Lipumba: CCM na Chadema hawaiwezi rushwa!

Lipumba: CCM na Chadema hawaiwezi rushwa!

Amesema hayo mkoani morogoro ambapo amedai kua ccm na chadema ni vyama vilivyojaa mafisadi hivyo havina uwezo wa kupambana na rushwa amesema cuf ndio chama sahihi kupinga ufisadi nchini.
Kasema hivyo kwasababu kafanikiwa kuasi na kuchota ile ruzuku au.........?
 
Dah. Hi tanzania jamani. Yani kabiga mpunga anaibukia kwenye media kutafta sifa na kujionesha kuwa yeye msafi
 
Back
Top Bottom