Lipumba: CCM na Chadema hawaiwezi rushwa!

Lipumba: CCM na Chadema hawaiwezi rushwa!

Amesema hayo mkoani morogoro ambapo amedai kua ccm na chadema ni vyama vilivyojaa mafisadi hivyo havina uwezo wa kupambana na rushwa amesema cuf ndio chama sahihi kupinga ufisadi nchini.
Huyo kachanganyikiwa
 
Amesema hayo mkoani morogoro ambapo amedai kua ccm na chadema ni vyama vilivyojaa mafisadi hivyo havina uwezo wa kupambana na rushwa amesema cuf ndio chama sahihi kupinga ufisadi nchini.
Pro-pesa aeleze ile "rushwa" ya 369mil alipewa na nani? Pro-pesa kama ana ubavu asaidie TAKUKURU kumtambua aliyeidhinisha 369 milioni kutoka Hazina na kuishia mifukoni mwa Mwenyekiti aliyepachikwa na Msajili wa vyama.

Hivi TAKUKURU nao wamelala au wamefunga macho tu juu ya madai haya ya 369 milioni?

Link Mtego wa TAKUKURU wamnasa Mhadhiri NIT akiomba rushwa ya ngono
 
Yeye mbona amehongwa ruzuku ili aisambaratishe Ukawa? Aende zake kuzoa taka buguruni.
 
We mzee rudisha fedha za umma mlizokwapua majuzi, unajua Mungu anakuona!! Uliona wapi duniani mtu anajiuzulu kazi then anajirudisha mwenyewe as if office ya babake!!
 
Ile aliyopewa 2015 wakati wa uchaguzi akakitosa chama na kwenda kutumbua nchi jirani anaiita ni nini au zawadi ya kuua upinzani ilikuwa? kama CUF ndio inaweza kupambana na rushwa basi imepoteza sifa hiyo baada ya cuf yake kuwa wezi na mwizi na mla rushwa hawana tofauti, so akae kimya. Kesha kula hela za wizi kashiba kaanza tena kujamba hovyo hadharani mswuuuuuu.
 
Tatizo la mtu mzima kuishi kihuni bila mke ndiohilo hshshaha anawehuka Prof Wa buguruni
 
Amesema hayo mkoani morogoro ambapo amedai kua ccm na chadema ni vyama vilivyojaa mafisadi hivyo havina uwezo wa kupambana na rushwa amesema cuf ndio chama sahihi kupinga ufisadi nchini.
Ile stahili ya zamani ya kupewa pesa arafu uwatukane waliokupa pesa kiaina haiwezi fanya kazi kwa 'bwana yule' kwani hata mtoto mdogo wa chekechea anajua kuwa 'Bwana yule' keshaingizwa King.ahaaaaaaa..aaaahaaa
 
Back
Top Bottom