Lipumba ashindwa kuficha hisia

Lipumba ashindwa kuficha hisia

wakati wenyewe ndio wanaoongoza kwa kuuza na kuila hiyo nyama, ukiwarushia wataziweka kwenye mifuko wakarosti

Una maana kama kuna mkristo ameamua kuvaa mavazi ya kislam na kisha kwenda kwenye mabanda wanapouza nyama za nguruwe basi waislam ndio wala nguruwe?

Unatushawishi kuamini kwamba makasisi wanaofungisha ndoa za jinsia moja makanisani hawapaswi kulaumiwa kwa sababu ndio ukristo unavyotaka?.
 
Una maana kama kuna mkristo ameamua kuvaa mavazi ya kislam na kisha kwenda kwenye mabanda wanapouza nyama za nguruwe basi waislam ndio wala nguruwe?

Unatushawishi kuamini kwamba makasisi wanaofungisha ndoa za jinsia moja makanisani hawapaswi kulaumiwa kwa sababu ndio ukristo unavyotaka?.

Kanisa gani?
 
aiseee babaangu nyinyi watu wa dar mnashindwa kukomesha maandamano kesho wakifanya maandamano numueni ngazi ya nguruwe na nyama ya nguruwe muwarushie muone kama hawata tawanyika
hhahahah, wengine tunakula huyo mdudu so mkirusha nyama ya kitimoto full kuving'ata na kuafaid
 
Kanisa gani?

Lolote tu maana ukisema Waislam wanakula kiti moto kwa sababu kuna jamaa yako,au umemuona mtu aliyejinathibisha na uislam anakula alafu ukasema wanakula wote sio sawa, ndio maana nikakupa mf wapo viongozi wa kikristo duniani wanafungisha ndoa za jinsia moja je ndio ukristo unavyotaka? Au matakwa ya makasisi hao?.kwa hiyo sio vyema kuwa na kuwajaji watu kwa kosa la mtu mmoja.
 
.........Lipumba amesema wao (CUF) wameamua kujitwika dhamana ya kushughulikia suala la Ponda mpaka muafaka upatikane.

Ni imani yangu kuwa waislamu waliogoma kumsikiliza Mufti na Sheikh mkuu wa Mkoa wa DAR sasa watatulia baada ya kupata kauli ya Kiongozi wao wa Kitaifa (Lipumba).

Kwa upande mwingine sasa naanza kuamini kuwa Ponda ni utambi tu, mafuta ya taa ndio haya yalioamua kuchukua jukumu sasa.


Mwana mtoka pabaya,
Tumpe mtu sifa zake pale zinapostahili na kumsuta anapochemsha.

  1. Kama Lipumba anaweza kusaidia kuleta amani, nafikiri hilo sio jambo baya na anastahili pongezi. Tuelewe kuwa kila jamii (waislamu) au kila mtu (Ponda) wanayo haki ya kushughulikiwa matakwa au makosa yao kwa mujibu wa sheria bila ya hiyo sheria kupindishwa, hata kama hatuyapendi matakwa au makosa yao.
  2. Tatizo alilonalo Lipumba ni hii tabia yake ya kupenda kujiingiza kwenye masuala ya kidini kama vile yeye ni kiongozi wa kidini zaidi ya siasa. Kibaya zaidi ni pale Lipumba anapoonekana kuwa na upendeleo zaidi kwa watu wenye muongo mkali kidini (uislamu) hata pale wanapotoa matamko ya kishari-shari. Hili ni tatizo lake binafsi kwani sidhani kama Watanzania wenye akili timamu, wawe waumini wa dini yake (waislamu) au dini nyingine yeyote ile, watamchagua kama ataendelea kujichanganya na watu wasioitakia mema nchi.
 
Hapa najua Lipumba cyo mahakama wala si katiba ya nchi, iliyomnyima dhamana Ponda ni serikali, hivyo basi ataendelea kusota tu Rumande hiyo ni danganya toto, kwani mtoto akiwa analia ukimpa pipi c atanyamaza tu, Nyamani mtoto nitakupa pipi,,,,,,,,,Kwishneeeeee, kwani udhani kesho Huyo Lipumba ataenda kumtoa ponda Jela au la c atasubiri ya siku ya kesi tu, na ni mawakili watakao endelea kuomba dhamana ilegezwe na serikali haitakubali ionekane inabahatisha kuhusu hili wasije wakatoke akina Ponda wengine
 
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha wananchi CUF, Ibrahim Lipumba ambaye pia ni mgombea wa maisha wa Urais kupitia tiketi ya chama hicho cha makabwela leo ameamua kuwa muwazi na kuweka wazi itikadi ya chama chake alipowataka WAISLAM nchini kutoandamana kesho.

Lipumba amesema wao (CUF) wameamua kujitwika dhamana ya kushughulikia suala la Ponda mpaka muafaka upatikane.

Source: ITV news, saa mbili usiku. Unaweza kutazama marudio saa 5 usiku.

Ni imani yangu kuwa waislamu waliogoma kumsikiliza Mufti na Sheikh mkuu wa Mkoa wa DAR sasa watatulia baada ya kupata kauli ya Kiongozi wao wa Kitaifa (Lipumba).

Kwa upande mwingine sasa naanza kuamini kuwa Ponda ni utambi tu, mafuta ya taa ndio haya yalioamua kuchukua jukumu sasa.



kaka.......wewe ni muongoooooooo.......katika taarifa ya jana I.T.V.......hakuna taaaarifa kama hiyooooo huo ni uzushiiiii mtupu......taarifa ya habali ya jana I.T.V....HAWAKUONYESHA TAARIFA KAMA HIII MIMI JANA NIMEANGALIAAAAA NA KAMA UTALETA UBISHI NAOMBA WATU KAMA KUMI AMBAO JANA WALIANGALIA TAARIFA YA HABARI IT.V....NEWS....................................HAKUNA KITU KAMA HIKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII :A S 11::A S soccer::target:
 
cuf chama cha kidini dhahiri sasa... na lipumba atateteaje muarifu? wakati anapaswa kufungwa jela kabisa?
 
Haya ya CDM na CCM mimi siyajui, nalijua la CUF kwa kuwa wenyewe wamesema hivyo.
1. Jusa Ismail alisema CUF imeshindwa uchaguzi mdogo wa Uzini sababu kuna wakristo wengi
2. Kampeni za CUF 2000 zilifanyika misikitini wazi wazi
3. Lipumba ameahidi kumdhamini Ponda akiwataka Waislam kutulia

Hayo ya CDM kuwa chama cha Wakristo unayajua wewe.

baada ya kuanzisha uzi huu nikaanza kukufuatilia kwa makini kuhusu comment zako. Wewe mshabiki wa ukristo na udini umekujaa mpaka kwenye kucha huna lolote. Hakuna CUF CDM WALA CCM kwako kinachokusumbua ni udini na ndio maana mnabakia machovu na linchi lenu coz mnahamaki na udini.
 

Mwana mtoka pabaya,
Tumpe mtu sifa zake pale zinapostahili na kumsuta anapochemsha.

  1. Kama Lipumba anaweza kusaidia kuleta amani, nafikiri hilo sio jambo baya na anastahili pongezi. Tuelewe kuwa kila jamii (waislamu) au kila mtu (Ponda) wanayo haki ya kushughulikiwa matakwa au makosa yao kwa mujibu wa sheria bila ya hiyo sheria kupindishwa, hata kama hatuyapendi matakwa au makosa yao.
  2. Tatizo alilonalo Lipumba ni hii tabia yake ya kupenda kujiingiza kwenye masuala ya kidini kama vile yeye ni kiongozi wa kidini zaidi ya siasa. Kibaya zaidi ni pale Lipumba anapoonekana kuwa na upendeleo zaidi kwa watu wenye muongo mkali kidini (uislamu) hata pale wanapotoa matamko ya kishari-shari. Hili ni tatizo lake binafsi kwani sidhani kama Watanzania wenye akili timamu, wawe waumini wa dini yake (waislamu) au dini nyingine yeyote ile, watamchagua kama ataendelea kujichanganya na watu wasioitakia mema nchi.

usihofu hawatamchagua lipumba ila watamchagua MCHUNGAJI WENU SLAA.
 
Lolote tu maana ukisema Waislam wanakula kiti moto kwa sababu kuna jamaa yako,au umemuona mtu aliyejinathibisha na uislam anakula alafu ukasema wanakula wote sio sawa, ndio maana nikakupa mf wapo viongozi wa kikristo duniani wanafungisha ndoa za jinsia moja je ndio ukristo unavyotaka? Au matakwa ya makasisi hao?.kwa hiyo sio vyema kuwa na kuwajaji watu kwa kosa la mtu mmoja.

Ukristo unafundisha hivyo nandiomaana vatican vijana wanaharibiwa na watumishi mkuu. Futilia kwa makini. Kilakukicha waumini wanalala mika kua watumishi wana watumia vijana. Lakini hili hawa watu hawalisemi.
 
ogopa CUF na Viongozi wake kama HIV/AIDS nia yao ni to Islamisize Tanzanians by any means.
 
Hiyo taarifa kwenye Tv yangu saa2 sikuiona. Ila kama Prof na M/kiti wa CUF anaside na Hate Speech Specialist hadharani, yeye na chama chake ni wa kuogopwa kama HIV/AIDS nia yao ni to Islamisize Tanzania by all means
 
aiseee babaangu nyinyi watu wa dar mnashindwa kukomesha maandamano kesho wakifanya maandamano numueni ngazi ya nguruwe na nyama ya nguruwe muwarushie muone kama hawata tawanyika

ha ha ha chezea waislamu weye,kufanya hivyo si ndo utakua umewapa kula,maana wananjaa ndo maana wanatafuta tiketi za bure za kuingia segerea
 
Wana JF,

Jana nilibahatika kuangalia taarifa ya habari ITV na TBC pia. Moja ya habari ilivyorushwa hewani ilikuwa ikimuonesha Prof. Lipumba, Mwenyekiti wa CUF Taifa, akiwasihi waislamu wenzake (Nasisitiza hili kwa kuwa Prof alitumia neno "Nawasihi Waislam wenzangu kutokufanya maandamano yoyote kesho (leo) baada ya swala ya Ijumaa". Nilitafakari sana na kujiuliza mambo mengi, ni nani huyu Profesa Lipumba? Alizungumza kama Mwenyekiti wa CUF Taifa akiwasihi waislam wenzake wasifanye maandamao leo au alikuwa akizungumza "in his personal capacity as Prof. Lipumba?". Naomba nipate ufafanuzi wa hili kwa kuwa utangulizi wa taarifa hiyo ulimzungumzia Prof. Lipumba kama mwenyekiti wa CUF. Nitashangaa sana leo, kama kweli waislam wataacha kuandamana leo kwa kutii alichosema Prof. Lipumba, kwa kufanya hivyo, kwa maoni yangu, "any reasonable person will come to the conclusion that CUF and Islam in Tanzania are inseparable"

I submit
 
Hakuzungumza kama msemaji wa waislam, alizungumza kama mwenyekiti wa chama kinachoungwa mkono na waislam wengi...
Hebu tuone kauli yake itakavyopokelewa na hao ndugu zake wa kiislam.....
 
Wana JF,

Jana nilibahatika kuangalia taarifa ya habari ITV na TBC pia. Moja ya habari ilivyorushwa hewani ilikuwa ikimuonesha Prof. Lipumba, Mwenyekiti wa CUF Taifa, akiwasihi waislamu wenzake (Nasisitiza hili kwa kuwa Prof alitumia neno "Nawasihi Waislam wenzangu kutokufanya maandamano yoyote kesho (leo) baada ya swala ya Ijumaa". Nilitafakari sana na kujiuliza mambo mengi, ni nani huyu Profesa Lipumba? Alizungumza kama Mwenyekiti wa CUF Taifa akiwasihi waislam wenzake wasifanye maandamao leo au alikuwa akizungumza "in his personal capacity as Prof. Lipumba?". Naomba nipate ufafanuzi wa hili kwa kuwa utangulizi wa taarifa hiyo ulimzungumzia Prof. Lipumba kama mwenyekiti wa CUF. Nitashangaa sana leo, kama kweli waislam wataacha kuandamana leo kwa kutii alichosema Prof. Lipumba, kwa kufanya hivyo, kwa maoni yangu, "any reasonable person will come to the conclusion that CUF and Islam in Tanzania are inseparable"

I submit

Kwani kuna dhambi gani kwa yeye kutaka amani ? Je angeongea mchungaji Rwakatare? Nadhani yeye kama kiongozi wa kisiasa ana wajibu wa kuona miongoni mwa wanachama wake wanapata haki.
Kwanini iwe dhambi mtu kujionyesha kuwa yeye ni Muislam? Kwa sababu yeye mwanasiasa? Nadhani anatambua wajibu wake kwa jamii.
 
Back
Top Bottom