Lissu akifa leo wauaji ni serikali ya Samia

Lissu akifa leo wauaji ni serikali ya Samia

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,293
Reaction score
13,958
Huo ndiyo ukweli. Kwanza mnafungulia mtu kesi ya kunyogwa kwasababu kawazidi kipaji cha kujieleza na uzalendo. Akifa huko jela kwa mashtaka ambayo ni ya upuuzi Mama Samia na serikali yake hawatakuwa na pa kukimbilia. Tunajua kesi zote za kisiasa na maagizo kutoka juu. Maana yake ni maagizo ya viongozi wa serikali
 
Huyuu mama jiwe mchumba ni katili hatari na UCHU WA MADARAKA.

Kuna mambo yako nyuma ya pazia hatuyajui either Amekula helaa za watu kama DP world nk

Au madili ya kifisadi yako nusu anataka ayamalizie. Kwa kauli za mkwe wake mchengerwa. hawa jamaa wako tayari kuua watu ata 100000 ilimradi wasalie madarakani.
 
Li
Huo ndiyo ukweli. Kwanza mnafungulia mtu kesi ya kunyogwa kwasababu kawazidi kipaji cha kujieleza na uzalendo. Akifa huko jela kwa mashtaka ambayo ni ya upuuzi Mama Samia na serikali yake hawatakuwa na pa kukimbilia. Tunajua kesi zote za kisiasa na maagizo kutoka juu. Maana yake ni maagizo ya viongozi wa serikali
Lissu ni mzalendo namba moja kwa kweli....
 
Nunda
 

Attachments

  • GpTPKKjXsAAe32n.jpeg
    GpTPKKjXsAAe32n.jpeg
    82.2 KB · Views: 19
Huo ndiyo ukweli.
Ukweli Tundu atafia jela?
Kwanza mnafungulia mtu kesi ya kunyogwa kwasababu kawazidi kipaji cha kujieleza na uzalendo.
...kweli kesi hiyo ni nzito, na hukumu yake ni kifo vilevile ni kweli anacho kipaji cha kujieleza lakini kipaji chake hakipo kwenye mashitaka.
Akifa huko jela kwa mashtaka ambayo ni ya upuuzi
Itasikitisha sana
Mama Samia na serikali yake hawatakuwa na pa kukimbilia.
...eeh mang'ana🔥😅 CHADEMA mnamikwara sana

Tunajua kesi zote za kisiasa na maagizo kutoka juu. Maana yake ni maagizo ya viongozi wa serikali
Oho, na yale "makabrasha" ya Tundu yatajumuishwa?

Tundu hafi bwashee
 
Huo ndiyo ukweli. Kwanza mnafungulia mtu kesi ya kunyogwa kwasababu kawazidi kipaji cha kujieleza na uzalendo. Akifa huko jela kwa mashtaka ambayo ni ya upuuzi Mama Samia na serikali yake hawatakuwa na pa kukimbilia. Tunajua kesi zote za kisiasa na maagizo kutoka juu. Maana yake ni maagizo ya viongozi wa serikali
Gentleman,
afe mtu awaye yeyote as long as ni mwanadamu, atazikwa na kusahaulika na maisha ya walio hai yataendelea kama kawaida bila kujali hizo porojo za pata potea 🐒
 
Huo ndiyo ukweli. Kwanza mnafungulia mtu kesi ya kunyogwa kwasababu kawazidi kipaji cha kujieleza na uzalendo.
Na anapenda kuongelea mambo ya kihistoria ambayo hawapendi tuyakumbuke.

Speech ya mwisho, Mbamba Bay, Lissu kasema bunduki za kumpindua Sultani zilipandishwa kwenywe mtumbwi nyumbani kwa Kambona Msasani.

Nyumba ya Kambona, ule mtaa wote nyuma ni bahari. Alikuwa Waziri wa Ulinzi. Lakini Wazanzibar sidhani kama wanataka kukumbushwa nani kawakomboa, wanaringa ringa hapa for nothing kwa sababu ya mkataba wa kijinga wa Nyerere na Karume.

Halafu akasema kwenye maasi ya 1964, Kambona ndie alienda kuongea na majeshi, Nyerere alikimbilia Kigamboni. Hizi ni facts zinazomwaibisha baba wa Taifa.

Lakini humsikii Kambona popote, hawataki umjue, kisa aligombana na Nyerere alivyorudi kutoka China akajifanya Mchina, kabadili mpaka nguo. Lissu kalkumbushia vitu kama hivi inawakera sana. Hakuna mwingine anaongea haya.
 
Huo ndiyo ukweli. Kwanza mnafungulia mtu kesi ya kunyogwa kwasababu kawazidi kipaji cha kujieleza na uzalendo. Akifa huko jela kwa mashtaka ambayo ni ya upuuzi Mama Samia na serikali yake hawatakuwa na pa kukimbilia. Tunajua kesi zote za kisiasa na maagizo kutoka juu. Maana yake ni maagizo ya viongozi wa serikali
Afe tu, hana faida yoyote.
 
Akifa , ni ujinga wake kwa kugoma kula
 
Huo ndiyo ukweli. Kwanza mnafungulia mtu kesi ya kunyogwa kwasababu kawazidi kipaji cha kujieleza na uzalendo. Akifa huko jela kwa mashtaka ambayo ni ya upuuzi Mama Samia na serikali yake hawatakuwa na pa kukimbilia. Tunajua kesi zote za kisiasa na maagizo kutoka juu. Maana yake ni maagizo ya viongozi wa serikali
Mkuu Mundu,@kamundu ile siku mtu unazaliwa,kila kitu chako kinakuwa kimepangwa na mapito yako yote utakayo yapitia,yameandikwa, ikiwemo,utakufa lini, utakufa wapi,na utakufaje, kila mtu atakufa saa yake ikifika,malaika mtoa roho, Israeli,humptia kila mtu kila siku kwa saba mara sabini,ili saa yako ikifika,asizidishe hata nukta moja!

Wewe ni Ilboru,mimi ni Ilboru,na Tundu Lissu ni Ilboru,sisi wana Ilboru,hatuwagi majinga hivi,tugome kula mpaka kufa!。

Lissu ni bwana mdogo wangu,na hapa mimi kama kaka yake,nimemshauri vizuri tuu Pre GE2025 - DSM - Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati

P
 
Gentleman,
afe mtu awaye yeyote as long as ni mwanadamu, atazikwa na kusahaulika na maisha ya walio hai yataendelea kama kawaida bila kujali hizo porojo za pata potea 🐒
...akifa kesho itakuwa kwa sababu za sera zao CHADEMA za kususasusa-

...sasa na Laigwanaan Tundu anaenda kujinyima chakula yani kususia chakula.

Hafi leo.
 
Back
Top Bottom