Lipumba ashindwa kuficha hisia

Lipumba ashindwa kuficha hisia

Sioni mbaya kwa Lipumba kuongea yale aliyoongea. Mpenda amani yetote anatakiwavaongee vile. Tena ilifaa viongozi wote,wa dini na siasa watoe kauli kama za zlipumba na wawakemee waleta vurugu wote.
 
Ama kweli ukishangaa ya Musa utaona ya Farao. This is your world view anything said or commented has religious inclination. Ni lini mtaacha udini wenu? Mlitaje aseme waislamu wenzangu kesho mjitokeze kuandamana😕? au kosa ni kuwa professor Muislam? Na huyo nyerere wamjua kwa kumsikia. soma mchapisho ambayo yaliandikwa juu yake akiwa hai na akaulizwa juu ya kilichoandikwa alivyopata kigugumizi. Nani asiyejua kuwa alikuwa akiliyumikia kanisa?Mnanukuu mabo yale tu ambayo yanawapendeza? Read James 3:2 We all stumble in many ways. If anyone is never at fault in what he says, he is a perfect man, able to keep his whole body in check. Huyo umuonae ana mengi yake tumuache apumzike---- dont quote him out of context.
 
CUF ndiyo waratibu wa vurugu zote nchini

Mkuu, mimi kinachonichanganya ni hiki; Bakwata na baadhi ya Mashehe wanatutangazia kwamba wanaoandamana sio Waislamu bali ni Wahuni waliokosa cha kufanya! Huku wakinukuu Qurani, hadith, na miratul rasul! Haya kaja naye Lipumba anasema wanaoandamana ni Waislamu hivyo basi wasiandamane tena bali bali wafuate njia sahihi kufuatilia madai yao!
hee, aah¿í$ø*! Mkuu hebu hapo nijuze which is which! Manake naona ni bla bla bla....tu! na serkali yenye wajibu na yenyewe ni bla bla bla....!
 
Prof. Lipumba hakutoa pumba.
Wana Jf tuone hili kwa picha ya uTanzania. Hivi haya maandamano ya waislam yana faida gani kwa Jamii na maendeleo yao ?
Lipumba ni raia kama wewe ulivyo cha nyongeza tu ni muislam na naamini ana busara kiasi cha kuwa mshauri.
Waislam acheni kujifanya miunguwatu wa imani mkichokoza wakristo.
Na sasa mnaichokoza hata Serikali ambayo viongozi wakuu ni Waislam.
Mnawaweka kwenye majaribu viongozi.
 
Kwani kuna dhambi gani kwa yeye kutaka amani ? Je angeongea mchungaji Rwakatare? Nadhani yeye kama kiongozi wa kisiasa ana wajibu wa kuona miongoni mwa wanachama wake wanapata haki.
Kwanini iwe dhambi mtu kujionyesha kuwa yeye ni Muislam? Kwa sababu yeye mwanasiasa? Nadhani anatambua wajibu wake kwa jamii.

Mkuu, alichofanya ni haki yake kidemokrasia! Ila hajatoa jibu muafaka kama wanaoandamana ni waislamu ima wahuni? Isije ikawa anafanya dhambi ya kuwapakazia waislamu kumbe wanaoandamana ni wahuni tu! Isije akazua lingine kwa kuwapaka waislamu kuwa ndio wanaoandamana!
 
Kazi ipo,kumbe swali ni juu ya nani anayeandamana...wahuni au waislamu? Mi nadhani Prof.Lipumba ameonya kwa kuendana na elimu yake.Wanaoandamana ni Waislamu ambao hawaridhishwa na baadhi ya masuala nchini.Hao viongozi wa kiislamu wanaodai waandamanaji ni wahuni,bila shaka wanatumika kisiasa kwa namna ambayo Prof.Lipumba hawezi kuwa
 
YEYE KILA KITU NI YEYE....."usiwe king'ang'anizi kama prof. Lipumba, kila uchaguzi ni wewe kwan wengine hakuna?" (Ney wa mitego)
 
Kwani kuna dhambi gani kwa yeye kutaka amani ? Je angeongea mchungaji Rwakatare? Nadhani yeye kama kiongozi wa kisiasa ana wajibu wa kuona miongoni mwa wanachama wake wanapata haki.
Kwanini iwe dhambi mtu kujionyesha kuwa yeye ni Muislam? Kwa sababu yeye mwanasiasa? Nadhani anatambua wajibu wake kwa jamii.
huyu mh.lipumba nilimuona alionekana hakuwa amejipanga kuzungumzia suala la maandamano ya waislamu ,ccm ,cuf wanawagawa waislamu kwa sababu zao wanazojua wenyewe kisiasa ,nani atawasihi waislamu wasiandamane ccm isingethubutu kutoa mtu wao wao ni waongozaji wakamtoa lipumba awatulize .huku cuf ikihusishwa na vurugu .hoja ya kadinali pengo ni msingi na ni ujumbe mzito kwa waislamu amesema waislamu msikubali kugawanywa kuweni kitu kimoja .
 
Wana JF,

Jana nilibahatika kuangalia taarifa ya habari ITV na TBC pia. Moja ya habari ilivyorushwa hewani ilikuwa ikimuonesha Prof. Lipumba, Mwenyekiti wa CUF Taifa, akiwasihi waislamu wenzake (Nasisitiza hili kwa kuwa Prof alitumia neno "Nawasihi Waislam wenzangu kutokufanya maandamano yoyote kesho (leo) baada ya swala ya Ijumaa". Nilitafakari sana na kujiuliza mambo mengi, ni nani huyu Profesa Lipumba? Alizungumza kama Mwenyekiti wa CUF Taifa akiwasihi waislam wenzake wasifanye maandamao leo au alikuwa akizungumza "in his personal capacity as Prof. Lipumba?". Naomba nipate ufafanuzi wa hili kwa kuwa utangulizi wa taarifa hiyo ulimzungumzia Prof. Lipumba kama mwenyekiti wa CUF. Nitashangaa sana leo, kama kweli waislam wataacha kuandamana leo kwa kutii alichosema Prof. Lipumba, kwa kufanya hivyo, kwa maoni yangu, "any reasonable person will come to the conclusion that CUF and Islam in Tanzania are inseparable"

I submit

Hakika nyie wenye wa mawazo haya ni wale wa kuja ,wachoyo , akili ya necta na sunday schools,
Lipumba ni Mu islam na ni Mwana siasa, ana wajibu kwa dini yake na pia ana wajibu kama mwanasiasa mkomavu kushauri aidha waislam wenzake ama jamii kwa jumla chochote ambacho ataona hakina maslahi kwao ama kwa taifa , ni kiongozi anaejali
Lowasa , Sita , Pinda ,Mbowe,kila siku ya Jumapili wapo wanaimba kwaya na kutoa maagizo ya kisiasa katika majukwaa ya Dini..
hawa ni sawa tena katika paltform za kanisa mbele ya waumini....hawa vyama vyao sio vya wakristo...ila kwa sababu kafanya Haruna Lipumba muislam basi nongwa

alichofanya Lipumba ni kutimiza jukumu lake kwa jamii, baada ya kuona kuna mgogoro kati ya polisi na waislam, polisi wanawakingia vifua wezi wa bakwata na wale wakosefu adabu wasio finzwa na mama zao wakawapeleka sunday school kupata kipa imara kumbe wanaenda kufundishwa uimara wa kukejeli dini na imani za wengine
so lipumba anatimiza wajibu wake kama muislam na kama mtanzania , anajua polisi wetu wana jazba za kidini na kisiasa wanaweza kuleta madhara makubwa kwa raia na haya si mageni, na anajua hasa ikiwa ngogoro unahusu wasialm ana jua nini nkitatokea , na ili shakusudiwa mabaya dhidi yetu nae kama kiongozi anae jali basi anawatahadharisha kuepusha shari na ubaya.
sasa kwa hichi kitendo chake cha kuwaambia wasiandamane basi anaonekana mbaya na mdini kwani waislam wengi wamemsikiliza na wale walio kusudia kufanya ubaya wameshindwa

Lipumba hongera wala usirudi nyuma wenzako wanaenda kuimba kwaya kila siku na kuomba kura 2015 hivyo usiogope na wewe kutumia same platform kufikia lengo lako kisiasa.
woga wetu ndio umetufanya sie ndio tuogope kutumia misiskiti na hotuba za ijamaa kuhamasisha wakati wenzetu kanisani ndio nyimbo zao.
tusihimize sala tu na kufunga tuhimize kuchaguana , sio dhambi na ndio siasa zetu tusidanganyane bure
 
Mwanasiasa yeyote aliyefilisika atatafuta uhalali wake kisiasa kwa kutumia udini..haya maneno aliyasema j.k Nyerere kwenye moja ya hotuba zake.

Hakika nyie wenye wa mawazo haya ni wale wa kuja ,wachoyo , akili ya necta na sunday schools,
Lipumba ni Mu islam na ni Mwana siasa, ana wajibu kwa dini yake na pia ana wajibu kama mwanasiasa mkomavu kushauri aidha waislam wenzake ama jamii kwa jumla chochote ambacho ataona hakina maslahi kwao ama kwa taifa , ni kiongozi anaejali
Lowasa , Sita , Pinda ,Mbowe,kila siku ya Jumapili wapo wanaimba kwaya na kutoa maagizo ya kisiasa katika majukwaa ya Dini..
hawa ni sawa tena katika paltform za kanisa mbele ya waumini....hawa vyama vyao sio vya wakristo...ila kwa sababu kafanya Haruna Lipumba muislam basi nongwa

alichofanya Lipumba ni kutimiza jukumu lake kwa jamii, baada ya kuona kuna mgogoro kati ya polisi na waislam, polisi wanawakingia vifua wezi wa bakwata na wale wakosefu adabu wasio finzwa na mama zao wakawapeleka sunday school kupata kipa imara kumbe wanaenda kufundishwa uimara wa kukejeli dini na imani za wengine
so lipumba anatimiza wajibu wake kama muislam na kama mtanzania , anajua polisi wetu wana jazba za kidini na kisiasa wanaweza kuleta madhara makubwa kwa raia na haya si mageni, na anajua hasa ikiwa ngogoro unahusu wasialm ana jua nini nkitatokea , na ili shakusudiwa mabaya dhidi yetu nae kama kiongozi anae jali basi anawatahadharisha kuepusha shari na ubaya.
sasa kwa hichi kitendo chake cha kuwaambia wasiandamane basi anaonekana mbaya na mdini kwani waislam wengi wamemsikiliza na wale walio kusudia kufanya ubaya wameshindwa

Lipumba hongera wala usirudi nyuma wenzako wanaenda kuimba kwaya kila siku na kuomba kura 2015 hivyo usiogope na wewe kutumia same platform kufikia lengo lako kisiasa.
woga wetu ndio umetufanya sie ndio tuogope kutumia misiskiti na hotuba za ijamaa kuhamasisha wakati wenzetu kanisani ndio nyimbo zao.
tusihimize sala tu na kufunga tuhimize kuchaguana , sio dhambi na ndio siasa zetu tusidanganyane bure
 
Ni kweli CUF Kina mrengo wa siasa kali za kiislam lakini Prof.Lipumba ameonyesha ukomavu wa kisiasa tofauti na wengne ambao wameachia suala la kutunza amani kwa serikali.Lipumba ni msomi na anajua umuhimu wa kutawala nchi yenye amani na utulivu.
Bahati mbaya sana kundi la Ponda halina mpango na CUF, wao wanamuunga mkono muislam mwenzao Jakaya Kikwete na ndio maana katika matamko yao yote wanadai kundi la makafiri/wagalatia wanahujumu utawala wa muislamu mwenzao Kiwete!
 
Kazi ipo,kumbe swali ni juu ya nani anayeandamana...wahuni au waislamu? Mi nadhani Prof.Lipumba ameonya kwa kuendana na elimu yake.Wanaoandamana ni Waislamu ambao hawaridhishwa na baadhi ya masuala nchini.Hao viongozi wa kiislamu wanaodai waandamanaji ni wahuni,bila shaka wanatumika kisiasa kwa namna ambayo Prof.Lipumba hawezi kuwa

Mkuu, bado unanichanganya zaidi! Wewe huoni kwamba Lipumba anawachanganya waislamu? Jee wale waislamu waliotoa ushahidi kwa rejea ya Quran, hadith, na mila za nabii kwamba hao wanaoandamana sio waislamu bado watamuamini Lipumba? Hivi Lipumba kama hamwagi petrol kwenye moto kwa nini asingeyakutanisha hayo ndipo akaja na sauti elimishi? Jee uislamu unaweza kutumiwa na wanasiasa?..... Yaani ni maswali, maswali, maswali!
 
Mtu akiamua kutafuta suluhu ya jambo kwani lazima awe mwanzilishi wa hilo tatizo? mbona mnakuwa hamuwezi hata kufikiria,wakati mwalimu nyerere alipokuwa akitatafuta suluhu ya mambo mbalimbali je yeye ndo alikuwa source? kikwete alipokwenda kuongea na viongozi wa kenya kumaliza mgogoro what push him behind...Tunapenda kuona amani nchini kwetu sio migogoro mwenye uwezo wa kushawishi watu kutulia hana budi kutumiwa...!
hapa tatizo sio mtu kuleta suruhisho tatito ni huyo mtu ambaye wanamhangaikia ni kwa nini awe yeye tu na si mwingine kunanini kimejificha hapa. sheria za nchi mtu akihatarisha usalaama anakamatwa na anafikishwa panapo stahili sasa huyu kwa nini ndugu zangu waislaam hamjalidhika.
 
Wana JF,

Jana nilibahatika kuangalia taarifa ya habari ITV na TBC pia. Moja ya habari ilivyorushwa hewani ilikuwa ikimuonesha Prof. Lipumba, Mwenyekiti wa CUF Taifa, akiwasihi waislamu wenzake (Nasisitiza hili kwa kuwa Prof alitumia neno "Nawasihi Waislam wenzangu kutokufanya maandamano yoyote kesho (leo) baada ya swala ya Ijumaa". Nilitafakari sana na kujiuliza mambo mengi, ni nani huyu Profesa Lipumba? Alizungumza kama Mwenyekiti wa CUF Taifa akiwasihi waislam wenzake wasifanye maandamao leo au alikuwa akizungumza "in his personal capacity as Prof. Lipumba?". Naomba nipate ufafanuzi wa hili kwa kuwa utangulizi wa taarifa hiyo ulimzungumzia Prof. Lipumba kama mwenyekiti wa CUF. Nitashangaa sana leo, kama kweli waislam wataacha kuandamana leo kwa kutii alichosema Prof. Lipumba, kwa kufanya hivyo, kwa maoni yangu, "any reasonable person will come to the conclusion that CUF and Islam in Tanzania are inseparable"

I submit

Acha ujinga wako wewee.....sasa usichoelewa nin hapo kwani umeskia yeye ndo hana dini?
Mbali na kua mwenyekiti wa cuf lakini dini yake ni muislam sasa akisema ''waislam wenzangu''ndo imekukeeeera...
Umesikia mara ngapi mawaiziri wakiendesha harambee makanisani kwa wakristo wenzie tena waziri mkuu ndo kila siku tunackia!au kunya anye kuku!?
Acha kusambaza chuki zako ww!
 
Unajua vitu vingine muwe mnaangalia kwa macho mawili tukisema ni PUMBA mnakasirika. hivi Rais mtarajiwa unaweza kweli kupambana na Kiongozi wa DINI km Sheik Simba anapodai hivi ni vikundi visivyojulikana ..... au waliochoma Makanisa sio hao waliokamatwa na RPC muislamu aliye CHINI YA mkuu wa MKOA muislam na pia IGP Said mwema?
sasa km waliochoma hata Jaji mkuu Othman Chande hajaingilia kati yeye LiPUMBA ataitishaje Serikali kwa kusema PONDA AACHIWE MARA MOJA
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/344826-ponda-aachiwe-mara-moja-lipumba.html
hilo Jeshi lilipoingia lilitaka kudhibiti nini km sio uchochezi wa CUF na PONDA?
Mona kashindwa kuwawekea Dhamana km alivyoahidi
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/347959-lipumba-cuf-itawawekea-dhamana-akina-ponda.html


Hakika nyie wenye wa mawazo haya ni wale wa kuja ,wachoyo , akili ya necta na sunday schools,
Lipumba ni Mu islam na ni Mwana siasa, ana wajibu kwa dini yake na pia ana wajibu kama mwanasiasa mkomavu kushauri aidha waislam wenzake ama jamii kwa jumla chochote ambacho ataona hakina maslahi kwao ama kwa taifa , ni kiongozi anaejali
Lowasa , Sita , Pinda ,Mbowe,kila siku ya Jumapili wapo wanaimba kwaya na kutoa maagizo ya kisiasa katika majukwaa ya Dini..
hawa ni sawa tena katika paltform za kanisa mbele ya waumini....hawa vyama vyao sio vya wakristo...ila kwa sababu kafanya Haruna Lipumba muislam basi nongwa
alichofanya Lipumba ni kutimiza jukumu lake kwa jamii, baada ya kuona kuna mgogoro kati ya polisi na waislam, polisi wanawakingia vifua wezi wa bakwata na wale wakosefu adabu wasio finzwa na mama zao wakawapeleka sunday school kupata kipa imara kumbe wanaenda kufundishwa uimara wa kukejeli dini na imani za wengine
anajua hasa ikiwa ngogoro unahusu wasialm ana jua nini nkitatokea , na ili shakusudiwa mabaya dhidi yetu nae kama kiongozi anawatahadharisha kuepusha shari na ubaya.
sasa kwa hichi kitendo chake cha kuwaambia wasiandamane
basi anaonekana mbaya na mdini kwani waislam wengi wamemsikiliza na wale walio kusudia kufanya ubaya wameshindwa

Lipumba hongera wala usirudi nyuma wenzako wanaenda kuimba kwaya kila siku na kuomba kura 2015 hivyo usiogope na wewe kutumia same platform kufikia lengo lako kisiasa.
 
Unajua vitu vingine muwe mnaangalia kwa macho mawili tukisema ni PUMBA mnakasirika. hivi Rais mtarajiwa unaweza kweli kupambana na Kiongozi wa DINI km Sheik Simba anapodai hivi ni vikundi visivyojulikana ..... au waliochoma Makanisa sio hao waliokamatwa na RPC muislamu aliye CHINI YA mkuu wa MKOA muislam na pia IGP Said mwema?
sasa km waliochoma hata Jaji mkuu Othman Chande hajaingilia kati yeye LiPUMBA ataitishaje Serikali kwa kusema PONDA AACHIWE MARA MOJA
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/344826-ponda-aachiwe-mara-moja-lipumba.html
hilo Jeshi lilipoingia lilitaka kudhibiti nini km sio uchochezi wa CUF na PONDA?
Mona kashindwa kuwawekea Dhamana km alivyoahidi
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/347959-lipumba-cuf-itawawekea-dhamana-akina-ponda.html

mkuu una chekesha sana huyo shehe simba ndio anajulikana ? labda na serikali kwa manufaaa maalum lakini si na waislam.
kwa taarifa yako sio waislam wote wafuasi wa Ponda...lakini pia wengi sana karibu na wote hatutambui kuwepo BAKWATA na simba wanatambuliwa zaidi na mapadre..tukubali ukweli jamani hatuwataki hawana maslahi na sisi ...na hatuna nguvu ya kuwaondoa...tukijaribu ndio hivi kina nyinyi nyoote mnakua pamoja kuhakikisha waislam hawapati uongozi madhubuti
 
mkuu una chekesha sana huyo shehe simba ndio anajulikana ? labda na serikali kwa manufaaa maalum lakini si na waislam.
kwa taarifa yako sio waislam wote wafuasi wa Ponda...lakini pia wengi sana karibu na wote hatutambui kuwepo BAKWATA na simba wanatambuliwa zaidi na mapadre..tukubali ukweli jamani hatuwataki hawana maslahi na sisi ...na hatuna nguvu ya kuwaondoa...tukijaribu ndio hivi kina nyinyi nyoote mnakua pamoja kuhakikisha waislam hawapati uongozi madhubuti

Mkuu, usishangae hizo choko2, fitna, majungu, hitlafu na mambo kama hayo ni mapenzi ya allah! sababu amesha yaweka hayo, ona alivyo wafundisha kwamba; "yeye angetaka mngekuwa kundi moja na mchungaji mmoja lakini hitlafu miongoni mwenu lazima ziwepo!" Na hadith inasema kutakuwa na makundi72 ndani ya uislamu na ni kundi moja tu litakalo nusurika! Kutaka Umoja ndani ya waislamu huoni kwamba unamuona yeye allah ni Muongo? JITAHIDI kuleta hitlafu ili upate barkaa!
 
Back
Top Bottom