Lipumba ashindwa kuficha hisia

Lipumba ashindwa kuficha hisia

Mwana Mtoka Pabaya

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
15,117
Reaction score
16,500
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha wananchi CUF, Ibrahim Lipumba ambaye pia ni mgombea wa maisha wa Urais kupitia tiketi ya chama hicho cha makabwela leo ameamua kuwa muwazi na kuweka wazi itikadi ya chama chake alipowataka WAISLAM nchini kutoandamana kesho.

Lipumba amesema wao (CUF) wameamua kujitwika dhamana ya kushughulikia suala la Ponda mpaka muafaka upatikane.

Source: ITV news, saa mbili usiku. Unaweza kutazama marudio saa 5 usiku.

Ni imani yangu kuwa waislamu waliogoma kumsikiliza Mufti na Sheikh mkuu wa Mkoa wa DAR sasa watatulia baada ya kupata kauli ya Kiongozi wao wa Kitaifa (Lipumba).

Kwa upande mwingine sasa naanza kuamini kuwa Ponda ni utambi tu, mafuta ya taa ndio haya yalioamua kuchukua jukumu sasa.
 
Cuf ndo uislamu wenyewe.........

Kaahidi CUF kufanikisha dhamana ya Ponda. Sasa ina maana CUF ndio wanajua wapi pa kumpata Ponda endapo atatoroka. Hata wale UAMSHO ni hawa hawa tu. Tena wale ndio wa kuogopwa kwa kuwa wana agent ktk ikulu ya Zanzibar
 
aiseee babaangu nyinyi watu wa dar mnashindwa kukomesha maandamano kesho wakifanya maandamano numueni ngazi ya nguruwe na nyama ya nguruwe muwarushie muone kama hawata tawanyika
 
Zanzibar Bimani naye amekuja juu kwa sababu ya operesheni dhidi ya Uamsho,mimi simo naiogopa cuf kama ukoma waje wajilipue niende na maji nshawajua hata waniambie nini,mtatiro kashirikianeni na el shaabab cdm hatuwataki
 
aiseee babaangu nyinyi watu wa dar mnashindwa kukomesha maandamano kesho wakifanya maandamano numueni ngazi ya nguruwe na nyama ya nguruwe muwarushie muone kama hawata tawanyika
Jaribu ww kujitoa muhanga kwa kufanya hivyo Mkuu itapendeza ila andaa kabisa safari ya kuzimu.
 
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha wananchi CUF, Ibrahim Lipumba ambaye pia ni mgombea wa maisha wa Urais kupitia tiketi ya chama hicho cha makabwela leo ameamua kuwa muwazi na kuweka wazi itikadi ya chama chake alipowataka WAISLAM nchini kutoandamana kesho.

Lipumba amesema wao (CUF) wameamua kujitwika dhamana ya kushughulikia suala la Ponda mpaka muafaka upatikane.

Source: ITV news, saa mbili usiku. Unaweza kutazama marudio saa 5 usiku.

Ni imani yangu kuwa waislamu waliogoma kumsikiliza Mufti na Sheikh mkuu wa Mkoa wa DAR sasa watatulia baada ya kupata kauli ya Kiongozi wao wa Kitaifa (Lipumba).

Kwa upande mwingine sasa naanza kuamini kuwa Ponda ni utambi tu, mafuta ya taa ndio haya yalioamua kuchukua jukumu sasa.

Prof. Ibrahim Lipumba thnks kwa kujitoa na Mawazo yako,
Mungu yu pamoja nasi
Timiza wajibu.
 
aiseee babaangu nyinyi watu wa dar mnashindwa kukomesha maandamano kesho wakifanya maandamano numueni ngazi ya nguruwe na nyama ya nguruwe muwarushie muone kama hawata tawanyika

wakati wenyewe ndio wanaoongoza kwa kuuza na kuila hiyo nyama, ukiwarushia wataziweka kwenye mifuko wakarosti
 
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha wananchi CUF, Ibrahim Lipumba ambaye pia ni mgombea wa maisha wa Urais kupitia tiketi ya chama hicho cha makabwela leo ameamua kuwa muwazi na kuweka wazi itikadi ya chama chake alipowataka WAISLAM nchini kutoandamana kesho.

Lipumba amesema wao (CUF) wameamua kujitwika dhamana ya kushughulikia suala la Ponda mpaka muafaka upatikane.

Source: ITV news, saa mbili usiku. Unaweza kutazama marudio saa 5 usiku.

Ni imani yangu kuwa waislamu waliogoma kumsikiliza Mufti na Sheikh mkuu wa Mkoa wa DAR sasa watatulia baada ya kupata kauli ya Kiongozi wao wa Kitaifa (Lipumba).

Kwa upande mwingine sasa naanza kuamini kuwa Ponda ni utambi tu, mafuta ya taa ndio haya yalioamua kuchukua jukumu sasa.

serikali ilishachemsha toka siku nyingi katika namna ya 'kumalizana' na ponda, wangemrushia kitu kizito ungekuta kesho hakuna cha maandamano wala mihadhara! Intelijensia hii ilisaidia sana kurejesha amani kule mombasa nchini kenya!!
 
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha wananchi CUF, Ibrahim Lipumba ambaye pia ni mgombea wa maisha wa Urais kupitia tiketi ya chama hicho cha makabwela leo ameamua kuwa muwazi na kuweka wazi itikadi ya chama chake alipowataka WAISLAM nchini kutoandamana kesho.

Lipumba amesema wao (CUF) wameamua kujitwika dhamana ya kushughulikia suala la Ponda mpaka muafaka upatikane.

Source: ITV news, saa mbili usiku. Unaweza kutazama marudio saa 5 usiku.

Ni imani yangu kuwa waislamu waliogoma kumsikiliza Mufti na Sheikh mkuu wa Mkoa wa DAR sasa watatulia baada ya kupata kauli ya Kiongozi wao wa Kitaifa (Lipumba).

Kwa upande mwingine sasa naanza kuamini kuwa Ponda ni utambi tu, mafuta ya taa ndio haya yalioamua kuchukua jukumu sasa.

Kama CCM and CUF ni waislam na CDM ni wakiristu basi inabidi paanzishwe chama kwa ajili ya maendeleo ya watanzania
kwani inchi ya tanzania haipo kwa ajili ya waislam na wakiristu bali ipomkwa ajili wa watanzania!!
 
Bora wamejiweka wazi visiwani uamsho Bara Ponda
 
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha wananchi CUF, Ibrahim Lipumba ambaye pia ni mgombea wa maisha wa Urais kupitia tiketi ya chama hicho cha makabwela leo ameamua kuwa muwazi na kuweka wazi itikadi ya chama chake alipowataka WAISLAM nchini kutoandamana kesho.

Lipumba amesema wao (CUF) wameamua kujitwika dhamana ya kushughulikia suala la Ponda mpaka muafaka upatikane.

Source: ITV news, saa mbili usiku. Unaweza kutazama marudio saa 5 usiku.

Ni imani yangu kuwa waislamu waliogoma kumsikiliza Mufti na Sheikh mkuu wa Mkoa wa DAR sasa watatulia baada ya kupata kauli ya Kiongozi wao wa Kitaifa (Lipumba).

Kwa upande mwingine sasa naanza kuamini kuwa Ponda ni utambi tu, mafuta ya taa ndio haya yalioamua kuchukua jukumu sasa.

This is too controversial, LIPUMBA hashauriwi vema, sio vibaya kusema anatumiwa na CCM kwa namna fulani
 
Mtu akiamua kutafuta suluhu ya jambo kwani lazima awe mwanzilishi wa hilo tatizo? mbona mnakuwa hamuwezi hata kufikiria,wakati mwalimu nyerere alipokuwa akitatafuta suluhu ya mambo mbalimbali je yeye ndo alikuwa source? kikwete alipokwenda kuongea na viongozi wa kenya kumaliza mgogoro what push him behind...Tunapenda kuona amani nchini kwetu sio migogoro mwenye uwezo wa kushawishi watu kutulia hana budi kutumiwa...!
 
Kama CCM and CUF ni waislam na CDM ni wakiristu basi inabidi paanzishwe chama kwa ajili ya maendeleo ya watanzania
kwani inchi ya tanzania haipo kwa ajili ya waislam na wakiristu bali ipomkwa ajili wa watanzania!!

Haya ya CDM na CCM mimi siyajui, nalijua la CUF kwa kuwa wenyewe wamesema hivyo.
1. Jusa Ismail alisema CUF imeshindwa uchaguzi mdogo wa Uzini sababu kuna wakristo wengi
2. Kampeni za CUF 2000 zilifanyika misikitini wazi wazi
3. Lipumba ameahidi kumdhamini Ponda akiwataka Waislam kutulia

Hayo ya CDM kuwa chama cha Wakristo unayajua wewe.
 
wakati wenyewe ndio wanaoongoza kwa kuuza na kuila hiyo nyama, ukiwarushia wataziweka kwenye mifuko wakarosti

Hhahahahahaha haya bhana na utamu Wa rosti Watasahau na maandamano yenyewe.

Sent by chescomatunda using JamiiForums
 
Back
Top Bottom