Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Wadau ee, mimi si mjuvi sana wa mawe, lakini kuna mzee mmoja anasema ana kitu kinaitwa mercury (red na white) kiasi cha 100gm, yeye anadai kuwa ni mali na amenituma nimwekee bango kwa yeyote mwenye uhitaji! sijaona madini menyewe kwa sababu mzee mwenyewwe yuko shamba, sasa napenda kujua kama kitu hiki ni thamanii ama la, na kama ni thamani nini thamani halisi ya mercury kwa gm na itauzwa wapi? thanks