
dah! ndo maana baregu kagoma kujitoa kuna ulaji wa kufa mtu....
Lile Zee lilikuwa linasumbuliwa na Njaa ona hata wakina Mvungi wameshona midomo yao Zee la makunyanzi ambalo linaanguka Serena naona uso wake umeanza kumeremeta
 
Pia kuna bajeti imewekwa kwa kununua chakula maalum kwa wajumbe watakaoambukizwa UKIMWI.

Aisee....
kwani wanakuwa wamejiweka katika mazingira gani hadi ya kuambukizwa HIV? Wanafanyia watu operation au katika kwa kuongea na watanzania basi wanakuwa katika hatari ya kupata maambukozo???
 
Nasubiri nione serikali jinsi itakavyotoa utetezi kwenye moja ya kifungu cha pesa kilichoombwa na tume ya kupokea maoni ya wananchi kuhusu katiba,kwa ajili ya kuhudumia wajumbe watakaoathirika na virusi vya ukimwi wakati wakiwa katika kazi ya kupokea maoni.
Kwani hivi virusi vya ukimwi vimeanza kuambukizwa kwa njia ya hewa au kusalimiana?
 
Wajumbe wa mabalaza ya katiba ya wilaya kwa Tanganyika wamechaguliwa na watu wanne. Na wale wa Zanzibar wamechaguliwa na wananchi.
 
Jamani hadi warundi wanachaguliwa kwenye baraza la katiba,magamba bwana!
 
naona anapinga misumari kama kawa ccm mwaka huu lazima kieleweke
 
Hotuba ya Lissu inawasilishwa bungeni, imeshakubaliwa.

Mbali ya msimamo wa CHADEMA juu ya mchakato wa Katiba Mpya, utasikia ushahidi (facts) wa namna CCM walivyokuwa wakiwasiliana 'kuhujumu' mchakato wa Katiba Mpya, ili uende watakavyo on their favour. Pia masuala ya hifadhi (uvunjwaji wa) ya haki za binadamu yamepewa uzito mkubwa kwa mifano na facts za kutosha, kuonesha namna nchi ilipofikishwa pabaya.
 
Asha Rose Migiro ahusishwa na tuhuma za uchakachuajitwa tume ya katiba kuipendelea CCM
 
makinda anamzuia lisu kufichua hujuma katika mabaraza ya katiba. Anamwambia "inatosha"
 
Hee!eti wajumbe wa tume wametengewa mamilioni ya pesa,kwa ajiri ya watakao pata maambukuzi ya ukimwi!lisu anauliza kwani hiyo kazi ya mchakato wa katiba inahusiana vipi na maambukizi ya ukimwi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom