Hao uliowataja mikoa yao ina njaa na wameambiwa hamna cha Mzee BURE, hawana hamuNasubiri comments za lumumba (buku saba fc) msemaji ukweli, Lizaboni, Simiyu Yetu, Wakudadavuwa, MOTOCHINI, Ruttashobolwa, YEHODAYA, Mwasita Moja, Barbarosa, stroke.
Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo.Mimi ningependa nimuulize lipumba, Kigali Rwanda atarudi lini, kale ka pesa alikoingiziwa na mfalme aliyestaafu kameisha kaamua kurudi kazini upya, Dr mwenzake yupo Canada anakula maisha.
Yeye mwenyewe ni fisadiAmesema hayo mkoani morogoro ambapo amedai kua ccm na chadema ni vyama vilivyojaa mafisadi hivyo havina uwezo wa kupambana na rushwa amesema cuf ndio chama sahihi kupinga ufisadi nchini.
cha Mutungi.Hivi li pumba ni wachama gani vile ¡¿
Hahahacha Mutungi.
Jaji Mutungi na Lipumba akili zao zinafanana.Msajili wa vyama vya siasa alisema Lipunba ni M/ Kiti halali
Hahaha sawa nami ninaheshimu mawazo yakoJaji Mutungi na Lipumba akili zao zinafanana.
Anatandika K.vant.Hv le profese huwa hatumii bapa kwel
Na wezi wa ruzuku wako wapi?Amesema hayo mkoani morogoro ambapo amedai kua ccm na chadema ni vyama vilivyojaa mafisadi hivyo havina uwezo wa kupambana na rushwa amesema cuf ndio chama sahihi kupinga ufisadi nchini.
Ana mke mkuu,Huyu kichupa kinamtoa akili,jitu babu lakini halina hata girlfriend....