Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,277
nilianza na uji wa unga wa muhogo
nilikua naupika wa nazi siweki sukari wala chumvi
nambadiliahia naweka maziwa nikiweka maziwa nikawa naweka sukar kwa mbali na chumvi
nikajamsagia lishe, nauchanganya na maziwa anakumywa asubuh
mchana namsagia ndiz mbivu au nachanganya ndiz mbivu na parachichi sometimes chungwa nalikamua nampa
wakati mwengine namchemshia ndizi bukoba kwenye supu aidha yasamaki au nyama then nablend nachanganya na maziwa narudisha jikoni
vichemke kidogo naepua vikipoa nampa vikkwa vya uvuguvugu saa kum jion maziwa fresh baada ya hapo analinyonya tu ziwa la mama yake
pia hua napenda kumbadilishia badilishia sometimes nachemsha mchele has uive naepua naweka kwenye blender lakini namwaga maji badala ya kisaga na maji nasagia maziwa fresh narudisha kwenye sufuria naweka sukari kidogo narudisjha jikon vichemke pamoja
au
nachukua yai na ndizi bukoba nachemsha vikiwa tayari naepua namenya yai nachukua kiini na ndizinasaga pamoja na vijichumvi kwa mbaaali na maziwa kidogo nampa
nilikua naupika wa nazi siweki sukari wala chumvi
nambadiliahia naweka maziwa nikiweka maziwa nikawa naweka sukar kwa mbali na chumvi
nikajamsagia lishe, nauchanganya na maziwa anakumywa asubuh
mchana namsagia ndiz mbivu au nachanganya ndiz mbivu na parachichi sometimes chungwa nalikamua nampa
wakati mwengine namchemshia ndizi bukoba kwenye supu aidha yasamaki au nyama then nablend nachanganya na maziwa narudisha jikoni
vichemke kidogo naepua vikipoa nampa vikkwa vya uvuguvugu saa kum jion maziwa fresh baada ya hapo analinyonya tu ziwa la mama yake
pia hua napenda kumbadilishia badilishia sometimes nachemsha mchele has uive naepua naweka kwenye blender lakini namwaga maji badala ya kisaga na maji nasagia maziwa fresh narudisha kwenye sufuria naweka sukari kidogo narudisjha jikon vichemke pamoja
au
nachukua yai na ndizi bukoba nachemsha vikiwa tayari naepua namenya yai nachukua kiini na ndizinasaga pamoja na vijichumvi kwa mbaaali na maziwa kidogo nampa