na ndiyo jibu watakalo tupaHawakawii kusema ni fotoshopu
Ati ndio kioo cha jamii
nani kasema...!!kuna yule mwingine ndo alicheza live kabisa ila BASATA wakajishtukia wakakataa isiende hewani,kwahiyo hawa walikutana wapi au ndo location yenyewe
Wapo location..........
Wamepatia....wamependeza...wamependezana....wameendana.....!!!
hivi nikuulize swali la kizushi,nini kinapelekea mtoto wakiume akajipodao na kutaka kufanana na dada zake,hivi wana sukumwa na nini hawa wenzetu
Wamepatia....wamependeza...wamependezana....wameendana.....!!!