juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,449
haahaaaa kiongozi usipanic hoja yangu ni kuwa hao wote iwe chadema au ccm walimbana kutumia ushahidi uliokuwepo kipindi kile sasa kama lowasa alijitetea mbele ya chadema kwa ushahidi mpya ulitaka wamkatae?? lowasa lazima aliogopa kumwangusha kikwete akaona bora atolewe kafara kuiepusha ikulu na lawama za watanzania maana wote tunajua kabisa thr is no way scandal kama escrow au richmond pesa zipigwe rais asijue no way so pale collective responsibility ikawa ya lowassa na yye ameshalieleza hilo mara nyingi. Sasa kama mtu kajitetea kwa ushahidi ambao alionyesha kamati kuu jinsi gani rais ndo alishirki kushinikiza mkataba wa richmond ukubaliwe unataka tuendelee kumuita fisadi???? kamanda twemde pole pole tuko hapa kueleimishana sio kushindana natumaini umenielewaUtakua umelipwa wwwe ili utoe uharo huu. Hivi unajua suala la uchunguzi kuwa linakua na mapana yapi. Hivi unajua kazi ya uchunguzi inayofanywa na vyombo vya dola huwa inafanyikaje. Hivi ni nani kati yao ambaye ameshapitia mafunzo ya utaalam wa uchunguzi. Unataka kutuletea habari za kitoto kamanda. Hii ni sawa umemwona mwanao anaiba mboga ukamwita. Ukamuuliza umekula mboga? Akisema hajala huna ushahidi kuwa atakua amekula sababu amesha imeza. Sasa ndio story yako ya kitoto. Hivi unadhan chadema kumweka huyo mzee kwwnye list of shame walikurupuka tu bila walau kutafuta ukweli. Na ndio maana kila kiongozi ana statement yake.
Mbowe.-Lowasa hasafishiki
Mbowe-ni janga kuwa na rais bubu kama huyu
Lema-lowasa ni fisadi
Kubenea-ndio kabisa na magazeti yake
Msigwa- atakayem support lowasa akapimwe akili.
Na matamshi meeeengi kwazaidi ya miaka nane. Hivi unachambua habari hii. Unalalamika eti maelezo yamekua yakitolewa watu hawaelewi. Hayo maelezo nenda kamweleze mwanao nyumbani kamanda. hatudanganyiki. Hapa suala lilivyofanywa ni kuwa aliambiwa ajiuzuru ili makubwa yasijemkuta. Na akajiuzuru. Wamesitiri mzee wa watu tu lakini msilete habari fyongo kama hizi
Baby upo nimekimissYan shida ya kutokua na mke nayo ni kubwa Sana
CCM ni mafisadi siku zote.Vyama vingine vimeanza kujifunza kwa kasi hasa baada ya UKAWA kununuliwa na Lowassa.Escrow.kivuko,Tembo,mabehewa,chenji ya rada,Lugumi wote wapo CCM je? Hao ndiyo wamemnunua Lipumba?
Keshafafanua awali walichompokea hakikuwa kugombea urais bali kuja kuupa nguvu upinzani na wenyeviti wa CCM 19 ambao angekuja nao kumuunga mkono Mgombea atakayepitishwa na UKAWA ambaye alitegemewa ni Slaa ...swali alilokomaliwa ni wako wapi hao viongozi wa CCM na Mbowe na Seif wakaipiga kimyakimya katika ule mtindo maarufu KUBADILI GIA ANGANI ...tuwe na KUMBUKUMBUHawakubali yeye na nani? Kwani siku ile wakati wanamkaribisha Lowasa yeye si alikuepo???? Muambie aende akalee wajukuu
"...ndiyo maana hawataki nirudi kwenye wadhifa wangu...."Profesa Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) aliyefutwa uanachama na Baraza Kuu la Uongozi Taifa la Chama hicho, amesema usaliti uliofanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wake Dkt. Wilbroad Slaa na kukiuka makubaliano ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika kipindi cha kampenzi za uchaguzi mkuu wa 2015 utakigharimu chama hicho.
Lipumba ameyasema hayo Novemba 26, 2016 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa kata za Jimbo la Temeke kwenye Ukumbi wa Sunrise ulioko Tandika jijini Dar es Salaam.
“Usaliti wa Chadema kwa Dkt. Slaa utaendelea kuigharimu na ndio maana hawataki nirudi katika wadhifa wangu na nikirudi watakwisha,” amesema.
Amedai kuwa, usaliti wa Chadema umesababisha upinzani kupokonywa ajenda yake ya ufisadi na kuruhusu Rais John Magufuli kuitumia ajenda hiyo kumaliza nguvu ya upinzani.
“Rais Magufuli ametunyang’anya ajenda ya kusimamia ufisadi, leo hii Chadema hawana ajenda ya kupinga ufisadi kwa sababu ya kumuasi Slaa,” amesema.
Kuhusu Ukawa Lipumba amedai kuwa, baadhi ya viongozi wa Chadema wanautumia umoja huo kuiua CUF Bara huku akituhumu baadhi ya viongozi wa CUF kuwa wananjama za kukiuza chama hicho.
Aidha, amesema alifikia hatua ya kujizulu mwezi Agosti mwaka jana uenyekiti wa CUF kwa madai ya kutokubaliana na hali ya kuwa mpiga debe wa Edward Lowassa aliyekuwa mgombea wa kiti cha urais kwa tiketi ya Chadema na mwamvuli wa Ukawa.
“Nilikataa kuwa mpigadebe wa Lowassa, niligombea urais mara nne leo hii nisimame kumpigia debe Lowassa? Ambaye kwenye orodha ya majina ya mafisadi jina lake lilikuwa namba nmoja. Nisingeweza fanya hivyo nikaona bora kujiudhuru,” amesema.
Dahkumbe Lipumba anajua kuwa hayuko katika nafasi ya uenyekiti.