Lissu akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA, itabidi baadhi ya Ofisi, idara zake na watumishi zihamishiwe Ubelgiji

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,006
20,683
Kwa kuwa ni dhahiri kwamba Lissu hawezi kukaa Tanzania kwa zaidi ya mwezi, endapo CHADEMA itathubutu kumpa uenyekiti wa chama, itabidi baadhi ya idara na watumishi wapate uhamisho wa kuhamia Ubelgiji, vinginevyo baadhi ya shughuli zitakwama, na itabidi maafisa na myaraka ziwe zinaoanda ndege mara kwa mara, hivyo kuongeza gharama .

Ni vyema Mbowe abaki kuwa Mwenyekiti kwa kuwa kaonyesha si mwoga, na anajisimamia.

N.B: Sijaongelea akiwa Rais, itakuwa hatari zaidi
 
Kwa kuwa ni dhahiri kwamba Lissu hawezi kukaa Tanzania kwa zaidi ya mwezi, endapo Chadema itathubutu kumpa uenyekiti wa chama, itabidi baadhi ya idara na watumishi wapate uhamisho wa kuhamia Ubelgiji, vinginevyo baadhi ya shughuli zitakwama, na itabidi maafisa na myaraka ziwe zinaoanda ndege mara kwa mara, hivyo kuongeza gharama .

Ni vyema Mbowe abaki kuwa Mwenyekiti kwa kuwa kaonyesha si mwoga, na anajisimamia.

N.B: Sijaongelea akiwa Rais, itakuwa hatari zaidi
Ha ha....
Duh, yaani kama itakuwa ndivyo hivyo, ni rahisi kuunganisha vijidoti vyake kutaka Katiba mpya....Je, anataka kubadilisha kipengele au vipengele vinavyodai ofisi za chama cha Siasala viwe na anwani Tanzania? aisee haya mambo yanaibua maswali kedekede....ni maoni yangu kuhusu hilo juu ya Katiba kubadilishwa kuumpa uwezo wa kututawala akiwa Nje ya Nchi?

Tusubiri tuone
 
Ha ha....
Duh, yaani kama itakuwa ndivyo hivyo, ni rahisi kuunganisha vijidoti vyake kutaka Katiba mpya....Je, anataka kubadilisha kipengele au vipengele vinavyodai ofisi za chama cha Siasala viwe na anwani Tanzania? aisee haya mambo yanaibua maswali kedekede....ni maoni yangu kuhusu hilo juu ya Katiba kubadilishwa kuumpa uwezo wa kututawala akiwa Nje ya Nchi?

Tusubiri tuone
Mambo ya uraia wa nchi mbili, mwanae nasikia ameingia jeshini huko, akiwa mkuu wa Majeshi, baba Rais Tanzania
 
Mambo ya uraia wa nchi mbili, mwanae nasikia ameingia jeshini huko, akiwa mkuu wa Majeshi, baba Rais Tanzania
Mbona itakuwa tafrani kwa tunaopewa majina ya magenge ya Ukabila. Tutaangamizwa. manake ukifundishwa na mbinu za akina King Leopold! mhhh

Tuchague kwa umakini wa hali ya juu 2025
 
Kwa kuwa ni dhahiri kwamba Lissu hawezi kukaa Tanzania kwa zaidi ya mwezi, endapo CHADEMA itathubutu kumpa uenyekiti wa chama, itabidi baadhi ya idara na watumishi wapate uhamisho wa kuhamia Ubelgiji, vinginevyo baadhi ya shughuli zitakwama, na itabidi maafisa na myaraka ziwe zinaoanda ndege mara kwa mara, hivyo kuongeza gharama .

Ni vyema Mbowe abaki kuwa Mwenyekiti kwa kuwa kaonyesha si mwoga, na anajisimamia.

N.B: Sijaongelea akiwa Rais, itakuwa hatari zaidi
Sukuma gang mmelialia sana Mbowe aachie ngazi lakini sasa hapa tena mnaingia hofu kwamba hata akiachia ngazi Lissu asiwe mwenyekiti? Duh kweli mmeweza.
Nadhani mngewachagulia mnaridhia nani awe mwenyekiti.
 
Mada inajieleza, mnaleta Ukabila. So what? 'Sukuma gang" ikazikwe nae? So What "Sukuma gang" Tunalia? Kwanza kulia ni Afya.


Tofauti na kuhuzunika na mihemeko kwa hasira matusi na kejeli kwa mfu, hayo ni dhahiri mna utindio wa usongo! Mnasononeka kuona hamjaua fikra' piga ua! Inawauma sana kuona mnapoteza mabilioni ya fedha kwa kampeni zenu za kidhalimu na uhasama wa hali ya juu na hasi!

Alas,

There is absolutely nothing you can do to stop Magulification. Absolutely Nothing you can do about it. Tanzania is strong and undivided... and Sukuma is Proud as ever...Deal with it!
 
Back
Top Bottom