Na anapenda kuongelea mambo ya kihistoria ambayo hawapendi tuyakumbuke.
Speech ya mwisho, Mbamba Bay, Lissu kasema bunduki za kumpindua Sultani zilipandishwa kwenywe mtumbwi nyumbani kwa Kambona Msasani.
Nyumba ya Kambona, ule mtaa wote nyuma ni bahari. Alikuwa Waziri wa Ulinzi. Lakini Wazanzibar sidhani kama wanataka kukumbushwa nani kawakomboa, wanaringa ringa hapa for nothing kwa sababu ya mkataba wa kijinga wa Nyerere na Karume.
Halafu akasema kwenye maasi ya 1964, Kambona ndie alienda kuongea na majeshi, Nyerere alikimbilia Kigamboni. Hizi ni facts zinazomwaibisha baba wa Taifa.
Lakini humsikii Kambona popote, hawataki umjue, kisa aligombana na Nyerere alivyorudi kutoka China akajifanya nigga wa Kichina. Lissu kakumbushia vitu kama hivi. Inawakera sana. Hakuna mwingine anaongea haya.