Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

Watoto kukataa kula jamani kuna mtoto wa cousin yangu ana miezi 8 yeye hapendi kula nikagundua mama ake anampa chakula cha nyanya na maungo chakula hicho kina mkinai

Nimemwanzishia chakula chake tatizo ulitaka ale mpigie mluzi akicheka unamwekea kijiko

Uji wa karanga

Chambua karanga zako safisha
Zisage ziwe laini kabisa

Jinsi ya kutayarisha uji

Korogo unga wa karanga kwenye maji tia jikoni koroga mpaka ushike(uwe mzito) acha uchemke uive mpaka uone kama unaganda.

Utakuwa tayari kwa kunywa tia sukari kidogo ni uji mzuri kwa mtoto


Nitajaribu na hii ntaleta majibu
 
Thread muhimu kama hizi kibongobongo utaona zinaenda zinafika page moja, mbili.

Tena hapo kwa kujipigia self promo wenyewe sana.

Leta stories za shoga kaenda kwa mganga kalirudisha buzi lake uone, thread itafika mpaka page mia kama ripoti ya Kamati ya Mahesabu ya bunge.


Usemavyo ni kweli kabisa
 
....Daaah!! Mwanetu ana miezi sita sasa hivi, anapenda zaidi kunyonya maziwa ya Mama ake na sio mpenzi sana wa vyakula nadhani hii thread itasaidia kujua vyakula vya kumpa mtoto wetu kipenzi.

Kesho mapema sana inabidi wife afanye ziara kwenye uzi huu.

Shukrani kwa muanzishaji wa uzi huu na wachangiaji wote.
 
......mwanangu yupo 4 yrs now,lakini alipokuwa na umri wa miezi 6 -12 menu yake kubwa ilikuwa asubuhi nilikuwa nampa avocado nusu na ndizi nusu. Nachanganya na mtindi na rice cereal vijiko 2. Anashushia na maziwa 6 ounces.

Aisee! Kameshakuwa kakubwa hivyo mara hii?

Time flies.
 
......mwanangu yupo 4 yrs now,lakini alipokuwa na umri wa miezi 6 -12 menu yake kubwa ilikuwa asubuhi nilikuwa nampa avocado nusu na ndizi nusu. Nachanganya na mtindi na rice cereal vijiko 2. Anashushia na maziwa 6 ounces.

Mchana lunch ni viazi vitamu au maboga nachanganya na spinach au karoti. Anashushia na maziwa au maji. Hivyo viazi au maboga unaviponda vinakuwa kama uji mzito.

.....usiku pia alikuwa anakula squash, namix na sweet potatoes. Then maziwa kinywaji.

.....Na bado kuna snacks btn meals, waweza mpa maziwa na cooked carrot. Mtoto wa 12 months waweza mpa cookies, akajifunza kula mwenyewe.

Vile vile nilijifunza mtoto akikataa kula usimlazimishe sana,muache baada ya muda akisikia njaa atakula.

Mtoto akiwa anakula muweke kwenye kiti special na tv nzima.

Hizo menu tunafanana vyakula unavyompa hata wa kwangu nampa ila tu sio mlaji...

Kuhusu tv wakati wa kula mie ndio naona huwa anakula zaidi mana anapenda tv ila mda mwengine ana concetrate sana
 
....Daaah!! Mwanetu ana miezi sita sasa hivi, anapenda zaidi kunyonya maziwa ya Mama ake na sio mpenzi sana wa vyakula nadhani hii thread itasaidia kujua vyakula vya kumpa mtoto wetu kipenzi.

Kesho mapema sana inabidi wife afanye ziara kwenye uzi huu.

Shukrani kwa muanzishaji wa uzi huu na wachangiaji wote.


Ahsante sana na wewe kwa kuchangia kisses kwa mtoto wetu
 
Pretty hata watoto wa miezi 7 na kurndelea wanaweza anza kujifunza kula wenyewe ila ni kuhakikusha tu vyakula ni soft kama karot unachemsha au ku steam ili visiwakae kooni....

Hata avocado ukikata pieces ndogo ndogo anakula mwenyewe na vyengine kama ndizi n.k...

Ujanja huu apa chini

Kwa vile kushika wenyewe vyakula vinateleza mfano ndizi basi unatakiwa uvipakae unga wa cereal ili waweze kushika vizuri na kula
 
Last edited by a moderator:
Ila tv sio nzuri kwa mtoto shosti. Inamzuia kujiengage na watu na inaweza kumchelewesha kuongea.

As part of the deal, unaweza kuiwasha mara chache wakati anakula. Jaribu kubadili mazingira kama kutoka nje, balcony, chumbani, jikoni? Na hichi kiti chake kisiwe kama adhabu basi mama mkwe, lol
Hizo menu tunafanana vyakula unavyompa hata wa kwangu nampa ila tu sio mlaji...

Kuhusu tv wakati wa kula mie ndio naona huwa anakula zaidi mana anapenda tv ila mda mwengine ana concetrate sana
 
Hapo kwenye snacks shosti, badala ya cookies hebu mpe something healthy kama kipande cha chungwa, embe ama nanasi. Cookies haina virutubisho anavyohitaji. Tusisahau soda is a no ~no

Nakubaliana nawe kuhusu kutolazimishana na kuzima tv.

Wakati mwingine kuonja chakula cha mtoto ni muhimu sana. Kuna mtu nilikuta anamkaba mwanae anywe mazima, kumbe maziwa yenyewe ni maji matupu and tasteless
.......
.....Na bado kuna snacks btn meals, waweza mpa maziwa na cooked carrot. Mtoto wa 12 months waweza mpa cookies, akajifunza kula mwenyewe.

Vile vile nilijifunza mtoto akikataa kula usimlazimishe sana,muache baada ya muda akisikia njaa atakula.

Mtoto akiwa anakula muweke kwenye kiti special na tv nzima.
 
mwanangu ten months hapendi lishe (uji)anakula uji wa dona naweka maziwa au blu band hapendi sukari,anapenda machungwa sana
mtori anapenda na ugali mlaini
juice ya chungwa na maparachichi ndo vyakula vyake
 
Ila tv sio nzuri kwa mtoto shosti. Inamzuia kujiengage na watu na inaweza kumchelewesha kuongea.

As part of the deal, unaweza kuiwasha mara chache wakati anakula. Jaribu kubadili mazingira kama kutoka nje, balcony, chumbani, jikoni? Na hichi kiti chake kisiwe kama adhabu basi mama mkwe, lol

Hio kubadilisha mazingira nafanya sana muda mwengine nampakata anakula vizuri ujue hapo ntapakwa chakula mpaka machoni lol siku hizi nae alichoshika na mie nalishwa lol
 
Pretty, napenda kweli supu ya maboga na ya carrot. I bet kwa watoto inakuwa nzuri sana pia.

Formulae moja ni kuhakikisha mtoto hakinai chakula kwa kubadilisha mapishi. Samaki wa kuchemsha pia anaweza kuwa ideal. Kumbuka braising kidogo (kumshtua na mafuta kidogo sana kikaangoni kuongeza ladha na harufu nzuri ).

Bibie farkhina sijaona umeongelea mashed potatoes manake zinakuwa na maziwa pia na kumpa mtoto maziwa fresh nahisi kama ni mtihani.

Kosa kuwa tunalofanya ni kumlazimisha mtoto kula ama kumlisha huku analia na mwisho anatapika. Eating time should be fun. Wataalamu wanasema kubadili vyombo pia inasaidia. So a colourful bowl is a necessity

Hapa kwenye maziwa inatakiwa utumie formula au maziwa ya mama ila tu wakati umeshaepua
 
Last edited by a moderator:
mwanangu ten months hapendi lishe (uji)anakula uji wa dona naweka maziwa au blu band hapendi sukari,anapenda machungwa sana
mtori anapenda na ugali mlaini
juice ya chungwa na maparachichi ndo vyakula vyake


Hata wa kwangu anapenda machungwa kuna watoto wanapendea zaidi vya chumvi kuliko vya sukari ndio mana wengi hawapendi uji
 
Back
Top Bottom