Liquid Mercury!

Amoeba

JF-Expert Member
Aug 20, 2009
3,289
781
Wadau ee, mimi si mjuvi sana wa mawe, lakini kuna mzee mmoja anasema ana kitu kinaitwa mercury (red na white) kiasi cha 100gm, yeye anadai kuwa ni mali na amenituma nimwekee bango kwa yeyote mwenye uhitaji! sijaona madini menyewe kwa sababu mzee mwenyewwe yuko shamba, sasa napenda kujua kama kitu hiki ni thamanii ama la, na kama ni thamani nini thamani halisi ya mercury kwa gm na itauzwa wapi? thanks
 
Wadau ee, mimi si mjuvi sana wa mawe, lakini kuna mzee mmoja anasema ana kitu kinaitwa mercury (red na white) kiasi cha 100gm, yeye anadai kuwa ni mali na amenituma nimwekee bango kwa yeyote mwenye uhitaji! sijaona madini menyewe kwa sababu mzee mwenyewwe yuko shamba, sasa napenda kujua kama kitu hiki ni thamanii ama la, na kama ni thamani nini thamani halisi ya mercury kwa gm na itauzwa wapi? thanks

Mercury ni chemical hatari sana. Of course ni dili kwa ajili ya kutenganisha dhahabu na ni miongoni mwa vitu vinavyotumika kuharibu mazingira. Inatumika katika matumizi mengi hata kutengeneza silaha hatari. Inatumika sana kwenye udakaji wa dhahabu kwa wachimbaji wadowadogo, europe ni marufuku kutumiwa but kwa developing countries ni dili kwani hapo unawza pata zaidi 2M I guess.
 
Mercury ni chemical hatari sana. Of course ni dili kwa ajili ya kutenganisha dhahabu na ni miongoni mwa vitu vinavyotumika kuharibu mazingira. Inatumika katika matumizi mengi hata kutengeneza silaha hatari. Inatumika sana kwenye udakaji wa dhahabu kwa wachimbaji wadowadogo, europe ni marufuku kutumiwa but kwa developing countries ni dili kwani hapo unawza pata zaidi 2M I guess.

bwana nashukuru sana mkuu, hv unaweza kuniunganisha na mtu yeyote anayenunua hii kitu? Huyu mzee anadai yeye anaaweza kusupply kilo kadhaa za hii kitu kila baada ya miezi minne!!!
 
Amoeba, ningependa kukushauri jambo moja tu. huyo mzee anataka kukupiga, (kukutapeli). sijui kiuchumi umekaa vipi, lakini hata pesa ulizonazo utazipoteza ktk deal zisizo na kichwa wala miguu. narudia achana naye kabisa huyo mzee.
kama unahitaji zaidi ni PM.
 
bwana nashukuru sana mkuu, hv unaweza kuniunganisha na mtu yeyote anayenunua hii kitu? Huyu mzee anadai yeye anaaweza kusupply kilo kadhaa za hii kitu kila baada ya miezi minne!!!

Huyo mzee anakudanganya sana, that thing red mercury is almost impossible kupatikana because its application and availability is related to witchcraft (not gold extraction related) and no one knows exactly how much it costs.

Drop this business, you are just chasing the figments of his immaginations. I have met a lot of people ambao wanalia kwa hasara walizopata kuchase hii kitu, my young brother being one of them.

Huu ni ushauri wa bure!!
 
Back
Top Bottom