Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,016
- 1,732
Duuu hili Lizee limepata uchizi jamani,mbona linatapatapa hivi yeye na hao chadema nanii msaliti hapoKumbe alijiudhuru
Duuu hili Lizee limepata uchizi jamani,mbona linatapatapa hivi yeye na hao chadema nanii msaliti hapoKumbe alijiudhuru
Haya yote ni ushabiki ambao hata kwenye khanga zimo. La msingi zama kwenda ajenda za Lipumba alizoongea na ujibu hoja. Au discuss basi. Unaruka hoja unakimbilia ushabiki. Ulofa kweli huuuSasa huyu Pro Pesa naona kaishiwa kabisa , anajitafutia umaarufu kupitia CHADEMA anafikiri ataweza , alishindwa enzi hizo akiwa na nguvu ni sasa anapepesuka ndio ataweza ? Mzee Mnafiki sana Maalim kamuumbua jana kumbe alimwambia Lowassa aende NCCR-Mageuzi ...kwa sababu ya wivu wake dhidi ya CHADEMA .....
Jibu hoja za Lipumba tusirukeruke kama chura wajameni. Tunataka tujue pumba na mchele zinakaajeDuuu hili Lizee limepata uchizi jamani,mbona linatapatapa hivi yeye na hao chadema nanii msaliti hapo
Tujibu kwanza hoja za Lipumba halaf turukie huku unapotakaHuyo Lipumba hajui CHADEMA,akamuulize Wassira na ndoto zake za CHADEMA kufa ndani ya mwaka mmoja.
Inahusianaje na ile list of shame ya mafisadi papa anayosema Lipumba. Tuache ujinga na ulofaYan shida ya kutokua na mke nayo ni kubwa Sana
Kwani wwwe ndio mwakilishi wa wapiga kura wote nchiniUngegombea hata mara arobaini usingepata chochote
mkuu wangu ukisikia chadema inasemwa unasikia kama roho inataka kutoka!kumbe Lipumba anajua kuwa hayuko katika nafasi ya uenyekiti.
akalale mbele hivi haoni aibu?Profesa Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) aliyefutwa uanachama na Baraza Kuu la Uongozi Taifa la Chama hicho, amesema usaliti uliofanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wake Dkt. Wilbroad Slaa na kukiuka makubaliano ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika kipindi cha kampenzi za uchaguzi mkuu wa 2015 utakigharimu chama hicho.
Lipumba ameyasema hayo Novemba 26, 2016 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa kata za Jimbo la Temeke kwenye Ukumbi wa Sunrise ulioko Tandika jijini Dar es Salaam.
“Usaliti wa Chadema kwa Dkt. Slaa utaendelea kuigharimu na ndio maana hawataki nirudi katika wadhifa wangu na nikirudi watakwisha,” amesema.
Amedai kuwa, usaliti wa Chadema umesababisha upinzani kupokonywa ajenda yake ya ufisadi na kuruhusu Rais John Magufuli kuitumia ajenda hiyo kumaliza nguvu ya upinzani.
“Rais Magufuli ametunyang’anya ajenda ya kusimamia ufisadi, leo hii Chadema hawana ajenda ya kupinga ufisadi kwa sababu ya kumuasi Slaa,” amesema.
Kuhusu Ukawa Lipumba amedai kuwa, baadhi ya viongozi wa Chadema wanautumia umoja huo kuiua CUF Bara huku akituhumu baadhi ya viongozi wa CUF kuwa wananjama za kukiuza chama hicho.
Aidha, amesema alifikia hatua ya kujizulu mwezi Agosti mwaka jana uenyekiti wa CUF kwa madai ya kutokubaliana na hali ya kuwa mpiga debe wa Edward Lowassa aliyekuwa mgombea wa kiti cha urais kwa tiketi ya Chadema na mwamvuli wa Ukawa.
“Nilikataa kuwa mpigadebe wa Lowassa, niligombea urais mara nne leo hii nisimame kumpigia debe Lowassa? Ambaye kwenye orodha ya majina ya mafisadi jina lake lilikuwa namba nmoja. Nisingeweza fanya hivyo nikaona bora kujiudhuru,” amesema.