Lissu Aendelee Jela: Kesi Ya Uasi

Lissu Aendelee Jela: Kesi Ya Uasi

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
509
Reaction score
489
π—Ÿπ—œπ—¦π—¦π—¨ π—‘π—œ 𝗕𝗒π—₯𝗔 π—”π—•π—”π—žπ—œ π—π—˜π—Ÿπ—” 𝗧𝗨
π—–π—›π—”π——π—˜π— π—” π—§π—¨π— π—˜π—₯π—œπ——π—›π—œπ—”.

Huyu ni mwalimu wa sheria na anafundisha sheria huko mahakamani na anawafundisha sheria akina Katuga.

Kwa hiyo aendelee kukaa jela tu mbona muda bado mrefu tu anao wa kutoa shule ya sheria! Sasa Mandela wa Ikungi anachoka mapema hivi? Yaani siku 400 tu kishatepeta hivi. Ana safari ndefu sana mbona huyu !..

Huwezi chochea uasi na kutaka kuangusha serikali halafu ukaachwa tu hivi hivi. Wewe ni nani yaani? Huyu kazoea kutopokaropoka sasa awamu hii atafunzwa kuwa na akili timamu kwa vitendo yaani.

Huyu apambane na kesi yake mpaka iishe na asitafute njia za panya kutaka kutoka jela ambako aliingia kwa kauli zake na mipango yake ya kuleta uasi.!
 
π—Ÿπ—œπ—¦π—¦π—¨ π—‘π—œ 𝗕𝗒π—₯𝗔 π—”π—•π—”π—žπ—œ π—π—˜π—Ÿπ—” 𝗧𝗨
π—–π—›π—”π——π—˜π— π—” π—§π—¨π— π—˜π—₯π—œπ——π—›π—œπ—”.

Huyu ni mwalimu wa sheria na anafundisha sheria huko mahakamani na anawafundisha sheria akina Katuga.

Kwa hiyo aendelee kukaa jela tu mbona muda bado mrefu tu anao wa kutoa shule ya sheria! Sasa Mandela wa Ikungi anachoka mapema hivi? Yaani siku 400 tu kishatepeta hivi. Ana safari ndefu sana mbona huyu !..

Huwezi chochea uasi na kutaka kuangusha serikali halafu ukaachwa tu hivi hivi. Wewe ni nani yaani? Huyu kazoea kutopokaropoka sasa awamu hii atafunzwa kuwa na akili timamu kwa vitendo yaani.

Huyu apambane na kesi yake mpaka iishe na asitafute njia za panya kutaka kutoka jela ambako aliingia kwa kauli zake na mipango yake ya kuleta uasi.!
Screenshot_20260516-003803~2.png
 
Mkuu Una roho mbaya kiasi gani.

Ingekuwa roho mbaya hupimwa kwenye mizani wewe Una maelfu ya Tani za roho mbaya
 
π—Ÿπ—œπ—¦π—¦π—¨ π—‘π—œ 𝗕𝗒π—₯𝗔 π—”π—•π—”π—žπ—œ π—π—˜π—Ÿπ—” 𝗧𝗨
π—–π—›π—”π——π—˜π— π—” π—§π—¨π— π—˜π—₯π—œπ——π—›π—œπ—”.

Huyu ni mwalimu wa sheria na anafundisha sheria huko mahakamani na anawafundisha sheria akina Katuga.

Kwa hiyo aendelee kukaa jela tu mbona muda bado mrefu tu anao wa kutoa shule ya sheria! Sasa Mandela wa Ikungi anachoka mapema hivi? Yaani siku 400 tu kishatepeta hivi. Ana safari ndefu sana mbona huyu !..

Huwezi chochea uasi na kutaka kuangusha serikali halafu ukaachwa tu hivi hivi. Wewe ni nani yaani? Huyu kazoea kutopokaropoka sasa awamu hii atafunzwa kuwa na akili timamu kwa vitendo yaani.

Huyu apambane na kesi yake mpaka iishe na asitafute njia za panya kutaka kutoka jela ambako aliingia kwa kauli zake na mipango yake ya kuleta uasi.!
In fact ana haki ya kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa itakapothibitika aliongoza mipango mikakati ya kuipindua serikali sikivu ya CCM.

Inashanga sana,
alikua akijinasibu sana kua haogopi kufa, cha kusikitisha amechoka kwa hofu ya kunyongwa hata kabla ya hukumu yenyewe.

Kwa uropkaji ule na kukosa kwake adabu na utii kwa sheria na katiba ya nchi, the puppet belongs to jail before being hanged πŸ’
 
π—Ÿπ—œπ—¦π—¦π—¨ π—‘π—œ 𝗕𝗒π—₯𝗔 π—”π—•π—”π—žπ—œ π—π—˜π—Ÿπ—” 𝗧𝗨
π—–π—›π—”π——π—˜π— π—” π—§π—¨π— π—˜π—₯π—œπ——π—›π—œπ—”.

Huyu ni mwalimu wa sheria na anafundisha sheria huko mahakamani na anawafundisha sheria akina Katuga.

Kwa hiyo aendelee kukaa jela tu mbona muda bado mrefu tu anao wa kutoa shule ya sheria! Sasa Mandela wa Ikungi anachoka mapema hivi? Yaani siku 400 tu kishatepeta hivi. Ana safari ndefu sana mbona huyu !..

Huwezi chochea uasi na kutaka kuangusha serikali halafu ukaachwa tu hivi hivi. Wewe ni nani yaani? Huyu kazoea kutopokaropoka sasa awamu hii atafunzwa kuwa na akili timamu kwa vitendo yaani.

Huyu apambane na kesi yake mpaka iishe na asitafute njia za panya kutaka kutoka jela ambako aliingia kwa kauli zake na mipango yake ya kuleta uasi.!
Ww ni msemaji wa chadema? Au umejitia kiherehere?
 
Kwenye wale wawili huyu ndio mmoja wao.
Akikauka huku mtaiona ile ID ya kuokoteza taarifa ikiamka.

Familia ililea Shoga.
 
Back
Top Bottom